Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,223
- 96,083
Bora katangulia yeye, inatosha. Ni ushindi kwangu...hata wewe utamfuata, whats special about yeye kufa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bora katangulia yeye, inatosha. Ni ushindi kwangu...hata wewe utamfuata, whats special about yeye kufa?
Kwann akatae? Haiwezekaniii, atake asitake tutamuongezea muda 🤣🤣🤣!!!Tutampa mitano tena... atake asitake...
Atakayeumia na uamuzi wetu akamate kitanzi ajinyonge amfuate bwana yule
Sasa wasukuma 50% watulie wakati wakiongozwa na mama wa Kizanzibari... na hawana cha kumfanya...Hivi unajua mwaka 2012 wasukuma walikua milioni 17 Kati ya watanzania milioni 45 kwa mujibu wa sensa ya serikali? Projection mpaka sasa wasukuma wanaround 50% ya raia. Anayewapotosha anawaponza sana.
Ewaaa... Mitano tena kwa mama...Kwann akatae? Haiwezekaniii, atake asitake tutamuongezea muda 🤣🤣🤣!!!
Mwendazake haamini, malaika aliotaka kwenda kuwaongoza wamemfungia nje hahahah...Mwendazake yuko kwenye kibanda umiza
Now wana dominate mikoa yote ya kanda ya ziwa, magharibi, Kati, na hata huko Zanzibar wako kibao. Tuseme mikoa yote tu wasukuma wanadominate in numbers sasa endelea kuwachukia utajinyea kwa husuda. Kazi zao ni shughuli za uchumi tu na kuzaa over.Sasa wasukuma 50% watulie wakati wakiongozwa na mama wa Kizanzibari... na hawana cha kumfanya...
Naomba uweke sawa hapa kwa kutoa takwimu juu ya barabara unazodai walivipata kipind cha shujaa. Weka takwimu hapa kipind cha jakaya zilijengwa barabara km ngap na kipind cha shujaa zilijengwa barabara za km ngap.Samia anajihujumu mwenyewe,nani ana shida ya kumhujumu?
Let me be clear,Samia anatoka Zanzibar jamii ndogo sana ya watanzania na mbaya zaidi ameshika nchi kutoka kwa mtangulizi wake Dkt Magufuli ambaye wananchi wa kawaida ameendelea kuonekana alikuwa mkombozi wao. Ordinary Tanzanian hajui sijui kubinywa uhuru wa habari,anataka huduma za kijamii Elimu,Afya,Umeme, Barabara,n.k vitu ambavyo wananchi walivipata kipindi cha JPM. Leo Samia ameshika nchi hajamaliza miezi 3 shida zimeanza kama awamu ya 4. Samia ajiandae kisaikolojia.
Wapinzani na wanaharakati anaowafurahisha hawatampigia kura na hawatakiunga mkono chama chake cha CCM. Tuombe uzima ili tushuhudie hiyo 2025 laana ya kumuondoa JIWE
Wazungu hawakufika elfu kumi wakatutawala watanganyika nchi nzima... hao acha wasambae nchi nzima, watatusaidia kutubebea mizigo...Now wana dominate mikoa yote ya kanda ya ziwa, magharibi, Kati, na hata huko Zanzibar wako kibao. Tuseme mikoa yote tu wasukuma wanadominate in numbers sasa endelea kuwachukia utajinyea kwa husuda. Kazi zao ni shughuli za uchumi tu na kuzaa over.
Bhosazi doh akena faida aje do cho!Hivi unajua mwaka 2012 wasukuma walikua milioni 17 Kati ya watanzania milioni 45 kwa mujibu wa sensa ya serikali? Projection mpaka sasa wasukuma wanaround 50% ya raia. Anayewapotosha anawaponza sana.
Chuki zako hazitaweza kushindana na wasukuma utashangaa dadako kazalishwa na ngosha we uko na key board tu, fanya kazi wewe ukomboe familia yako wasukuma huwawezi hata ufanyeje.Wazungu hawakufika elfu kumi wakatutawala watanganyika nchi nzima... hao acha wasambae nchi nzima, watatusaidia kutubebea mizigo...
Wanabodi nawasalimu.
Siku kadhaa zilizopita tumeshuhudia tatizo kubwa la ununuzi wa umeme wa LUKU kwa siku tatu mfululizo. Biashara nyingi zilisimama. Bado hatujaambiwa ni kwa kiasi gani uchumi umetetereka. Lakini hunitaji elimu ya chuo kikuu kujua ni athari gani kiuchumi ilitokea.
Serikali imechukua hatua na uchunguzi unaendelea maana zipo kila aina ya harufu kuwa ilikuwa ni hujuma ya Sukuma Gang. Jaribio hilo limeshindwa.
Habari zilizonifikia ni kwamba sasa wanaenda kutoboa bwawa la Mtera ili hatimaye likauke nchi iingie gizani watu wamlaumu Mama na kumkumbuka Mwendazake. Vyanzo vya umeme ni vingi lakini umeme unaotokana na maji (Mtera) bado ni la msingi.
Nashauri Usalama wa Taifa litupe macho huko Mtera kuzuia hujuma hiyo isitokee. Hatujui Plan C yao ni nini.
#FreedomIsBack
Wenye chama chao wako na mama... wale wakuja na mwendazake ndo wanaumia. Sema wenye chama chao ni wastaarabu, hawafokifoki kama wachunga ng'ombe...Ila CCM buana, watakwambia wako kitu kimoja
Kwangu mie nahisi alijiua.Wanasema mwendazake aliuwawa... TISS walifeli wapi?
Kuzalishwa sio ishu. Mbona wanazalishwa sana... tatizo wanaowazalisha badala ya kuwa baba wanakuwa watumwa...Chuki zako hazitaweza kushindana na wasukuma utashangaa dadako kazalishwa na ngosha we uko na key board tu, fanya kazi wewe ukomboe familia yako wasukuma huwawezi hata ufanyeje.
Sasa kwanini sukuma gang wanazusha ameuliwa?Kwangu mie nahisi alijiua.
Mwenyezi ndiye ajuaye zaidi>
- Alikuwa na pacemeker ambayo hatujui amekaa nayo kwa muda (expired??)
- Alikuwa na maradhi ya moyo
- alipinga na kukana kuwepo kwa hatari ya corona pamoja na wasaidizi wake wa karibu kufariki (Kijazi,Mahiga...)
- Hakuacha taasisi ya Urais ifanye kazi bali alijitahidi aguse kila kitu (overstretching na kuuchosha mwili kupita kiasi)
- Alikuwa si mtu wa kupokea ushauri (Nahisi madaktari wake wakiamua kusema tunaweza kupata mwanga zaidi)
Ni mapenzi yaliyopitiliza tu lakini ukiangalia hata siku anamuaga Kijazi anaonyesha kuwa hakuwa katika ubora wake kiafya.Sasa kwanini sukuma gang wanazusha ameuliwa?
Mapenzi yakipitiliza yasiwachumie watu dhambi kwa kuwasema wengine vibaya. Unajuiliza nani amuue mwendazake na ulinzi wote ule? Ni Kikwete? Kweli? Kwanini?Ni mapenzi yaliyopitiliza tu lakini ukiangalia hata siku anamuaga Kijazi anaonyesha kuwa hakuwa katika ubora wake kiafya.
Mwendazake yuko kwenye kibanda umiza