sasa ndio muda wa vyombo vyetu vya ulinzi na usalama kuwa macho bila kulala, tuwabaini wale wote ambao sio wazalendo na mara moja waondolewe, kamwe tusiwachekee watu wanao hujumu maendeleo ya wananchi, toa mara moja.
sisi wananchi tunaahidi kuwa fichua wale wote wanao panga au kufanya hujuma ktk idara zote au taasisi zote.
tunawafahamu, ni watu wanafiki sana, machoni wanajifanya tuko pamoja lkn moyoni wanatamaklni tuharibikiwe, hao lazima tuwafichue na waondolewe.
sisi wananchi tunaahidi kuwa fichua wale wote wanao panga au kufanya hujuma ktk idara zote au taasisi zote.
tunawafahamu, ni watu wanafiki sana, machoni wanajifanya tuko pamoja lkn moyoni wanatamaklni tuharibikiwe, hao lazima tuwafichue na waondolewe.