Mwendelezo wa hujuma dhidi ya Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan

Sasa wasukuma 50% watulie wakati wakiongozwa na mama wa Kizanzibari... na hawana cha kumfanya...
Now wana dominate mikoa yote ya kanda ya ziwa, magharibi, Kati, na hata huko Zanzibar wako kibao. Tuseme mikoa yote tu wasukuma wanadominate in numbers sasa endelea kuwachukia utajinyea kwa husuda. Kazi zao ni shughuli za uchumi tu na kuzaa over.
 
Naomba uweke sawa hapa kwa kutoa takwimu juu ya barabara unazodai walivipata kipind cha shujaa. Weka takwimu hapa kipind cha jakaya zilijengwa barabara km ngap na kipind cha shujaa zilijengwa barabara za km ngap.
 
Now wana dominate mikoa yote ya kanda ya ziwa, magharibi, Kati, na hata huko Zanzibar wako kibao. Tuseme mikoa yote tu wasukuma wanadominate in numbers sasa endelea kuwachukia utajinyea kwa husuda. Kazi zao ni shughuli za uchumi tu na kuzaa over.
Wazungu hawakufika elfu kumi wakatutawala watanganyika nchi nzima... hao acha wasambae nchi nzima, watatusaidia kutubebea mizigo...
 
Huku kigamboni wanahamisha stendi kupeleka mnadani...watu napo wakipiga kelele lawana zote zinaenda kwa mama kumbe kuna watu wanamwangusha sana Mama ili aonekane mbaya ....So sad
 
Hivi unajua mwaka 2012 wasukuma walikua milioni 17 Kati ya watanzania milioni 45 kwa mujibu wa sensa ya serikali? Projection mpaka sasa wasukuma wanaround 50% ya raia. Anayewapotosha anawaponza sana.
Bhosazi doh akena faida aje do cho!

Udikta kwa herii
 
Wazungu hawakufika elfu kumi wakatutawala watanganyika nchi nzima... hao acha wasambae nchi nzima, watatusaidia kutubebea mizigo...
Chuki zako hazitaweza kushindana na wasukuma utashangaa dadako kazalishwa na ngosha we uko na key board tu, fanya kazi wewe ukomboe familia yako wasukuma huwawezi hata ufanyeje.
 

Wanaomshauri mama kuanza na timu mpya. Hasa kwa kuanzia bila kulifurusha lile genge lote lililojaribu kumtilia kitumbua cha urais mchanga, hujuma zitaendelea kumea na kuwa mbaya zaidi.

Mola amjalie mama yetu kuweza kuwabaini na kuwachukulia hatua kali wote wanaomchulia.

Waliomo humu JF hata wakishindwa wakalegea tu kwa kuanzia haitakuwa mbaya sana.
 
Wanasema mwendazake aliuwawa... TISS walifeli wapi?
Kwangu mie nahisi alijiua.
  1. Alikuwa na pacemeker ambayo hatujui amekaa nayo kwa muda (expired??)
  2. Alikuwa na maradhi ya moyo
  3. alipinga na kukana kuwepo kwa hatari ya corona pamoja na wasaidizi wake wa karibu kufariki (Kijazi,Mahiga...)
  4. Hakuacha taasisi ya Urais ifanye kazi bali alijitahidi aguse kila kitu (overstretching na kuuchosha mwili kupita kiasi)
  5. Alikuwa si mtu wa kupokea ushauri (Nahisi madaktari wake wakiamua kusema tunaweza kupata mwanga zaidi)
Mwenyezi ndiye ajuaye zaidi>
 
Chuki zako hazitaweza kushindana na wasukuma utashangaa dadako kazalishwa na ngosha we uko na key board tu, fanya kazi wewe ukomboe familia yako wasukuma huwawezi hata ufanyeje.
Kuzalishwa sio ishu. Mbona wanazalishwa sana... tatizo wanaowazalisha badala ya kuwa baba wanakuwa watumwa...

Hata Simba na ukali wake huzalishwa... sio ishu kiviile
 
Sasa kwanini sukuma gang wanazusha ameuliwa?
 
Ni mapenzi yaliyopitiliza tu lakini ukiangalia hata siku anamuaga Kijazi anaonyesha kuwa hakuwa katika ubora wake kiafya.
Mapenzi yakipitiliza yasiwachumie watu dhambi kwa kuwasema wengine vibaya. Unajuiliza nani amuue mwendazake na ulinzi wote ule? Ni Kikwete? Kweli? Kwanini?
 
Nyie tifuaneni tu wala siungi mkono popote!

Dhambi mliyoifanya last October ndio matunda yake sasa!

Ushirika wa wachawi haudumu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…