KOLOKOLONI
JF-Expert Member
- Mar 7, 2014
- 2,476
- 2,371
Nimekuelewa, kama Kijichi asee choka mbaya huwezi ishi kuleTukumbuke Mbagala rangi tatu ni soko kubwa Sana ambalo limekuwa attached na Barabara kuu .Sokoni hakuna usafi wa ndiyo maana hata KARIAKOO huwa ni pachafu . Uchafu wa rangi tatu ni soko na shida kuu Machinga hawajawekewa Mahali maalum hivyo wamekaa hovyo hovyo .Uzembe wa Utawala wa soko unafanya paonekane hapafai lakini ukitika hapo sokoni rangi tatu Maeneo mengine yapo Safi Sana tu nenda Kongoe,Toangoma ni Kama Mbweni tu,Chamanzi Nyumba Safi katika mpangilio Safi Kabisa, Kijichi sawa tu maeneo yoyote ya VIP Tanzania.
Ukaifananishe maisha ya Sokoni ukafananishe na Mtaani Mnapopazungumzia ni Sokoni vurugu hizo ni Sokoni.
Hujanielewa,nimekwambia mbagala naifahamu tangu hiyo miaka na napita sana nikienda tuangomaSasa Mbagala ya 1990 tena..!!! Hivi unaijua ubungo ya pale kijazi ya mwaka 1994 kwamba palikuwa panauzwa miche ya migomba, michungwa etc..!? Leo hii unaweza ukabisha kwamba ndo pale pa 1994
Tatizo la Mbagala walikuwa wanagombea gari na kuingilia madirishani; au wameacha hiyo kitu???Hivi Dar kuna sehemu wanaingia bila kugombania? Labda huko Masaki to Masaki.
Maana hata wa Masaki kutokea Ubungo enzi hizo mie niliacha bado Ubungo ipo, walikuwa wanagombania vizuri.
Hata Mawasiliano wanagombania hao waenda mitaa ya Masaki
Yani wale wanafukuzwa mchana jioni wanarudi..na huo uchafu hapana kwakweliAnd they're are just comfortable
Wamezungukwa na uchafu Barabara,, wauza miwa wapo katikati ya barabara ya Mwendokasi..
Pachaaaafu.
Aiseee, Mbagala kuna hekaheka 🙌
Hata KARIAKOO Machinga wanafukuzwa Mchana jioni wanarudi .Tutambue tu shida ya pale rangi tatu barabara kuu imepitishwa Sokoni. hivyo kero za Sokoni zimeishambulia Barabara kuu.Yani wale wanafukuzwa mchana jioni wanarudi..na huo uchafu hapana kwakweli
Daladala zifuatazo zitapigwa marufuku pindi tu mwendo kasi itaanza safari zake.Kwanza kuna tofauti kati ya mwendokasi ya Gerezani na maeneo mengine ya Morogoro rd ba na Gerezani na Mbagala.
Mbagala kuna gari nyingi sana, afu pia njia kuu Kilwa rd ndio inayotumia kwa daladala kupakia abiria. Mfumo huu ni mbaya sana kwani unasababisha foleni kwa sababu njia ya kupita vyombo vingine vya usafiri inabaki ndogo.
Kwa sasa askari wa usalama barabarani inabidi aruhusu magari mengine kuchepukia kwenye mwendo kasi ili kuuwa foleni. Kwa sasa barabara ya mwendokasi imefungwa na mkandarasi sababu ya marekebisho foleni inaanza Rangi3 mpaka Kipati. Kufika Rangi3 unaweza kutumia saa 2 mpaka 3 kipande cha km1 tu. Nini kifanyike ili kunusuru tatizo hilo.
Serikali ijenge kutuo kitakachomeza daladala zote kama ilivyo mbezi. Yani isionekane daladala yeyote ikipakia abiria njiani. Hii italeta manufaa kwa sababu magari mengine yatapita kwa uhuru.
Kwa sababu kituo cha mwendokasi Mbagala ni kikubwa basi serikali igawanye, kuwe na stendi ya daladala, stendi ya mwendokasi na stendi ya magari ya mikoani.
Bila hivyo tutashuhudia kero baadae baada ya kukamilisha mradi.
Mbagala hakuna mipango miji itakayowezesha magari mengine kuchepuka, njia kuu ni moja tu, Kilwa rd.
na sijui kwanini pako hivyo,yani mtu haoni shida kupiga hatua kadhaa kutoka kwenye nyumba yake na akauza bila kujali mpango mjiKule wangetawaliwa na katili mmoja akawatungia sheria zake akili zingewakaa sawa,niseme tu hawana akili
chama chetu kinapenda hizo changamotoKwanza kuna tofauti kati ya mwendokasi ya Gerezani na maeneo mengine ya Morogoro rd ba na Gerezani na Mbagala.
Mbagala kuna gari nyingi sana, afu pia njia kuu Kilwa rd ndio inayotumia kwa daladala kupakia abiria. Mfumo huu ni mbaya sana kwani unasababisha foleni kwa sababu njia ya kupita vyombo vingine vya usafiri inabaki ndogo.
Kwa sasa askari wa usalama barabarani inabidi aruhusu magari mengine kuchepukia kwenye mwendo kasi ili kuuwa foleni. Kwa sasa barabara ya mwendokasi imefungwa na mkandarasi sababu ya marekebisho foleni inaanza Rangi3 mpaka Kipati. Kufika Rangi3 unaweza kutumia saa 2 mpaka 3 kipande cha km1 tu. Nini kifanyike ili kunusuru tatizo hilo.
Serikali ijenge kutuo kitakachomeza daladala zote kama ilivyo mbezi. Yani isionekane daladala yeyote ikipakia abiria njiani. Hii italeta manufaa kwa sababu magari mengine yatapita kwa uhuru.
Kwa sababu kituo cha mwendokasi Mbagala ni kikubwa basi serikali igawanye, kuwe na stendi ya daladala, stendi ya mwendokasi na stendi ya magari ya mikoani.
Bila hivyo tutashuhudia kero baadae baada ya kukamilisha mradi.
Mbagala hakuna mipango miji itakayowezesha magari mengine kuchepuka, njia kuu ni moja tu, Kilwa rd.
[emoji23]Yani wale wanafukuzwa mchana jioni wanarudi..na huo uchafu hapana kwakweli
Hahaha Mbagala ni pakipumbavu Sana , nimewahi Kufanya KAZI huko miaka mitano niliona maisha kama Niko Mogadishu!Kwa mara ya kwanza nilikanyaga mbagala mwaka 1990 nikielekea chamazi kule uvikiwata nimeishu huko kiezi miwili pakanishinda nikaacha kodi yangu ya miezi minne
Mimi niliwahi kusema mwendokas ya Mbagala itawahi kuharibikaSema kweli tunaishi Mbagala lakini binadamu aliestarabika hapaswi kuishi.
Mbagala inaongoza kwa uchafu. Barabara ya mwendokasi katikati imechafuliwa na wauza miwa, machinga na wengine.
We ni mjinga na mshenzi mmoja unaepanga bidhaa hapo barabara ya Zakhiem unakuja kutetea upuuziSasa Mbagala ya 1990 tena..!!! Hivi unaijua ubungo ya pale kijazi ya mwaka 1994 kwamba palikuwa panauzwa miche ya migomba, michungwa etc..!? Leo hii unaweza ukabisha kwamba ndo pale pa 1994
Yani ulinganishe Mbweni na Chamazi,Tukumbuke Mbagala rangi tatu ni soko kubwa Sana ambalo limekuwa attached na Barabara kuu .Sokoni hakuna usafi wa ndiyo maana hata KARIAKOO huwa ni pachafu . Uchafu wa rangi tatu ni soko na shida kuu Machinga hawajawekewa Mahali maalum hivyo wamekaa hovyo hovyo .Uzembe wa Utawala wa soko unafanya paonekane hapafai lakini ukitika hapo sokoni rangi tatu Maeneo mengine yapo Safi Sana tu nenda Kongoe,Toangoma ni Kama Mbweni tu,Chamanzi Nyumba Safi katika mpangilio Safi Kabisa, Kijichi sawa tu maeneo yoyote ya VIP Tanzania.
Ukaifananishe maisha ya Sokoni ukafananishe na Mtaani Mnapopazungumzia ni Sokoni vurugu hizo ni Sokoni.
Karibu kijichi mtoto mzuri.Shida Kilwa Road ina mshikamano wa watu wengi.
Ukiikatia hapo mataa ya Uhasibu, ndo unawakuta wa Kwa Aziz, Mtongani, Kijichi, Mbagala, Chamazi, Mbande, kule mbele ya Mbande sijui kunaitwaje, bado Kongowe, na mpka kule mbele kwake ‘sijui ndio Tuangoma.
Heee jamani poleni.
[emoji23][emoji23]Mbagala kama mwisho wa dunia vile[emoji28]Nilishangaa konda ananiambia ndio tumeshafika, gari jingine pandia hapo,, yaani katikati ya barabara[emoji23]
Nilikuwa naenda Kongowe.
Aloo, nilibaki nashangaa.
Mbweni na ToangomaYani ulinganishe Mbweni na Chamazi,
Vijana WA Mbagala hizo bangi mnazovuta inabidi serikali izipige marufuku. Taifa Lina vijana wa hovyo.
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app