Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Na Ikulu wanaenda muda wowoteKwa sasa Wasanii Ndio washauri Wakuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na Ikulu wanaenda muda wowoteKwa sasa Wasanii Ndio washauri Wakuu
Hii ndio habari inayotrend kwa sasa, makada kadhaa wa CCM wanasema kwa namna siasa za sasa zinavyokwenda bila kupata chawa mwenye wafuasi wengi mitandaoni na mwenye uwezo wa kujitoa ufahamu kumsifia mama Samia huku akiwananga watu wengine wote wenye mwelekeo tofauti na Mama Samia basi hali itaendelea kuwa mbaya na kila mara atatafutwa mtu wa kushika nafasi ya katibu mwenezi wa CCM taifa. Bila kupepesa macho, jina la Mwijaku ndio likapewa nafasi kubwa zaidi.
Hii ni zamu ya chawa kutafuna fursa za taifa kwa kilemba cha CCM.
ameshindwa malipo ya Kipunguni sembuse ueneziLabda hilo tako wanaona ni mvuto
BPiga kura kuchagua mwenezi.
A. Masanja mkandamizaji
B. Dotto magari
C. Mwijaku
D.gigy money
D. Gigy MoneyPiga kura kuchagua mwenezi.
A. Masanja mkandamizaji
B. Dotto magari
C. Mwijaku
D.gigy money
Atakuwa mhamiaji haramu huyu bila shaka yoyoteUmezariwa[emoji777]
Umezaliwa [emoji736]
Jifunze kuandika Kwanza.
Atakuwa mhutu huyu.Hacha[emoji777]
Acha.[emoji736]
Ila huyu jamaa kwa SAS Hivi Hana Kaz anazurura tu LondonKikeke hawezi kuacha kazi za taaluma yake afanye maigizo ya CCM, hizo ni post za watu wasio na ujuzi wowote.
Sasa hvi hafanyi kazi kokote pale Yuko anazunguka LondonDah sitaki Kikeke aende huko, yaani atoke BBC aje kuwa mwenezi si mumuweke hapo TBC huu utakuwa ujuha na matumizi mabaya ya raslimali watu
Haujanielewa mkuu, naheshimu mtazamo lakiniYaani Nape alitosha pamoja na uwezo wake mdogo ndio KKK asiweze?
Labda kama una maana ya kupiga kamati ya ufundi sawa na kwakuwa hicho kitengo hakihitaji mtu mwenye uwezo mkubwa wa kufikiria sawa.
Huyu atakuwa mrundi tuUmezariwa❌
Umezaliwa ✅
Jifunze kuandika Kwanza.
Jifunze kuandika vzrKikubwa umeelewa, ungekuwa ujaelewa usingekosoa kwahiyo hacha unafiki au ulikuwa wataka nafasi hiyo wewe nini mbona unawashwa asubuh hii,itakua ulisoma TEKU wewe
HahahMwijaku 🐼 vs Haji Manara 😀
Mbona Zuhura Yunus aliacha, tena BBC leo yupo na Mama yetu Mpendwa sana Mama Samia?Kikeke hawezi kuacha kazi za taaluma yake afanye maigizo ya CCM, hizo ni post za watu wasio na ujuzi wowote.
Steve Nyerere hahahaaPiga kura kuchagua mwenezi.
A. Masanja mkandamizaji
B. Dotto magari
C. Mwijaku
D.gigy money