Mwenye historia ya Nabii Mwamposa kabla ya kuanza huduma yake

Unajua kwanini waganga hawaishi?
 
Basi kwa hili hakuna imani salama..mana zote zimejengwa kwenye hiyo misingi.

#MaendeleoHayanaChama
Ni kweli, dini ya kweli ni akili yako inayokuunganisha na Mungu (Asili/ Nature).
Huna akili, huna uhusiano na Mungu, utababaishwa na manabii wa uongo na waganga, mwisho wako kwa ibilisi/ jehanam au kuangamia.
 
Watu wenye akili nzuri ni wachache sana,.
Elimu na utajiri(wa muda), hata majinga na mapumbavu mengi yanayo.
Kweli huwaweka huru wenye akili nzuri inayowaunganisha na Mungu.
Wamelaaniwa wanaomtegemea mwanadamu.
 
Hao mitume hawakuibukia tu kama uyoga.

Yesu aliwachagua mwenyewe. (Vetting).

Akaaa nao kipindi chote kabla ya kupaa. ( walipitia training).

Hivyo ni muhimu sana kupata mafunzo na kukidhi vigezo vya kazi husika kabla ya kuifanya.
 
Hata Nabii Tito alikuwa na mashabiki , ila walipomgundua wakamkimbia.
 
Hao mitume hawakuibukia tu kama uyoga.

Yesu aliwachagua mwenyewe. (Vetting).

Akaaa nao kipindi chote kabla ya kupaa. ( walipitia training).

Hivyo ni muhimu sana kupata mafunzo na kukidhi vigezo vya kazi husika kabla ya kuifanya.
Sio mafunzo pekee ndio mwamuzi

Yuda Iskariote akiposalisiti Yesu replacement yake kanisa lilifunga na kuomba Mungu nani ashike nafasi yake

Mungu akawaambia akawaonyesha kuwa mpeni Matiya

Sasa hivi mivyuo ya theolojia mtu akidoma mivyuo ya dini yao wanamuweka kazini bila hata kuomba Mungu kuwa huyo mtu kweli Mungu kamuita ili Mungu aseme mwenyewe sababu kazi ya kuweka wahudumu hudums tano yoyote ni yake

God factor imeachwa ndio masna makanisa ulaya na marekani waliingiza hadi mishoga kanisani kuwa mapadri au wachungaji matokeo ikapigania ndoa za jinsia moja na ushoga na usagaji ikiwa na mivyeti yoye ya digrii za vyuo vya theolojia vya dini zao
 
Yuda alikua na jukumu lake maalum.

Yesu alimchagua na alifahamu kuwa hiyo ndio kazi yake.
 
Hajakosoa kipawa, Bali kasema kwamba kipawa kinakaa ndani ya mtu sio kwenye mafuta na udongo au maji.
Kinaweza tumika kwa namna mbalimbali. Yesu alitemea mate udongo akampaka mtu akaona. Eliya/Elisha alimwambia mtu akaoge mto yordan mara 7. Na mafuta yamezungumziwa mara nyingi ktk biblia kuwapaka wagonjwa, wafalme n.k na hata sisi Waroman huwa tunapakwa mafuta wakati flani mapadre.
 
Yuda alikua na jukumu lake maalum.

Yesu alimchagua na alifahamu kuwa hiyo ndio kazi yake.
Mpaka leo Yesu ndio anatakiwa kuwa consulted nani aingie kwenye utumishi kanisani wa kudumu hata kama kamakiza midomo yote ya kidini vyuo vya theokojia vya kidini na kufaylu viwango vya juu mno
 
Hapa unamtetea Mwamposa sio Mungu.
Unatetea matumizi ya maji na mafuta.
Hata hili hujui kutofautisha?
Lakin anatumia mafuta na maji kwa jina la nani jomba
 
Mwamba alipambana Sana. Mwacheni ale mema ya Mung u.
 

Attachments

  • IMG_20220831_142831.jpg
    77.3 KB · Views: 17
Kuna namna mbili ya kuwapima watu ea Mungu
1. Mtazamo wa kibinadamu , ambapo kwa mtazamo huu hakuna mbinguni, dunia wala kuzimu aliekamilika mbele za watu wote.
2. Mtazamo wa Mungu: hapa unaweza pata watu waliokamilika, Mungu mwenyewe malaika na wanadam wenye kumpendeza.

Anachokifanya mwamposa sio kigeni
hata Yesu mwenyewe alikua akiongelewa hivi.


Yohana 7:45-52
[45]Basi wale watumishi wakawaendea wakuu wa makuhani na Mafarisayo. Nao wakawaambia, Mbona hamkumleta?

[46]Wale watumishi wakajibu. Hajanena kamwe mtu ye yote kama huyu anavyonena.

[47] Basi Mafarisayo wakawajibu, Je! NYINYI NANYI MMEDANGANYIKA?

[48]Ni NANI KATIKA WAKUU AMWAMINIYE, AU KATIKA MAFARISAYO?

[49] LAKINI MAKUTANO HAWA WASIOIFAHAMU TORATI WAMELAANIWA.

[50]Akawaambia Nikodemo, (naye ni yule aliyemwendea zamani, maana ni mmoja wao),
[52]Wakajibu, wakamwambia, Je! Wewe nawe umetoka Galilaya! Tafuta, ukaone ya kuwa kutoka Galilaya hakutokea nabii.
 
Nashkur kwa ufafanuzi huu mujarab..Sasa ngoja tuwasikilize wenye mawazo tofauti
 
Nimekuelewa jomba
 
Hao mitume hawakuibukia tu kama uyoga.

Yesu aliwachagua mwenyewe. (Vetting).

Akaaa nao kipindi chote kabla ya kupaa. ( walipitia training).

Hivyo ni muhimu sana kupata mafunzo na kukidhi vigezo vya kazi husika kabla ya kuifanya.
Umesoma na kuelewa hiyo
Luka 9:49-50 ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…