Kisha waliotumia leso za Paulo walikunya Nyoka, Wadudu, Panya, konokono, Hirizi, tandu, Mjusi na waliokuwa tasa walijifungua Kobe na Hirizi. This is very Weird 🏃🏃🏃Kisha baada ya hayo Paulo akaanzidha biashara ya leso na nguo za upako ili ziwaponye watakaonunua.
Kimsingi yeye injili yake ameijenga kwe helaa na uponyaji,juuu ya kukemea dhambi hiyo usimuulizeeAnapokosea
1. Hajaombea watu Sala ya Toba
2. Hajawahi batiza
3. Hajawahi ombea watu wajazwe Roho Mtakatifu.
4. Hajawahi fundisha watu kuishi utakatifu na kwenda mbinguni.
5. Anasema Yesu ni WA dhehebu zote yaani hata ukiwa mpagani wewe pokea mafuta kaendelee na maisha Yako.
Je Kuna kipawa cha kupotosha injili?
Yesu hakuwahi kuoa wala kujihusisha na wanawake kabisa,. Mwamposa alioa na alizaa maana yake ni rijali ana matamanio ya kimwiliHuna Hoja kuoa sio Lazima
Mtu wa Mungu Yesu Mbona hajaoa?!
Vipi yule jabir wa geita aliekuwa anafundisha watoto wadogo kuwa mashoga mnatangaza lini kuwa mtume?Ila ingekuwa katoliki wangetangazwa kuwa watakatifu ili mradi wamefia kanisani. Hakuna kanisa lenye usanii Kama katoliki na mapadre wao walawiti
ndiyo hawa akina mwamposya. wao injili si ministry(huduma) bali industriy(tasnia)Hivi wale Wana mazingaubwe wameendaga wapi siku hizi mana siwaskii mitaan Wala mashuleni!
Kabla ya kuja dar huduma yake ameifanyia Moshi miaka mingi sana, Moshi kwa mwamposa ni kama nyumbaniHuyu mwamba tangu alipowaweza wachaga Kule Moshi mpk wakakanyagana kwny Mafuta nilimuogopa.
Mangi waliingizwa kingi aisee
Mwacheni Mtumishi Afanye kaziYesu hakuwahi kuoa wala kujihusisha na wanawake kabisa,. Mwamposa alioa na alizaa maana yake ni rijali ana matamanio ya kimwili
kabisa....ukisoma Biblia manabii walikuwa govermental. kazi yao ilikuwa kuona masuala mazito kwa ajili ya taifa na kuwashauri watawala/wafalme. leo hawa wahuni kazi yao ni kuuza maombi na bidhaa na kutafuna wake za watu kisha wanajiita manabii.Hawata kuelewa.
Wote wanaojiita mitume na manabii most of them ni fake
Umeongea point ambayo ni wachache watakuelewa YESU alivyotoa damu yake inatakiwa tuitumie hiyo na sio kitu kingine tatizo watu wamestuck kwenye agano la kale na wakati tupo agano jipyaKipindi hicho Yeau alikuwa hajadhirishwa.
Soma kwa umakini Ebrania Sura ya 5
Yaani I took time to watch him akiwa Geita na Musoma, Mwanzo hadi Mwisho. Sikuwahi kusikia tubuni na kuamini Injili, Mpokee Yesu kuwa Bwana na Mwokozi wako. Zaidi ya Miujiza ya kupaka Mafuta na kumwaga Maji na kukutana na Mazingaombwe. Then watoe Sadaka za Kujimaliza. Na kuwaambia Watu hawafanikiwii Kwa kuwa Wamelogwa. Mtumishi wa aina hii Noooooooo!Mkuu, maandiko hayajawahi kupinga miujiza mikubwa mikubwa kutokea kwa watu, bali imeonya kuwa hata wasio wa Mungu wanatenda hayo. Maandiko yametuonya tuyapime yote na kama yametokana na Mungu. Ni kosa kubwa sana kujenga msingi wa imani yako kupitia miujiza, ziko sababu nzito tu za kimaandiko.
1. Miujiza sio lazima imbadili mtu imani yake. Hili ni kubwa zaidi, tunaona kwa hiki kizazi cha manabii Waislamu na wapagani wengine wakipokea miujiza na kurejea kwenye imani zao. Wengine wengi wamejenga imani zao kwa mwamposa na maji na mafuta anayotoa. Hii ni hila ya shetani kabisa.
2. Miujiza ya mbinguni imelenga kumpa Mungu utukufu kwa sababu Mungu wa mbinguni hashiriki utukufu wake na kiumbe. Licha ya kauli ya kisanii "nani mtenda miujiza? ", lakini ni ukweli usio shaka wafuasi wa Mwamposa humpa utukufu yeye.
3. Msikilize vema Mwamposa, ni mhubiri mzuri sana wa miujiza na mafanikio. HAHUBIRI INJILI YA UFALME WA MBINGUNI. Wafuasi wake WOTE ni genge la wasaka mafanikio na afya pekee, kwani huhubiri habari za uzima ujao na maisha baada ya kifo. Huyu ni mtu hatari mno kwa ufalme wa mbinguni kwani anawafungia watu mlango wa mbinguni kwakuwaahidi raha ya hapa duniani.
4. Baada ya kushuhudia miujiza wafuasi wake hutoka bila uwezo wala upeo wa kumhubiri Kristo badala yake wana nguvu na mamlaka ya kuhubiri uweza wa Mwamposa kuponya. Hii inasababishwa na kutofundishwa neno la uzima bali majigambo na majivuno ya mhubiri kuponya. Wafuasi wake bila kujua hujifanya mabalozi wakubwa wa Mwamposa kwa watu wengi huku wakimnadi ni jinsi gani anaweza kuponya na kukupatia mali nk. Hii ni hila ya shetani.
Yako mengi ambayo ningeweza kuyaandika hapa lakini naishia hapo nisikie unajibu vipi hoja hizi za kimaandiko.
kisha akenda nigeria kupewa huo unabii baada ya hapo akahamia dar kwenye vinono vingi? usisahau hiliKabla ya kuja dar huduma yake ameifanyia Moshi miaka mingi sana, Moshi kwa mwamposa ni kama nyumbani
Nenda youtube utapata hiatoria yake kablaJF
Ningependa kujua chanzo na historia nmya mtumishi huyu Mwamposa kabla hajaanza huduma yake
Nigeria ndio yalikuwa makao yao makuu kwa yule nabii wa uongo aliyefariki.kisha akenda nigeria kupewa huo unabii baada ya hapo akahamia dar kwenye vinono vingi? usisahau hili
Umeandika andiko refu lililojaa upuuzi na pumba.Hayo ni kweli lakini Yale SIO mafuta ya upako ni mafuta yanayotengenezwa kwa formula za kushirikina.
Na zinajukana . MTU yeyote anaweza kuyanunua Kwa maustadhi na yanafanya KAZI Kwa Hiyo SIO upako Wa Kikristo Bali ni mchanganyiko Wa mitishamba kama Dawa nyingine za kisuna. KUWADANGANYA watu Kuwa ni upako Wa Roho Wa MUNGU ni kupotosha na kumwandolea MUNGU sifa za Upekee.
Natamani kuwaambia ukweli Wakristo wenzangu mana wamepotoka sana. Uliona Mashekhena ubwabwa wameenda kumuunga mkono Nabii Mkuu . Ni Muislam Gani anayekubali Kuwa kuna Nabii mwingine baada ya Nabii Mohamad (SAW)? Wale ni wataalam Wa Dawa za Kisuna wanajua Kuwa zipo Dawa za Kisuna na za majini zinazotumiwa kutibu Kwa uwezo Wa Allah MTU akapona mana Kila kitu alikiumba yeye na akaumba Dawa za Kila Ugonjwa Katika miti aliyoiumba ?
Nikuulize Swali ?
Hiví Unaonaje kama Madaktari Wa Muhimbili wangesema Kuwa tunatibu Kwa Jina la Yesu ! Njooni Juma Pili mlete wagonjwa wenu WOTE waliovuniika miguu ,wenye matatizo ya macho tuna macho ya KIROHO,macho ya upako Yaani miwani. Wakati huo binadam wawe hawajapata elimu Juu ya sayansi rasmi ya tiba ? Je, watu wasingefurika Muhimbili nakujua Kuwa ni Imani ya Kikristo kutibu Kumbe ni sayansi ya Kigiriki na Kirumi ?
Kwa Sasa Imani zimegubikwa na Sayansi ya Kale ya MISRI .
Wayahudi wamegubikwa na Sayansi ya Kimisri ikiwemo Mussa Aliyekulia Kwa Faraoh kama Mtoto Wa Mfalme. Mussa alijua sayansi na ushirikina WOTE mana alikulia NDANI ya Ikulu ya Faraónh Lakini aliuacha akamwamini MUNGU Mmoja na Kupinga Imani za kishirikina . Waisraeli wengi walijua mbinu za wamisri za kishirikina lakini walikua wanaamrishwa waepukane nazo na wakawa wanatungiwa Sheria Kali sana kuachana nazo.
Musa alichelewa kurudi Toka mlimani Siku 40 tu Waisraeli wakaanza ibada za Sanamu Kwa kuchonga Sanamu ya Ng'ombe na kuiabudu.
MANABII WENGI WANATAMANI MIUJIZA LAKINI HAWATAIPEWA KAMWE NA MUNGU ANAACHA MAKUSUDI ILI KUWAJUA WATU WAKE HALISI. SASA WENGI WANAPOONA MUNGU ANACHELEWA KUJIBU MAOMBI YAO YA MIUJIZA WANAAMUA KUCHONGA SANAMU ZA NG'OMBE YAANI VITAMBAA ,MAFUTA ,KEKI, CHUMBI N.K. HIZI NI IBADA ZA WAMISRI. NA MPAKA LEO KULE MISRI KUNAVYUO VYA KICHAWI LAKINI KWA SABABU WANAFUNDISHA KWA KIARABU BASI WATU WANAJUA KUWA NI VYA KIDINI HIVYO KUNA WATU WENGI WANASOMEA KULE NA WANAJUA FOMRULA NYINGI ZA DAWA ZA KUONA ,KUFUGA NA KUTOA MAJINI. NDIZO WANAZOWAPA MANABII NA MAKRISTO WA UONGO WALIOCHOKA KUOMBEA KWA JINA LA YESU BILA MAFUTA NA KUONA KUWA WANATUMIA NGUVU KUBWA SANA KUOMBA NA HAKUNA MUUJUZA WALA NINI.
MAFUTA ni Ibada ya Sanamu.
YESU alimpaka MTU matope machoni kama Dawa lakini na kumwambia Kuwa Imani yake imemponya. Ile ilikuwa ni Dawa tu kama Panadol . Hakusema Kuwa ni matope ya upako.
Someni Vitabu .
In short this guy is fake! Huhitaji hata dakika tano kujua ni wakala wa shetaniYaani I took time to watch him akiwa Geita na Musoma, Mwanzo hadi Mwisho. Sikuwahi kusikia tubuni na kuamini Injili, Mpokee Yesu kuwa Bwana na Mwokozi wako. Zaidi ya Miujiza ya kupaka Mafuta na kumwaga Maji na kukutana na Mazingaombwe. Then watoe Sadaka za Kujimaliza. Na kuwaambia Watu hawafanikiwii Kwa kuwa Wamelogwa. Mtumishi wa aina hii Noooooooo!
Ukioa wewe inatosha sana...sio kila mtu anawaka tamaa za ngono kama wewe.Kuoa ni lazima maana yule ni rijali, je mihemko yake ya kihisia anapeleka wapi?
Kwa maslahi ya waumini wake ilitakiwa amsamehe mkewe wawe pamoja