Mwenye historia ya Nabii Mwamposa kabla ya kuanza huduma yake

Kimsingi yeye injili yake ameijenga kwe helaa na uponyaji,juuu ya kukemea dhambi hiyo usimuulizee
 
Huna Hoja kuoa sio Lazima
Mtu wa Mungu Yesu Mbona hajaoa?!
Yesu hakuwahi kuoa wala kujihusisha na wanawake kabisa,. Mwamposa alioa na alizaa maana yake ni rijali ana matamanio ya kimwili
 
Ila ingekuwa katoliki wangetangazwa kuwa watakatifu ili mradi wamefia kanisani. Hakuna kanisa lenye usanii Kama katoliki na mapadre wao walawiti
Vipi yule jabir wa geita aliekuwa anafundisha watoto wadogo kuwa mashoga mnatangaza lini kuwa mtume?
 
Hawata kuelewa.
Wote wanaojiita mitume na manabii most of them ni fake
kabisa....ukisoma Biblia manabii walikuwa govermental. kazi yao ilikuwa kuona masuala mazito kwa ajili ya taifa na kuwashauri watawala/wafalme. leo hawa wahuni kazi yao ni kuuza maombi na bidhaa na kutafuna wake za watu kisha wanajiita manabii.

mtu hujawahi kulitabiria taifa hata jambo moja kisha unajiita nabii
 
Kipindi hicho Yeau alikuwa hajadhirishwa.

Soma kwa umakini Ebrania Sura ya 5
Umeongea point ambayo ni wachache watakuelewa YESU alivyotoa damu yake inatakiwa tuitumie hiyo na sio kitu kingine tatizo watu wamestuck kwenye agano la kale na wakati tupo agano jipya
 
Yaani I took time to watch him akiwa Geita na Musoma, Mwanzo hadi Mwisho. Sikuwahi kusikia tubuni na kuamini Injili, Mpokee Yesu kuwa Bwana na Mwokozi wako. Zaidi ya Miujiza ya kupaka Mafuta na kumwaga Maji na kukutana na Mazingaombwe. Then watoe Sadaka za Kujimaliza. Na kuwaambia Watu hawafanikiwii Kwa kuwa Wamelogwa. Mtumishi wa aina hii Noooooooo!
 
kisha akenda nigeria kupewa huo unabii baada ya hapo akahamia dar kwenye vinono vingi? usisahau hili
Nigeria ndio yalikuwa makao yao makuu kwa yule nabii wa uongo aliyefariki.
Siku hizi wameadvance sio lazima kuenda Nigeria popote ulipo wapo
 
Ana muhubiri Yesu wake wa mafuta na maji anaetaka kuchanganywa Ili afanye Kazi na sio Yesu wa Nazareth asiyechanganywa.
 
Umeandika andiko refu lililojaa upuuzi na pumba.

#MaendeleoHayanaChama
 
In short this guy is fake! Huhitaji hata dakika tano kujua ni wakala wa shetani
 
Kuoa ni lazima maana yule ni rijali, je mihemko yake ya kihisia anapeleka wapi?

Kwa maslahi ya waumini wake ilitakiwa amsamehe mkewe wawe pamoja
Ukioa wewe inatosha sana...sio kila mtu anawaka tamaa za ngono kama wewe.

#MaendeleoHayanaChama
 
Kuhusu suala la huyu Mwamposa nina ushahidi kabisa ana muunganiko na nguvu za giza.
Kwa sababu kuna siku wakati yupo pale Sinza Vatican nilienda pale akawa anaombea watu na ilipofika kwangu akaniuliza shida yako nini? Nikamwambia nahitaji kazi na maombi nilishapeleka lakini bado kuitwa alichoniambia *NYOTA * zangu zimeshuka zipo chini akaniombea. Halafu kuna Uncle wangu ni Mganga wa Kienyeji haswaa huwa anatoa huduma kwa Viongozi wakubwa wa Serikalini na sifa zake zimewafikia mpaka Waarabu wa Oman, Doha, Bahrain, Qatar kote huko huwa anaenda kutoa huduma ya tiba na watu huwa wanafanikiwa. Sasa huyo Uncle wangu kuna siku nilikutana nae Sehemu ananua dawa kwenye maduka ya dawa za asili na yeye ndiyo aliyeniona akaniita. Tukazungumza pale akaniuliza vipi Kazi ulishaanza? Nikamwambia bado baada ya dakika kadhaa pale pale akaniambia Nyota zako chini.
Sasa Mwamposa aliniambia Nyota zangu zipo chini na huyu Mganga wa Kienyeji Naye aliniambia nyota zangu zipo chini. Kuna nini hapo?

Sent from my SM-J700H using JamiiForums mobile app
 
Nabii wa KWELI wa MUNGU hutenda miujiza kwa uwezo wa ROHO MTAKATIFU aliyepewa na MUNGU na siyo kwa uwezo wa "mafuta" au "keki" au kitu chochote kile. Tena siyo yeye anayetenda bali ni YULE ROHO wa MUNGU akaaye ndani yake.

Na huduma hiyo hutolewa bure kabisa bila malipo yoyote. YESU KRISTO alisema : "mmepewa bure, toeni bure". Na ndivyo akina Petro na mitume wengine walifanya zamani zile.

Huyo Mwamposa hana ROHO MTAKATIFU. Mwamposa ni mfanyaMAZINGAOMBWE anayetumia jina la YESU KRISTO kama kivuli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…