Mwenye historia ya Nabii Mwamposa kabla ya kuanza huduma yake

Sitaki nimhukumu mwamposa Ila ninachojua hakuna huduma ya mafuta ya upako kwenye biblia tokea mwanzo mpaka ufunuo
 
14 Ndipo akashuka, akajichovya mara saba katika Yordani, sawasawa na neno lake yule mtu wa Mungu; nayo nyama ya mwili wake ikarudi ikawa kama nyama ya mwili wa mtoto mchanga, akawa safi.
2 Wafalme 5:14

15 Akamrudia yule mtu wa Mungu, yeye na mafuatano yake yote. Akaja, akasimama mbele yake; akasema, Sasa tazama, najua ya kwamba hakuna Mungu duniani mwote, ila katika Israeli; basi nakuomba upokee mbaraka kwa mtumwa wako.
2 Wafalme 5:15

16 Lakini akasema, Kama Bwana aishivyo, ambaye nimesimama mbele yake, sipokei kitu. Akamshurutisha apokee; lakini akakataa.
2 Wafalme 5:16

17 Naamani akasema; Kama sivyo, lakini mtumwa wako na apewe mzigo wa udongo wa baghala wawili; kwa maana mtumwa wako hatatoa tena sadaka ya kuteketezwa wala dhabihu kwa miungu mingine, ila kwa Bwana.
2 Wafalme 5:17

18 Jambo hili Bwana amwachilie mtumwa wako; bwana wangu akiingia nyumbani mwa Rimoni ili aabudu humo, naye akitegemea mkononi mwangu, nami nikijiinama nyumbani mwa Rimoni, hapo ninapojiinama nyumbani mwa Rimoni, Bwana amwachilie mtumwa wako jambo hili.
2 Wafalme 5:18

19 Akamwambia, Enenda kwa amani Basi akamwondokea mbali kidogo.
2 Wafalme 5:19

20 Lakini Gehazi, mtumishi wa Elisha mtu wa Mungu, akasema, Tazama, bwana wangu amemwachilia huyo Naamani Mshami, asivipokee mikononi mwake vile vitu alivyovileta; kama Bwana aishivyo, mimi nitamfuata mbio, nipokee kitu kwake.
2 Wafalme 5:20

21 Basi Gehazi akamfuata Naamani. Naye Naamani, alipoona mtu apigaye mbio anakuja nyuma yake, alishuka garini amlaki, akasema, Je! Ni amani?
2 Wafalme 5:21

22 Akasema, Amani. Bwana wangu amenituma, kusema, Tazama, sasa hivi wamenijia kutoka milimani mwa Efraimu vijana wawili wa wana na manabii; uwape, nakuomba, talanta ya fedha, na mavazi mawili.
2 Wafalme 5:22

23 Naamani akasema, Uwe radhi, ukatwae talanta mbili. Akamshurutisha, akafunga talanta mbili za fedha ndani ya mifuko miwili, na mavazi mawili, akawatwika watumishi wake wawili; nao wakayachukua mbele yake.
2 Wafalme 5:23

24 Naye alipofika kilimani, alivitwaa mikononi mwao, akaviweka nyumbani; akawaacha wale watu kuondoka, nao wakaenda zao.
2 Wafalme 5:24

25 Lakini yeye akaingia, akasimama mbele ya bwana wake. Elisha akamwambia, Watoka wapi, Gehazi? Akanena, Mtumwa wako hakuenda mahali.
2 Wafalme 5:25

26 Akamwambia, Je! Moyo wangu haukuenda na wewe, hapo alipogeuka yule mtu katika gari ili akulaki? Je! Huu ndio wakati wa kupokea fedha, na kupokea mavazi, na mashamba ya mizeituni, na mizabibu, na kondoo, na ng'ombe, na watumwa, na wajakazi?
2 Wafalme 5:26

27 Basi ukoma wa Naamani utakushika wewe, na wazao wako hata milele. Naye akatoka usoni pake mwenye ukoma kama theluji.
2 Wafalme 5:27
 
Hapo sinza Vatican hukuambiwa utoe hela?
 
Ulichoongea ni kweli ukishaona unaweka Imani yako kwenye vitu kama mafuta ya upako, maji ya upako na sio kwenye damu ya YESU na jina la YESU ujue Kuna shida mahali huna tofauti na mtu anayeabudu sanamu
 
Sitaki nimhukumu mwamposa Ila ninachojua hakuna huduma ya mafuta ya upako kwenye biblia tokea mwanzo mpaka ufunuo
Uko sahihi kabisa. Hata mitume wa YESU KRISTO hawakufanya huduma ya upako wa mafuta. KRISTO aliagiza watu wabatizwe kwa maji.

Lakini fahamu kwamba kusema ukweli au kukemea maovu ndani ya jamii sio "kuhukumu". Kuhukumu ni kutoa adhabu kwa muhusika. Na sisi hatujatoa adhabu yoyote ile kwa Mwamposa.
 
Haya yoote uliyotaja ilikuwa ni kivuli hayakuweza kukamilisha au kumkamilisha mwanadamu. Muujiza wowote ambao hautokani na kuuhubiri na kumuinua Kristo Yesu ni mazingaombwe maana Kristo ndio utimilifu wa Mungu.

Matendo 8:4 Hata hivyo, wale waliotawanyika wakapita katika nchi wakitangaza habari njema ya lile neno. 5 Sasa Filipo akashuka kwenda jiji la Samaria akaanza kuwahubiria kumhusu Kristo.
Umati wote kwa pamoja ulikazia fikira mambo ambayo Filipo alikuwa akisema huku wakisikiliza na kutazama ishara alizokuwa akifanya. 7 Kwa maana wengi walikuwa na roho waovu, na roho hao walipaza sauti kubwa na kutoka. Isitoshe, wengi waliokuwa wamepooza na vilema waliponywa. 8 Basi kukawa na shangwe kubwa sana katika jiji hilo.

Acha kukalilishwa na Mwamposa na doctrine ya mafuta, udongo, na maji. Utasema mbona Bwana Yesu alitumia udongo?. Swali hili ni sawa na kusema mbona Petro alitembea juu ya maji ati nawe uende ziwani utazama. Imani na utendaji wa Roho hauna mfanano Katu kuna uniqueness bali msingi ni katika kumuinua Kristo
 
YESU alibatiza kwa Roho, ndo maana yohana mbatizaji alisema mim nabatiza kwa maji Ila Yuko anayebatiza kwa Roho atakuja akimaanisha YESU
 
Anakama miaka 50
 

Hapa ndo alitoa kafara la uhakika
 
Juz nilikuwa nasikiliza radio yake nikasikia anaagiza waumini wake waende kanisani na udongo kutoka eneo la nyumba wanazoishi, sehemu ya KAZI au biashara.


Nikasema Huyu ni tapeli kama Tapeli wengine WA Tandale.

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Hapa imethibitisha hujui biblia Ile nafasi ya yuda aliyetakiwa kuichukua ni Paulo na sio metiya, metiya alipatikana kwa wanafunzi kupiga Kura wala hawakumuomba Mungu
 
Yes mke hana,ila kuna mdada kazaa nae kamjengea kighorofa huku Goba Kulangwa,alafu ni wale wadada wa mjini kishenzi.

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
Kuna Mzee kila usiku saa nne sio Mara zote ni baadhi ya siku utamkuta na maji ya upako ya mwamposa anamwaga kwenye ukuta wake swali ambalo najiuliza kwanin asitumie jina la YESU au damu ya YESU kukilinda nyumba, inamaana anaamin maji ya upako kuliko damu ya YESU ukishaona hivyo uju Kuna shida mahali kubwa sana

Lengo la shetani ni kuhakikisha wakristo hawatumii either jina la YESU au damu ya YESU na watumia vitu vingine, kwa shetani hakuna vitu ambavyo ni tishio kama jina la YESU au damu ya YESU na mpaka sahivi ameshafanikiwa pakubwa sana

Mafuta ya upako na vitu vingine vyote vyenye jina la upako havina tofauti na mtu anayeabudu sanamu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…