Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 24,844
- 29,126
Nawe soma Efeso 4:11-13Kipindi hicho Yeau alikuwa hajadhirishwa.
Soma kwa umakini Ebrania Sura ya 5
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nawe soma Efeso 4:11-13Kipindi hicho Yeau alikuwa hajadhirishwa.
Soma kwa umakini Ebrania Sura ya 5
Rudi shem plzNitarudi pia
asikudanganye mtu mambo ya kiroho ni sawa na software kwenye vifaa vya electronics uki-install kwa mwenzake kwa ku define-keys version zitaendana kwahiyo mwamposa anajua mbegu akiipanda kwa roho aliyenaye kuingoa ni kazi watamtafuta tu habari ya kwamba kasali kanisa lolote ni geresha tu yule ni tapeli kama matapeli wengineMimi Kila siku nasikia wale ambao wanataka kumrudia Mungu anawaombea na akimaliza anawambia nendeni kwenye dhehebu lolote lilokaribu yako na muone mchungaji ili uendelee kuishi kiriho sasa Mkuu yeye anazunguka nchi nzima atawabatiza wangapi?
Unakijua Kiingereza vizuri? Kama unakijua basi ingia hapa, CCOG - Continuing Church of God
Kuna mengi utajifunza ikiwa tu una nia ya dhati ya kuujua UKWELI.
www.ccog.org
Niko hapa shem kuna mpya?Rudi shem plz
HAha koment sasaNiko hapa shem kuna mpya?
Unajua maana misionari?Nwamposa amesaidia Sana watu kufahamu habari za uzima na habari za Yesu na watu wameamini kupitia mahubir yake ...ni mmiongoni mwa wamisionari wa Karne hii
Kazi sanaUnajua maana misionari?
Hawa watu wanahitaji elimu zaidi sweetheartKazi sana
Hakika safari bado ni ndefu Sana...Hawa watu wanahitaji elimu zaidi sweetheart
Tutafika japo kwa uchovu mwingi sana.Hakika safari bado ni ndefu Sana...
😅😅😅 TaabaniTutafika japo kwa uchovu mwingi sana.
Huyu jamaa ni mfanyabiashara na biashara anayofanya ni ya huduma ya matumaini. Hawa wanaojiita manabii ndio Biashara wanayoifanya. Wanawauza huduma ya matumaini kwa watu waliokata tamaa na Maisha.Attitude ya mtumishi wa Mungu inatakiwa iwe taa kwa wapagani. Sasa kweli unamwaga mafuta eti watu wakanyage ndio wapone huku akijua kabisa Kuna msongamano mwishowe watu wakafa. Then haonyeshi hata compassion Wala sympathy ndio kwanza akarudi Dar kuendeleza mafuta!!!
Hiyo sio attitude ya mtu aliyeokoka..... Kwanza Kuna uponyaji Gani wa kulishana cake sijui mafuta. Sijawahi ona akihubiri kuhusu watu kumtafuta Mungu waende mbinguni? Sijawahi sikia akiomba watu wajazwe Roho Mtakatifu.... Yeye ni mafanikio tu, pesa,.na mafuta!!
Yule ni mjasiriamali anayejificha kwenye kanisa ila uzuri with time mtakuja kuelewa hope it won't be too late.
Mazingaombwe yamehamia makanisaniWalipotea baada ya kuja kizazi kinachojielewa.
Wale jamaa walikuwa wanatengeneza Pesa ila wao wenyewe ni maskini wa kutupwa
Hipo siku haina jina ambayo mwamposa atawabia wafanye kama mackenzi wa shakaholoKipawa? Ule ni uganga tu kama uganga mwingine. Kwa wakristo Kipawa kipo ndani ya mtu sio mafuta/keki Wala kutoa fedha Ili uombewe/appointment na Mtume!!
Hata hiki nikipawa piaAcha wivu hicho ni kipawa Wewe padri
Hawajapotea wala nn, ndo hawa walioamia makanisani na misikitini tunawaita Baba na makuhaniWalipotea baada ya kuja kizazi kinachojielewa.
Wale jamaa walikuwa wanatengeneza Pesa ila wao wenyewe ni maskini wa kutupwa
Upo sahihi.Mkuu kiongozi wa Mkristo ni biblia.
Hakuna mahali chumvi ilirudiwa kutumia mara kwa mara au mafuta.
Kila kitu huwa ni ufunuo na hutumika mara moja tu.
Unapotumia mara kwa mara au kusisitiza matumizi yake tayari hiyo ni imani potofu uliyoijengea imani.
Wakristo tuweni na akili na tuwe makini kujifunza neno kwani tunapoteza muda kwa vitu visivyo vya imani sahihi.
Haya maigizo ni upepo wa muda hautusaidii kitu.
Lengo kuu la Mungu ni mwanadamu kukombolewa dhambini na sio muujiza.
Muujiza ni msaada wa dharura lakini ukristo ni maisha ya mwamini kuuendea uzima wa milele.
Hadi lini tutakuwa watoto tukichukuliwa na kila upepo?
Maigizo haya yalianza kitambo enzi za biblia walikuwepo akina Simioni mchawi