Mwenye historia ya Nabii Mwamposa kabla ya kuanza huduma yake

Mwenye historia ya Nabii Mwamposa kabla ya kuanza huduma yake

Acha kukariri..unaikumbuka story ya naamani yule jemedari?
Unaikumbuka habari ya nyoka wa shaba?
Unakumbuka yule kipofu aliyepakwa tope?
Unafahamu wafalme walikua wakipakwa mafuta kwaajili ya upako wa kuwa wafalme?


Kama unaamini hizo story kwanini usiamini la mafuta na maji ya upako?
Una avatar mbaya ila mawazo chanya
 
Kwani waganga/wachawi hawaponyi watu? The thing is siyo mtumishi wa Mungu maana main main objective ya utumishi ni watu kuokoka umewahi ona anahubiri watu waokoke au wabatizwe?? Yeye anataka tu hata Mpagani aje apewe mafuta aendelee na Upagani wake wala Hana shida na wokovu wake!!

So nsingependa kuona anaitwa mtumishi wa Mungu.
Sasa ataokokaje km haja amini, akifanikiwa ndipo atamkiri kristo
 
Doctrine na revellation.

Mkuu hivi revellation haiweze kutumika kwa muda mrefu ? Mimi Nilidhani kunawakati unaweza vitumia vyote kwa wakati mmoja Inategemea umelenga kwenye Nini zaidi, au hitaji Ni lipi zaidi, maana shetani anambinu nyingi na anagome pia. Hachagui atumie mbinu gani Bali akuteke tu.

Sasa mkristu ukilemaa kidogo anakuingiza kwenye himaya yake. Ndio maana hata rc hutumia maji, hakuna limit yakutumia maji.

Tunauhakika gani Kama Yesu alipofanya tope kwa mate ilikuwa Ni kwa njia ya mafunuo?

Je yanapotumika maji au mafuta kwa kuunganisha na maombi kwa njia ya imani kwa Mungu kupitia Kristo Yesu Ni kosa?





Sent from my itel S33 using JamiiForums mobile app
 
Ndugu tofautisha doctrine imani na revelation mafunuo. Doctrine ya mkristo ni kuliamini jina la Yesu Kristo na kuliitia pale inapobidi kwa kukesha na kuomba.

Revelation ni mafunuo ya muda mfupi. Kwa mfano Yesu alipompaka matooe yule kipofu ilikuwa revelation ya muda mfupi sio imani au doctrine. Imani Ni muda wote wa ukristo ila mafunuo ni kwaajili ya muda huo pekee. Ndio maana humuoni Yesu akimpaka matope kipofu mwingine maana ilikuwa kwa wakati na kwa kusudi maalum.

Sasa manabii wa Leo wanatumia mafunuo na kuyanya imani. Yani watu waache kuliitia jina la Yesu Kristo na kuhangaika na mafuta na maji, ukiuliza wanakwambia mbona Yesu alifanya hivi. Njia moja ya kumjua Nabii wa uongo ni pale anapotumia mafunuo kama msingi wa imani.
Doctrine na revellation.

Mkuu hivi revellation haiweze kutumika kwa muda mrefu ? Mimi Nilidhani kunawakati unaweza vitumia vyote kwa wakati mmoja Inategemea umelenga kwenye Nini zaidi, au hitaji Ni lipi zaidi, maana shetani anambinu nyingi na anangome pia. Hachagui atumie mbinu gani Bali akuteke tu.

Sasa mkristu ukilemaa kidogo anakuingiza kwenye himaya yake. Ndio maana hata rc hutumia maji, hakuna limit yakutumia maji.

Tunauhakika gani Kama Yesu alipofanya tope kwa mate ilikuwa Ni kwa njia ya mafunuo?

Je yanapotumika maji au mafuta kwa kuunganisha na maombi kwa njia ya imani kwa Mungu kupitia Kristo Yesu Ni kosa?

Sent from my itel S33 using JamiiForums mobile app

Sent from my itel S33 using JamiiForums mobile app
 
Na kwenye madhabahu yake akuna ubaguzi wa dini wala dhehebu yeye anahubiri neno la Mungu na ndio maana unaona wamejaa watu wa dini zote

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Sasa mkuu ulishawahi kuona duniani kuna biashara ambayo inabagua Imani za wateja? Tofauti na mahubiri yake Mwamposa ameamua kufanya biashara ndani ya mahubiri yake au ndani ya kanisa lake

Kwa Mwamposa wanaenda watu wote wenye imani tofauti tofauti Kwa sababu zinawapeleka shida zao na sio mahitaji ya kiroho

Mwingine anataka kazi,anataka kuzaa, anataka kuona watoa ushuuda,anataka mafuta,anataka maji na mahitaji mengine mengine kutegemea na shida ya mtu husika

Kwa asilimia kubwa pale watu hawaendi kuokoka na wala hawaendi kumjua yesu Kristo kwahiyo na wala hawaendi kupata mahubiri ndomana sio issue kuona wenye Imani tofauti wanaenda pia

Kwahiyo sio Kwa ubaya ila sababu ya kuwapeleka wasio wakristo kwake inajulikana na wala haina uhusiano na ubora wa huduma au ubovu wa huduma, ata Mie waga naenda kununua maji katoni moja na kuwaagizia watu mkoani wenye uhitaji
 
Mwakasege mbona wapo wengi wanompinga ikiwepo na walokole.

Kulola mwywe alikua anapigwa vita na waTAG wenzie, had akakimbia kuanzisha EAGT.


Point yangu n kuwa huwezi mpinga mtu kwa emotions zako, au based na dini yako,
Hata Yesu, mafarisayo walimuita muongo, mwenye pepo na mpotoshaji,
Sa we kumpinga Mwamposa kwa emotions sidhani kama ina matter.

Then bila shaka utakua na chuki binafsi na Mwamposa,

Ninamfatilia na huwa na msikiliza mwamposa sijanona utofauti wowote wa kimaandiko kwa Mwamposa.

Nasali EAGT na oftentimes huwa pastor anamuhubiri Mwamposa, Ila nilichogundua na kinachomsumbua n hofu ya kukosa majibu kwa changamoto za waumini, ili kuzuia kupoteza waumini huwa anashia kumpaka tope.
Mm ni kkkt ila moja kati ya watu namuamini na kumuelewa ni huyu mwamposa nimekuwa mwanzo nikimpinga sana ila baadae nilikuja kuona kuwa niko wrongo

Imagine watu elf 20 kwa ibada moja humiminika kwake kwa jpili moja tu
Tu je hao watu hawana akili wanao mfata mwamposa .???
 
Hakuna ibada inayojaza watu wengi kama ibada za Mwamposa,ndio maana anapigwa mawe
Nitajie makanisa yote uyajuayo ya maombezi yenye watu wengi kama la kawe
 
Leo Mwamposa yupo Lupaso muone bila shaka kauli zenu zitabadilika
 
Umeshindwaje kuwatokelezea na mgonjwa wako pasipo kuwataarifu?

Bila shaka shetwain kakufunga sheikh
wanazuga watu wanawaibia wasiokuwa na elimu ila watu wenye elimu kubwa kama sisi huwezi kutudanganya mimi nilijua hawana uwezo wowote wa kumfanya kilema atembee huyo yesu mwenyewe aliwaokoa wengine wakati yeye alishindwa kujiokoa na akafa kifo cha laana ya taurati
 
Acha roho mbaya yani kwa maisha haya ya usasa afanyie bure..unadhani hiyo ministry ingesimama..mngemlipa hela ya kukodi hapo tanganyika pekaz...ungemlipia bili za umeme..unhemlipia vyombo vya miziki..usafi..usafirishaji..na mahubiri kwa njia za redio na tv.??

Ebu tumia akili kidogo..Yesu mwenyewe alihitaji fedha hadi akawepo mtunza fedha mzee yuda.

#MaendeleoHayanaChama
Wacha kumsingizia BWANA YESU mambo ya kijinga. YESU hakukusanya sadaka wala hakutembeza kapu la sadaka katika mikutano yake ya Injili. Kilichofanyika ni baadhi ya matajiri wachache walikuwa wanatoa pesa zao kwa hiari yao wenyewe.

Wanachokifanya sasa hivi hao wahuni akina Mwamposa na wengine kama yeye ni kuuza huduma ya Injili kwa kivuli cha "sadaka". Mbaya zaidi Injili yenyewe wanayoihubiri ni "injili ya uongo".

Wanachofanya ni kuchanganya mazingaombwe na mistari ya kwenye Biblia na kujifanya wao ni manabii wa MUNGU kumbe ni mawakala wa shetani.
 
Back
Top Bottom