Kaka yake shetani
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 5,771
- 14,732
Hawa UVCCM huyu kijana sijui Abdul ni sample ya takataka tokea kuumbwa vyoo vya kuflash. kuna kitu kimoja anashindwa kujua siasa anayotumia ili mtandao wa twitter ufunge sababu kuminya demokrasia unaweza kumtokea puani kama kila mtumiaji wa X anaweza kuandika malalamiko anavotumika na jina lake likawa blacklist na kufanya tishio wasije wawekezaji sababu za kauli yake.
X ina makampuni kibao na wawekezaji pamoja na watu wakubwa kama tukimpigia ili ndani ya miezi minne anaweza kujikuta hata facebook na whatsapp hayupo hatakiwi labda hatumie redio tbc na redio upepo kujtangaza siasa.
X ina makampuni kibao na wawekezaji pamoja na watu wakubwa kama tukimpigia ili ndani ya miezi minne anaweza kujikuta hata facebook na whatsapp hayupo hatakiwi labda hatumie redio tbc na redio upepo kujtangaza siasa.