Mwenye huyu mtoto mwambieni wazungu wanamshangaa na anaweza kujifungia kwenye fursa nyingi hakaishia na ujinga wake

Mwenye huyu mtoto mwambieni wazungu wanamshangaa na anaweza kujifungia kwenye fursa nyingi hakaishia na ujinga wake

Sasa hiki chama mwenye akili ni nani, ikiwa hata vijana wako kama wamerogwa🙆🙆🙆
nakuambiaje huyo mtoto anavyojitoa akili akiambiwa na wahifidhana wammwagie uji wa uumbaji anakubali. we mwangalie amekaa kichakulachakula
 
Hawa UVCCM huyu kijana sijui Abdul ni sample ya takataka tokea kuumbwa vyoo vya kuflash. kuna kitu kimoja anashindwa kujua siasa anayotumia ili mtandao wa twitter ufunge sababu kuminya demokrasia unaweza kumtokea puani kama kila mtumiaji wa X anaweza kuandika malalamiko anavotumika na jina lake likawa blacklist na kufanya tishio wasije wawekezaji sababu za kauli yake.

X ina makampuni kibao na wawekezaji pamoja na watu wakubwa kama tukimpigia ili ndani ya miezi minne anaweza kujikuta hata facebook na whatsapp hayupo hatakiwi labda hatumie redio tbc na redio upepo kujtangaza siasa.
View attachment 3045484
Haha jamaa sijui hazimtoshi, eti nawapa serikali miezi minne🤣🤣
 
Badala ya matusi na maneno ya shombo hebu watu wanaojielewa walete mbinu za kuwapanga watu kama hawa.
Kama kuna pa kuanzishia hashtag na iwe!
Naona wapenda demokrasia tumeishiwa pumzi kabsa tunabaki na maneno ya hivi ya kipwani pwani.
Huyu ni adui wa hadi ccm yenyewe kama aliyemkosesha kura Byabato kiaina.
 
Mtoto anatabia za kishangazi huyu si unaona hata Kitambi ka Shishi.
 
Back
Top Bottom