Snowden E
JF-Expert Member
- Apr 27, 2018
- 1,668
- 2,908
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hutumii mbs wakati unastream?Nielekeze Mzee mana hadi Mimi Bado na download nyimboDuh,its 2023 na watu bado mko na haya maswali,acha uzamani wa kudownload nyimbo tushatoka uko,stream nyimbo mzee tumia Spotify,BoomPlay,Apple play kote huku unapata sound nzuri na options za nyimbo nyingi
My best kabisa na recommend hii, kwanza ni open source na haina matangazo.aimp
Ustream bila bando...!?, acha masihala.Hutumii mbs wakati unastream?Nielekeze Mzee mana hadi Mimi Bado na download nyimbo
Ndo maana ya kustream means unatumia data, support kazi za wasanii wenu kwa kustream na kununua nyimbo zaoHutumii mbs wakati unastream?Nielekeze Mzee mana hadi Mimi Bado na download nyimbo
Kuna raia mpk leo wanadownload kazi za wasanii aseePeople are so yesterday aisee..
Spotify nalipia 6700 kwa mwezi premium..nakula ngoma with ease.
Poa acha niendelee kuwa nyuma Kwa ku downloadUstream bila bando...!?, acha masihala.
We unafanyaje.Hivi bado kuna watu wana download music ?
It's 2023 y'all.
Unalipia mara moja tu mkuu alafu hela ndogoo sanaaa...Poweramp ni mwisho wa kikao, tatizo ni ya kulipia
Iphone zinawafanya tupakue tule masong bila data muda wotee...Hivi bado kuna watu wana download music ?
It's 2023 y'all.
Kuna ngoma hazipo hukoNdo maana ya kustream means unatumia data, support kazi za wasanii wenu kwa kustream na kununua nyimbo zao
Tushatoka huko mzee wa kula kimasikhara. Its 2023.Iphone zinawafanya tupakue tule masong bila data muda wotee...
Nastream music Spotify.We unafanyaje.
[emoji28][emoji28][emoji28]Aaha mimi siwezi hiyo aisee nina hizo app ila sizitumiii kabisaa.Tushatoka huko mzee wa kula kimasikhara. Its 2023.
Mtu anamiliki Iphone, anakosaje bando la kustream music? Halafu kusteam music mbona hata haili data kihivyo?
Nastream music Spotify.
Nikiwa home natumia Smart TV yangu kama streamer kuplay Spotify (nimeunganisha TV na sound system).
Nikiwa kazini na stream kupitia Laptop kwa Spotify App ya kwenye Laptop.
Na hizi Apps za Spotify( ya TV na Laptop) hazihitaji hata kulipia, ingawa ukilipia utapata extra features ila kwangu free version inanitosha kabisa... hii hii free version inakupa UNLIMITED music.
Na kustream wala hakuli bando kivile...kawaida tu.
Mambo ya kudownload mziki niliachana nayo miaka 8 iliyopita.
Tushatoka huko kwenye kudownload nyimbo.Mzee hivi unajua nikizama kule Waptrick.. GB 1 nadownload ngoma hata zaidi ya 500 zenye wastani wa Mb 1 Kwa 'standard download' yake yenye ngoma Hadi za 800kb!? Aisee nadownload sana ngoma oldskool kule
Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app