Tafuta kinyesi cha nkyalu uogee mayu utapona kabisayaani kiujumli hili tatizo la kutojiamini limenianza toka nikiwa mtoto mpaka kufikia sasa japo nahisi limepungua kidogo labda kutokana na kukutana na watu wa tofauti tofauti kila wakati
kwa mfano kuna kitu nimewahi buni nikapeleka shuleni veta nikaambiwa nikitolee maelezo nilishindwa kabisa kila nikijitahidi mikono inatetemeka tu,
😳😳😳😳😳Tafuta kinyesi cha nkyalu uogee mayu utapona kabisa
Hujiamini kwa sababu unapenda kujilinganisha na watu/mtu Fulani. Anza kujipenda na kujiamini na wengine watakupenda piayaani kiujumli hili tatizo la kutojiamini limenianza toka nikiwa mtoto mpaka kufikia sasa japo nahisi limepungua kidogo labda kutokana na kukutana na watu wa tofauti tofauti kila wakati...
Dawa yake ipo inatengenezwa kama kashata unakua unakula kwa muda wa siku 40 asububi na jioniyaani kiujumli hili tatizo la kutojiamini limenianza toka nikiwa mtoto mpaka kufikia sasa japo nahisi limepungua kidogo labda kutokana na kukutana na watu wa tofauti tofauti kila wakati
kwa mfano kuna kitu nimewahi buni nikapeleka shuleni veta nikaambiwa nikitolee maelezo nilishindwa kabisa kila nikijitahidi mikono inatetemeka tu,
sku nyingine ukiwa na presentations tumia propanolyaani kiujumli hili tatizo la kutojiamini limenianza toka nikiwa mtoto mpaka kufikia sasa japo nahisi limepungua kidogo labda kutokana na kukutana na watu wa tofauti tofauti kila wakati
kwa mfano kuna kitu nimewahi buni nikapeleka shuleni veta nikaambiwa nikitolee maelezo nilishindwa kabisa kila nikijitahidi mikono inatetemeka tu,
shida kuna wakati inakuwa poa ila nikipewa nafasi watu wote wanakaa kimya halafu napoteza point kabisaaJichanganye na aina ya watu tofauti sehemu za michezo,draft bau huko watu wanabishana muda wote na watu wa mpira sijui Man City atamfunga Madrid ukiweza kuongea na watu kumi wakakubishia ukawaeleza rudi tena huko Veta watakushangaa ukiongea kwa kujiamini...
Tafuta pesa kaka,yaani kiujumli hili tatizo la kutojiamini limenianza toka nikiwa mtoto mpaka kufikia sasa japo nahisi limepungua kidogo labda kutokana na kukutana na watu wa tofauti tofauti kila wakati...
DaahTafuta pesa kaka,
Kujiamini kutakuja automatic,
Sitanii
kwamba alipoteza au au unamaana yakuwa hata teni na faru hana hapo alipo ooh ndio maana hajiamin...okwee mtoa uzi fuata ushaur wa mcoment uziTafuta pesa kaka,
Kujiamini kutakuja automatic,
Sitanii
Kaka nikisema pesa namaanisha pesa nyingi..kwamba alipoteza au au unamaana yakuwa hata teni na faru hana hapo alipo ooh ndio maana hajiamin...okwee mtoa uzi fuata ushaur wa mcoment uzi