Mwenye kujua dawa ya kumfanya mtu ajiamini

Mwenye kujua dawa ya kumfanya mtu ajiamini

Pole kwa hiyo changamoto. Ni tatizo, lakini si tatizo kubwa saaana. Hapana. "Linatibika". Hata Mimi nilishawahi kuwa na changamoto kama hiyo, na watu wengine wengi, lakini kwa sasa si tatizo tena...
Hapa umemaliza kila kitu
 
Pole kwa hiyo changamoto. Ni tatizo, lakini si tatizo kubwa saaana. Hapana. "Linatibika". Hata Mimi nilishawahi kuwa na changamoto kama hiyo, na watu wengine wengi, lakini kwa sasa si tatizo tena...
You're truly Gold
 
Sipendi kumkufuru Muumba wa Mbingu na Ardhi, ila kiukweli hii hali mm pia naipitia na kuna wakati ulifika nilifanya maombi ili tu Mungu aichukue roho yangu maana sioni thamani ya kuishi kabisa
Pole sana mkuu. Unaweza ukafafanua kidogo!

Jamii Forum ina hazina ya watu wenye uzoefu wa mambo mengi. Huenda kupitia michango yao ukasadika.

Hebu karibu kuelezea hali yako kwa mapana zaidi.
 
shida kuna wakati inakuwa poa ila nikipewa nafasi watu wote wanakaa kimya halafu napoteza point kabisaa
Njia pekee ni kukifanya unachokiogopa, na uwe tayari kuyapokea matokeo kwa mtazamo chanya.

Pili kwa jambo lolote unalolifanya lipitishe mwenyewe na usiwe na matarajio sana kwa watu manake wakilipokea tofauti na ulivyotarajia automatic confidence yako itashuka kumbuka hakuna anayekujali mkuu ila ni hisia zako tu.
 
Sipendi kumkufuru Muumba wa Mbingu na Ardhi, ila kiukweli hii hali mm pia naipitia na kuna wakati ulifika nilifanya maombi ili tu Mungu aichukue roho yangu maana sioni thamani ya kuishi kabisa
Pole sana, ilo ni tatizo moja wapo la akili lakini siku hizi watu wanajua mtu akijua ndio matatizo ya afya ya akili.

Hiyo ni social phobia hio, waone wataalamu wa afya ya akili.

Ingekuwa kawaida, ingekuwa mara moja moja sana tena, isinge athiri shughuli zako za Kila siku, ila mpaka kufikia hapo hio sio normal.
 
yaani kiujumli hili tatizo la kutojiamini limenianza toka nikiwa mtoto mpaka kufikia sasa japo nahisi limepungua kidogo labda kutokana na kukutana na watu wa tofauti tofauti kila wakati

kwa mfano kuna kitu nimewahi buni nikapeleka shuleni veta nikaambiwa nikitolee maelezo nilishindwa kabisa kila nikijitahidi mikono inatetemeka tu,
Onana na masheikh mkuu, wakusomee Msaafu
 
Piga k-vant ndogo utakuja nishukuru.
Mwaka 2011 Kuna project ambayo ilitakiwa tuipresent kwa katibu mkuu was baraza x tulikuwa watatu na tulimchagua mmoja wetu ambaye alitakiwa awe msemaji, dakika kumi kabla ya kuanza mkutano tukaonyeshwa chumba cha mkutano watu wamejaa wrote wapo na notebooks, laptop ni wataalam kutoka idara mbalimbali za serikali pamoja na bank ya Crdb.

Jamaa tuliyemuandaa kuzungumza akashikwa na yoga akanikanyaga mguu akaniambia hatoweza kuzungumza ameshikwa na woga, basi chap nikatoka nje nikajifanya Kuna documents nimesahau ndani ya gari nikaruka Posta ya zamani nikachukua nyagi ndogo nikabugia fasta nikachukua chewing gum na ndizi mbivu nikala nikarudi nikaingia mkutanoni nikafanya presentation ya hatari pangua maswali moja baada ya nyingine.

Yule katibu akasema vijana wadogo mna mambo makubwa na mko vizuri sana, tulitoka pale tukaenda feri kupunga upepo jamaa zangu hawakuamini kama no mm au mzimu, interview zangu zote nilipiga nikiwa nimelamba kilaji kidogo na zote nilifaulu, ninapoenda nagonga nusu glass ya royal stag iko poa na haina harufu so ni ngumu kwa mtu yeyote aliyekaribu kuhisi harufu.
 
Mwaka 2011 Kuna project ambayo ilitakiwa tuipresent kwa katibu mkuu was baraza x tulikuwa watatu na tulimchagua mmoja wetu ambaye alitakiwa awe msemaji, dakika kumi kabla ya kuanza mkutano tukaonyeshwa chumba cha mkutano watu wamejaa wrote wapo na notebooks, laptop ni wataalam kutoka idara mbalimbali za serikali pamoja na bank ya Crdb.

Jamaa tuliyemuandaa kuzungumza akashikwa na yoga akanikanyaga mguu akaniambia hatoweza kuzungumza ameshikwa na woga, basi chap nikatoka nje nikajifanya Kuna documents nimesahau ndani ya gari nikaruka Posta ya zamani nikachukua nyagi ndogo nikabugia fasta nikachukua chewing gum na ndizi mbivu nikala nikarudi nikaingia mkutanoni nikafanya presentation ya hatari pangua maswali moja baada ya nyingine.

Yule katibu akasema vijana wadogo mna mambo makubwa na mko vizuri sana, tulitoka pale tukaenda feri kupunga upepo jamaa zangu hawakuamini kama no mm au mzimu, interview zangu zote nilipiga nikiwa nimelamba kilaji kidogo na zote nilifaulu, ninapoenda nagonga nusu glass ya royal stag iko poa na haina harufu so ni ngumu kwa mtu yeyote aliyekaribu kuhisi harufu.
Tuma picha ya royal slag mkuu

Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
 
Ishi kwa kujichanganya kwenye magroup,jifunze kuchangia mijadala baada ya muda utazoea...kama utakua na tukio mhm sana,kama kufanya presentation kwenye watu wengi,...kunywa beta blocker (propranolol)...lkn isiwe ndio mazoea,fanya hivyo ukiwa una jua vzr hicho unachokwenda kuwasilisha,ili usiaibishe,maana utakua na kujiamin lkn kichwani empty.
 
Mwaka 2011 Kuna project ambayo ilitakiwa tuipresent kwa katibu mkuu was baraza x tulikuwa watatu na tulimchagua mmoja wetu ambaye alitakiwa awe msemaji, dakika kumi kabla ya kuanza mkutano tukaonyeshwa chumba cha mkutano watu wamejaa wrote wapo na notebooks, laptop ni wataalam kutoka idara mbalimbali za serikali pamoja na bank ya Crdb.

Jamaa tuliyemuandaa kuzungumza akashikwa na yoga akanikanyaga mguu akaniambia hatoweza kuzungumza ameshikwa na woga, basi chap nikatoka nje nikajifanya Kuna documents nimesahau ndani ya gari nikaruka Posta ya zamani nikachukua nyagi ndogo nikabugia fasta nikachukua chewing gum na ndizi mbivu nikala nikarudi nikaingia mkutanoni nikafanya presentation ya hatari pangua maswali moja baada ya nyingine.

Yule katibu akasema vijana wadogo mna mambo makubwa na mko vizuri sana, tulitoka pale tukaenda feri kupunga upepo jamaa zangu hawakuamini kama no mm au mzimu, interview zangu zote nilipiga nikiwa nimelamba kilaji kidogo na zote nilifaulu, ninapoenda nagonga nusu glass ya royal stag iko poa na haina harufu so ni ngumu kwa mtu yeyote aliyekaribu kuhisi harufu.
Vichwa vinatofautiana kuna bwana naye alishauriwa jambo kama hilo kwa bahati mbaya zaidi badala ya presentation akaanza kufoka tena hasa akaharibu kila kitu.
 
Back
Top Bottom