Da'Vinci
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 35,812
- 107,628
Confidence is not something you have, it's something you create.
Wanaokushauri bange na Pombe hawakutakii mema, maana hapo hutibu tatizo bali unalivika kilemba tatizo. Ni sawq unavaa miwani myeusi ili uone giza limeingia wakati bado saa 8 mchana.
Jitahidi kuongea mara kwa mara mbele za watu, utaakua sawa.
Wanaokushauri bange na Pombe hawakutakii mema, maana hapo hutibu tatizo bali unalivika kilemba tatizo. Ni sawq unavaa miwani myeusi ili uone giza limeingia wakati bado saa 8 mchana.
Jitahidi kuongea mara kwa mara mbele za watu, utaakua sawa.