Mwenye kujua dawa ya kupunguza hamu ya tendo la ndoa anijuze

Mwenye kujua dawa ya kupunguza hamu ya tendo la ndoa anijuze

Mm ni kijana 28 nina hamu sana na sex hata nikisex na mwanamke siku nzima kesho najikuta natamani tena kusex , mwanamke niliyekua naishi naye ameshindwa imebidi aondoke, hii hali naona kabisa inanitesa kiafya mwili wangu naona unadhoofika , kwahiyo anayejua dawa ya kupunguza hamu ya tendo anijuze!
Tafuta mtu akutoe rinda utaacha kuwaza upuuzi
 
Mm ni kijana 28 nina hamu sana na sex hata nikisex na mwanamke siku nzima kesho najikuta natamani tena kusex , mwanamke niliyekua naishi naye ameshindwa imebidi aondoke, hii hali naona kabisa inanitesa kiafya mwili wangu naona unadhoofika , kwahiyo anayejua dawa ya kupunguza hamu ya tendo anijuze!
Tangazo limekaa kijanja sana. Walengwa watakuja pm
 
Pool table a.k.a kuchukua Sheria mkononi sema hii inamadhara Kama utaifanya zaidi ya Mara moja kwa mwezi.
 
Back
Top Bottom