Mwenye kujua dawa ya kupunguza hamu ya tendo la ndoa anijuze

Mwenye kujua dawa ya kupunguza hamu ya tendo la ndoa anijuze

Mm ni kijana 28 nina hamu sana na sex hata nikisex na mwanamke siku nzima kesho najikuta natamani tena kusex , mwanamke niliyekua naishi naye ameshindwa imebidi aondoke, hii hali naona kabisa inanitesa kiafya mwili wangu naona unadhoofika , kwahiyo anayejua dawa ya kupunguza hamu ya tendo anijuze!
Upuuzi huu! Una majini kaombewe
 
Inaonekana hauko busy... Ukiwa busy unarudi umechoka mbona hamu inaisha.
 
Mm ni kijana 28 nina hamu sana na sex hata nikisex na mwanamke siku nzima kesho najikuta natamani tena kusex , mwanamke niliyekua naishi naye ameshindwa imebidi aondoke, hii hali naona kabisa inanitesa kiafya mwili wangu naona unadhoofika , kwahiyo anayejua dawa ya kupunguza hamu ya tendo anijuze!
Dawa zipo ka kope benki, ka kope kwenye vikundi 6 hiyo hela kula bata ikiisha anza kutafua marejesho kila wiki
 
Kuna mwaka niliishi Mbinga. Mpangaji mwenzangu ilikuwa anakula mara 6 kwa siku. Hadi mkewe akawa ananiuliza kama yeye hayupo. Usiku hakosi 3 hadi 4, saa anakuja kwenye chai anapiga pia, mahanadi lunch anqpiga tena, saa 10 anajifanya kuja kuoga, anapiga tena. Nikaombwa nimshauri. Alielewa kwa tabu sana. Binti alitoroka. Hadi Bahamas pale mademu 3 walimkimbia. Alikuwa muuza mitumba.
 
Mm ni kijana 28 nina hamu sana na sex hata nikisex na mwanamke siku nzima kesho najikuta natamani tena kusex , mwanamke niliyekua naishi naye ameshindwa imebidi aondoke, hii hali naona kabisa inanitesa kiafya mwili wangu naona unadhoofika , kwahiyo anayejua dawa ya kupunguza hamu ya tendo anijuze!
Ukikua utaacha.😆
 
Wewe mdogo so nilazima uwe unahamu hiyo yakufanya mara xote. Kitu ambacho kitakufanya uache ni mazoezi ya kila siku unayopata hiyo hamu
 
Kijana achana na hizo mambo, tafuta mambo ya kukufanya busy, wewe sio sex machine.
 
Back
Top Bottom