Mwenye kujua dawa ya kupunguza hamu ya tendo la ndoa anijuze

Mwenye kujua dawa ya kupunguza hamu ya tendo la ndoa anijuze

Fanya mazoezi, jishughulishe , usipende kukaa peke yako maana mawazo huanzia hapo, epuka vijiwe vyenye stories ya mademu, .. yote kwa yote bado hujapata majukumu, ukipata hiyo hamu itakuwa mbali kama mbingu na ardhi
Kwenye kukaa pekee ako na kwenda vijiweni hapo haviusiani Sasa atakwenda kijiwe gani Cha kuongea Simba na yanga
 
Mm ni kijana 28 nina hamu sana na sex hata nikisex na mwanamke siku nzima kesho najikuta natamani tena kusex , mwanamke niliyekua naishi naye ameshindwa imebidi aondoke, hii hali naona kabisa inanitesa kiafya mwili wangu naona unadhoofika , kwahiyo anayejua dawa ya kupunguza hamu ya tendo anijuze!
Stress
 
Nikisemaga hii nchi ina vijana wa hovyo huwa sieleweki, sasa huyu anakaa kwa shemeji yake kazi ni kula, kulala, rimoti ya tv na kujipulizia parfume basi, demu dada wa kazi. Halafu analeta mada ya hovyo jukwaani. Huyu ndio utasema anahitaji katiba mpya? Au anataka style za misuguano tu.

Kijana ukiwa na majukumu hata ukisikia demu wako anakuambia anakuja geto unaanza kuogopa manake utafelisha, mashine inaweza isisimame, sasa kodi hujui inalipwaje, utaacha kusimamisha mnara kila saa? Kuna watu wana majukumu giza likiingia anatakiwa arudi nyumbani na akikumbuka huko nyumbani ana kazi ya kwenda kuchakata mbususu anatamani kulala bar, manake mnara hauna mawasiliano kabisa.

Fanya kazi kijana usichague kuwa maskini, mbususu zipo sio kigezo cha urijali.
 
Mm ni kijana 28 nina hamu sana na sex hata nikisex na mwanamke siku nzima kesho najikuta natamani tena kusex , mwanamke niliyekua naishi naye ameshindwa imebidi aondoke, hii hali naona kabisa inanitesa kiafya mwili wangu naona unadhoofika , kwahiyo anayejua dawa ya kupunguza hamu ya tendo anijuze!
Dawa ni kuacha
 
Tafuta kalumanzila ailaze mashine kwa mwezi mmoja ili upate mda wa kuhamishia akili yako katika mambo mengine ya maendeleo.
 
Hiyo ni stage ya ukuaji tu
Sisi tulishaexperience mambo yote na sasa tuko hapa tunatafuta wa kuoa tukae kwa kutulia sasa tutafute hela kwa nguvu zote

Mwanamke kadiri unavyompa hela ndiyo anahitaji hela zaidi

Hicho kichwa hapo chini kadiri unavyokipa kazi ndiyo kinahitaji kazi zaidi siyo kwamba una manguvu kama unavyodhani ni stage tu kukua na siyo kosa sana
Ila kwa ushauri jaribu kupotezea sometimes
Mwili nao utajirudi ni kawaida sana hiyo

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Mm ni kijana 28 nina hamu sana na sex hata nikisex na mwanamke siku nzima kesho najikuta natamani tena kusex , mwanamke niliyekua naishi naye ameshindwa imebidi aondoke, hii hali naona kabisa inanitesa kiafya mwili wangu naona unadhoofika , kwahiyo anayejua dawa ya kupunguza hamu ya tendo anijuze!
In those days nilikuwa napiga kutwa nzima ukienda mbele Sana utalainika taratibu kwenye madeni ya kiuxhumi na majungu ya mke,piga mpaka wakimbie hata wafike kumi piga tuu mpka wakukimbie wote utapata wa kukomaa nae.
 
Back
Top Bottom