scolastika
JF-Expert Member
- Jan 26, 2019
- 3,863
- 5,719
point tena yeye hizi ni sababu ndogo kabisaMi naona tumshauri namna nzuri ya kukabiliana na changamoto anayo kutana nayo kwenye ndoa yake. Hakuna ndoa perfect hata moja duniani.
Yakupasa kukubali baadhi ya mapungufu ya mwenza wako na kujaribu kurekebisha Yale yanayozidi kipimo. Kila mtu anarekebishika kwa kiwango fulani cha msingi ni kujua ni kwa namna gani. Usitegemee kupata Malaika na kumbuka mtoto wako atakosa malezi ya wazazi wote wawili na Hilo ni kosa kubwa Sana.
We nomaMwambie akapeleke kitu kwako(zawadi ya wakwe ) akitoka tu hamisha vitu sepa
,,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwani si hata mamba ana Watoto?
Nina mume mkuuUmeanza hufukuzia Jimbo mdogo mdogo
Hainaga ushemeji.Nina mume mkuu
PoleHainaga ushemeji.
Ahsante sana mkuu.Pole
Acha uhuni 😎😎Mwambie akapeleke kitu kwao(zawadi ya wakwe ) akitoka tu hamisha vitu sepa
Sasa unaandika ko🤔 ngoja kina dada wajewadau uzi huu nauleta kwenu..nataka niachane nae huyu mwanamke nlonae nltoa posa tu ya elf 50,mahari cjatoa bado alikuja kwangu mwaka 2020 akang'ang'ania mageton.
Akakaa miez miwil watu wakantsha ikabd nmtolee posa il kwao wajue nko nae..sasa tumebahatk kupata mtoto mmoja ila najlaumu kuzaa nae kawa jeuri kburi mbishi anajbu majbu ya kikenge hata mbele ya rafk zangu.
Kwahiyo mnsaidie mbinu za kuachana naye nisije nikamtia kilema bure
Tafuta pesa panga mbali na yeye nunua vitu ndani na nguo baadhi. Siku ukiondoka ondoka na nguo ulizovaa basi.wadau uzi huu nauleta kwenu..nataka niachane nae huyu mwanamke nlonae nltoa posa tu ya elf 50,mahari cjatoa bado alikuja kwangu mwaka 2020 akang'ang'ania mageton.
Akakaa miez miwil watu wakantsha ikabd nimtolee posa il kwao wajue niko naye. Sasa tumebahatk kupata mtoto mmoja ila najlaumu kuzaa nae kawa jeuri kburi mbishi anajbu majbu ya kikenge hata mbele ya rafk zangu.
Kwahiyo mnsaidie mbinu za kuachana naye nisije nikamtia kilema bure
Mtu yeyote anayekushauri kwenye hili naye anahitaji ushauri.wadau uzi huu nauleta kwenu..nataka niachane nae huyu mwanamke nlonae nltoa posa tu ya elf 50,mahari cjatoa bado alikuja kwangu mwaka 2020 akang'ang'ania mageton.
Akakaa miez miwil watu wakantsha ikabd nimtolee posa il kwao wajue niko naye. Sasa tumebahatk kupata mtoto mmoja ila najlaumu kuzaa nae kawa jeuri kburi mbishi anajbu majbu ya kikenge hata mbele ya rafk zangu.
Kwahiyo mnsaidie mbinu za kuachana naye nisije nikamtia kilema bure
aachane nae tu hakuna cha kusikiliza upande wa pili wala nini kwanza inaonekana hata kwao huyo dada alisha chokwa jamaa akasusiwa tuMtu yeyote anayekushauri kwenye hili naye anahitaji ushauri.
Umeelezea upande wako na yeye hatujajua ana yepi yanayomkwaza.
Majibu ya kikenge ni matokeo. Tupe chanzo na ikiwezekana tumsikie na yeye pia
Naamaachane nae tu hakuna cha kusikiliza upande wa pili wala nini kwanza inaonekana hata kwao huyo dada alisha chokwa jamaa akasusiwa tu
Kabla ya kumwacha mpakie mkongo.Mwachie hilo geto na kila kitu ndio pensheni yake wewe sepa.
Mwachie hilo geto na kila kitu ndio pensheni yake wewe sepa.