Mwenye Updates za Stiegler's Gorge, SGR na bomba la Hoima atupatie. Mbona kama mbwembwe zimepungua? Tunakwama wapi?


Kwani ukikaa kimya unapoteza nini kuliko kutetea upuuzi kwa kutoa tafsiri potofu ya kiwanda?
 
Tangu lini kichaa akapanga mipango ikawa halisi ya kutekelezeka?
 
Bomba la mafuta litaanza mwezi wa 8, mwezi wa tisa makampunj yataingia site na mwezi wa kumi ni uchaguzi hafu ucheck picha.
Hiyo ni miradi ya kimkakati mzee.

SGR dar to moro tutazindua mwezi wa tisa au wa kumi!
Mishahara tutaongeza mwezi wa tano

Kaa kimya tu kijana.
 
Wasipopanda si ndo zitageuka skrepa Sasa tukauze Pale Gerezani
 
Kwa hiyo wewe unataka Nini hasa....unalalamika, unasikitika au unafurahia...au unaombea miradi hi mikubwa isifanikiwe?? Unataka Nini hasa?

Anataka updates ya hiyo miradi aliyoitaja. Mbona uzi wake unaeleweka vyema, au huna majibu ndio unakuja na mikwara kama ya mwalimu mkuu wa shule ya msingi?
 
Hivi ulishawahi kusafili? ili uone barabala zenu zilivyo na mashimo,waulize watu wa Mwanza kutokea Magu mpaka Hungumalwa watakuambia hizo njia zenu zilivyo bomoka ,au watu wa Sherui mpaka Iguguno watakuambia barabala zenu zilivyo,au uliza kijijini kwenu yale majengo yanayotibu wagonjwa kama yana dawa zaidi ya Panadol,labda kama wewe unaishi kwa ahemeji ndiyo huwezi kujua,hata hivyo muulize shemeji atakuambia ugumu wa maisha ulivyo.
 
Bahati mbaya mnawapotosha wajinga wenzenu. Taarifa zinatolewa mara kwa mara hamfuatilii, mnakuja humu kuropoka. Pumbavu!

Acha jazba dogo maana kinachotakiwa hapa ni updates. Hizo sifa kuwa kuna miradi mikubwa ni nyie huwa mnaleta, sasa mnaambiwa mtoe updates mnapanic! Ni rahisi tu, ungeweka link uwakate kilimilimi na sio kupanick.
 
Anataka updates ya hiyo miradi aliyoitaja. Mbona uzi wake unaeleweka vyema, au huna majibu ndio unakuja na mikwara kama ya mwalimu mkuu wa shule ya msingi?
Awaulize wahusika...akishaweka neno 'au ilikuwa mbwembwe tu' huyo gana jema na miradi hiyo
 
Acha jazba dogo maana kinachotakiwa hapa ni updates. Hizo sifa kuwa kuna miradi mikubwa ni nyie huwa mnaleta, sasa mnaambiwa mtoe updates mnapanic! Ni rahisi tu, ungeweka link uwakate kilimilimi na sio kupanick.
Mara ya mwisho umeangalia Reli TV lini?
 
Tulishaambiwa kuwa ukiwa na vyerahani 4 ni kiwanda hicho na wewe ni mwekezaji. Quinine,

In God we Trust
....nilijiuliza si walisema wamejenga viwanda elfu 3 mbona walivyofunga shule/ vyuo kisa mkusanyiko mbona viwanda buku 3 walivisahau au ilikua fix hazipo au vinaendeshwa na maroboti kutoka ujeremaniii😜😜😜 awamu hii ata ukifungua genge la supu wataita ni kiwanda
 
Mafuriko huko ni hatari njia za kuelekea huko katika hiyo Miradi Maji yamejaa Pomoni,mamba nao hawachezi mbali wakiona tu shati za kijani umeenda.

Wataalamu wao hawakuwashauri vizuri sasa kila kitu kimekwama.
 
Umeonaeeeee?
In God we Trust
 
Mara ya mwisho umeangalia Reli TV lini?

Nilipoanza kuona taarifa ya reli TV na taarifa za waziri zinapishana, nilijua huo ni uhuni kama uhuni mwingine. Kimsingi mimi nikiambiwa jambo naangalia na kusikiliza zaidi ya sehemu moja, nikiona tu taarifa zinatofautiana napuuza moja kwa moja hizo taarifa za jambo husika.

TRC wana account yao verified hapa jf, lakini ni nadra wao kutoa ufafanuzi husika pindi wanapokutana na maswali ya msingi. Huwa wanajibu baadhi lakini ni maswali yaliyowazi, I guess ni kama kuna watu wao wengine wanaojuana huuliza maswali mepesi, kisha hiyo verified account ndio inayajibu
 
Subiri tupambane na korona kwanza wewe, haraka ya nini?
 
Nimecheka sana aisee yaani mamba wanachagua mashati ya rangi za kijani? [emoji23][emoji23][emoji23]
Mafuriko huko ni hatari njia za kuelekea huko katika hiyo Miradi Maji yamejaa Pomoni,mamba nao hawachezi mbali wakiona tu shati za kijani umeenda.

Wataalamu wao hawakuwashauri vizuri sasa kila kitu kimekwama.

In God we Trust
 

Kama ni tatizo la umeme hata sasa limerudi na hali hii imeanza toka November mwaka jana, na kadiri siku zinavyosegea tatizo linazidi kuwa kubwa. Alichochokuwa anakifanya JK ni kama Magufuli kabidili tu version. Hata Magufuli sasa tunaona akiagiza viongozi kama RC's, Dc's nk kutumia madaraka yao kunyanyasa wote wenye itikadi tofauti na chama chake. Sasa hapo hivi ule uhuru wa wananchi kusema matatizo yao na kuonyesha hisia zao hautakiwi, bali kinachotakiwa ni kusifia tu, na matatizo yote haya yakiripotiwa hushughulikiwa kwa utashi wa viongozi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…