Bekabundime
JF-Expert Member
- Aug 6, 2014
- 2,017
- 1,733
Sasa hivi tunalia wote dadadeki kila mtu njaa hakuna cha Dokta Magu wala cha naniiYupo mmoja tu anayeweza zungumza na Watanzania wote moja kwa moja na anaenda kwa jina la Daktari John Pombe Joseph Magufuli.