BUSH BIN LADEN
JF-Expert Member
- Mar 16, 2019
- 8,447
- 19,425
Utambulike kama shujaa huku umekufa kwa njaa?Mnyika na mbowe okoeni chama. Hata kikifa kwa kukosa ruzuku, mtakuwa mmeingia kwenye historia ya mashujaa wa demokrasia Tanzania. Tafadhali fukuza Kenan na wabunge viti maalaum wote wa chadema. Hawa si wanachama wa chadema. Ni wahuni tu.