Mwenyekiti, Katibu Mkuu CHADEMA kigugumizi cha nini sakata la Wabunge wa Viti Maalum?

Mwenyekiti, Katibu Mkuu CHADEMA kigugumizi cha nini sakata la Wabunge wa Viti Maalum?

Sasa ni zamu yenu koropekeana ninyi kwa ninyi. Dhambi ukishaitenda na ukawa mnafiki hutaki kukiri itakutafuna. Hii dhambi ya kutaka kuwagaea Watanzania kwa kujenga chuki kupitia uongo itawatafuna mpaka iwamalize.

Kipindi cha kampeni Chadema kupitia Tundu wameliharibu mno taifa na sasa chama kinatafunwa na dhambi hiyo hiyo.

TUNDU hafai kuwa kiongozi wa Chama ngazi ya juu sembuse uongozi wa Taifa. Tundu ni mwanaharakati na wanaharakati wengi wanaongozwa na mihemko na hisia. Hawana dira kama viongozi. Slaa alikuwa kiongozi na ndiyo maana aliweza kuiunda Chadema kuwa Taasisi imara kama chama.

Mnaombea mfarakano eeh?

Ngoja tuwa delete hao wadada na kipandikizi chenu kwanza ndipo mtatambua kuwa kumbe tuko imara kuliko wakati wowote!
 
Wewe ndio unajua haramu ya uchaguzi ? Wakati viongozi wa upinzani wanajua kabisa kwamba wameshindwa kihalali. Endelea kujitekenya na kucheka mwenyewe wakati wenye chama chao wako mjengoni. Wewe baki kukesha humu JF wenzako wanapiga mpunga. Hapo ndipo utajua kwamba siasa ni sayansi siyo mihemuko ya kishamba. Kumbuka kwamba Mkuu wa nchi hajaribiwi na washamba wa siasa kama nyie.
Kuweka misimamo wazi siyo kuropoka.

Kwamba kuna mbunge bungeni na haafikiani na msingi mkuu wa chama kuhusiana na haramu ya uchaguzi wa 2020, kumlea huyo ni kulea kansa.

"If you disobey you go."

Hiyo si kuropoka. Huo ni msimamo thabiti!
 
Wewe ndio unajua haramu ya uchaguzi ? Wakati viongozi wa upinzani wanajua kabisa kwamba wameshindwa kihalali. Endelea kujitekenya na kucheka mwenyewe wakati wenye chama chao wako mjengoni. Wewe baki kukesha humu JF wenzako wanapiga mpunga. Hapo ndipo utajua kwamba siasa ni sayansi siyo mihemuko ya kishamba. Kumbuka kwamba Mkuu wa nchi hajaribiwi na washamba wa siasa kama nyie.

Kwamba upinzani wanajua ulikuwa halali?

Rudisheni mrejesho kwa waliowatuma mpambano bado unogile.

Habari mbaya kwenu ni kuwa, kama mliahidiwa bonus mtasubiri sana!
 
Huyo Zitto na Lissu ndio mzigo kabisa. Hakuna upinzani nchi hii mpaka Mungu ainue kizazi kingine labda kuanzia mwaka 2050 !

Hiiii bagosha, nizakale!

Salimia muganza.
 
Binafsi napongeza sana kilichofanyika leo, Uchaguz sawa ulikuwa wa dhulma sasa Unagomea nafasi ambazo hata ukizigomea majamaa yataendelea na kazi kama kawa na hakuna kitachobadilika. Upinzani wangegomea kabisaa hizi nafasi kwny hiyo battle wao ndo wangekuwa looser.
Kwani sasa diyo looser ? We vipi
 
Wahuni ni nyie mlioshindwa kihalali na kuanza kubwabwaja
Upatikanaji wa viti maalum lazima ufuate utaratibu wa chama na sheria za nchi.

1. Maswali ya msingi ya kujiuliza je hao waliokwenda huku wamepatikana kupitia vikao halali vya chama au wamejipeleka wenyewe?

2. Pili je sheria ya kuwasilisha majina hayo NEC na bungeni imefuatwa au imekiukwa?

Kama hayo hayajafuatwa ni uhuni tu kama uhuni mwingine mwingi tulioushuhudia katika utawala wa awamu hii ya tano na hauwezi kuwa ni kwa maslahi ya nchi hata kidogo!
 
Hana ubavu wa kuunda chama huyo
Well kitasajiliwa tu, he is good enough na unafahamu hilo, ndo sababu una admit kwa kumfananisha na gaidi, means msimamo wake unatisha, kwa hayo machane ana qualify kuunda chama na kikaaminiwa.
 
Kuweka misimamo wazi siyo kuropoka.

Kwamba kuna mbunge bungeni na haafikiani na msingi mkuu wa chama kuhusiana na haramu ya uchaguzi wa 2020, kumlea huyo ni kulea kansa.

"If you disobey you go."

Hiyo si kuropoka. Huo ni msimamo thabiti!
Tuone kama watakuwa wameonja sumu kwa ulimi
 
Mnaombea mfarakano eeh?

Ngoja tuwa delete hao wadada na kipandikizi chenu kwanza ndipo mtatambua kuwa kumbe tuko imara kuliko wakati wowote!
Mifarakano haiombewi mkuu hutengenezwa na hakuna wa kumlaumu zaidi yenu wahusika.

Mkisimama pamoja na kusimamia maslahi ya wanachama na nchi hakuna wa kuzua mfarakano. Lakini chama kila mmoja ana msimamo wake kwanini misimamo yenu isiwafarakanishe?

Huyu anaongea hili, huyo lile, huyo anajua hiki, yule kile na mengine mengi. Hapo sasa mnafarakana kimawazo baadae kivitendo kama jana. Na mkiendelea mtasambaratika na kuvunjika vipande. Ile dhambi ya kutaka kuivuruga Tanzania kipindi cha kampeni ndio inawatafuna na haitwaacha salama mtasambaratika mpaka mpotee kwenye ramani.

Tuliwaambia TUNDU ni Liability, mkatukana sana. Ni mwanaharakati asiye na dira, mkasema NI YEYE. Sasa msipochukua hatua NI YEYE anaenda kuua chama kwa uanaharakati wake. Atakifanya chama kama jukwaa lake kuendesha uana harakati badala ya kujikita katika kukipambanua chama kwa sera zake bora zilizokipa umaarufu.
 
Mabibi na mabwana inafahamika kuwa safari kuelekea uhuru haijawahi kuwa rahisi.

Wala safari ya kuelekea huko haijawahi na wala haitakuja kupungukiwa wasaliti.

Kwamba pana mbunge bungeni anaendelea kujitanabaisha kuwa ni mbunge wa CDM na mko kimya tu?

Kwamba kuna watu yasemekana wamekiuka utaratibu na kujiwasilisha wenyewe kwa supika kuapishwa kama wabunge na bado hazijachukuliwa hatua kali kabisa dhidi yao?


Wakuu, kwa mwendo huu mbona mnatuchanganya?

Kama mtaendelea na Kigugumizi hiki tegemeeni kuzinduliwa kwa chama kingine kitakacho kuwa na dhamira ya dhati.

Mheshimiwa Lissu kwa misimamo yako thabiti tafadhali tambua kuwa hauko na hautakuwa peke yako.

Aluta continua!.
Amka usingizini Bro. Wabunge 19; kila mwezi wakichangia chama chao milioni moja; kwa mwaka milioni 12 X 19 unapata milioni 228, mara miaka mitano unapata milioni 1,140 (Bilioni moja na ushee!!!!) ; sasa busara yao ni bora kuzipata hizi halafu mnagawana na Viongozi. Mwenyekiti anachukua chake na Katibu....nk. Wanachama wengine walie tuuuuu. Ukiongeza na yule wa Nkasi mshiko unazidi kunoga. HILO SWALA KWISHNEI. Kilichobaki ni usaniii tuuu kuwatuliza watu kama wewe. AMKA NDUGU YANGU.
 
Nikweli kabisa inatia hasira yn mijitu inapelekwa jela watu wanajicha ilikuatoa halafu inatusaliti ili iyende Kula Bata Dubai pambafuzao mahabithi wajaalana mm binafsi siwezi kuacha kuifuatilia siasa Kwan imaniyangu inaniambia siasa ndiomaisha yawatu kibiashala madawa hospitalini bei vyakula sukari seementi na mishahara namengineyo mengi lakini kwaviongozi.hawa kidogo naazakurudi juma
Hizo nafasi ni za wanake tu! kwahiyo hata kama wangependa kumpoza kwa kumpatia HAIWEZEKANI! Ina maana zile kura alizopata Mh Lissu zipite bila kutambulika? Pingania mabadiliko ya katiba kama kweli unataka mabadiliko!!
 
Mifarakano haiombewi mkuu hutengenezwa na hakuna wa kumlaumu zaidi yenu wahusika.

Mkisimama pamoja na kusimamia maslahi ya wanachama na nchi hakuna wa kuzua mfarakano. Lakini chama kila mmoja ana msimamo wake kwanini misimamo yenu isiwafarakanishe?

Huyu anaongea hili, huyo lile, huyo anajua hiki, yule kile na mengine mengi. Hapo sasa mnafarakana kimawazo baadae kivitendo kama jana. Na mkiendelea mtasambaratika na kuvunjika vipande. Ile dhambi ya kutaka kuivuruga Tanzania kipindi cha kampeni ndio inawatafuna na haitwaacha salama mtasambaratika mpaka mpotee kwenye ramani.

Tuliwaambia TUNDU ni Liability, mkatukana sana. Ni mwanaharakati asiye na dira, mkasema NI YEYE. Sasa msipochukua hatua NI YEYE anaenda kuua chama kwa uanaharakati wake. Atakifanya chama kama jukwaa lake kuendesha uana harakati badala ya kujikita katika kukipambanua chama kwa sera zake bora zilizokipa umaarufu.

Unapojinasibu kuwa "mliwaambia" hivi nyie huwa ni kina nani? Kwanini isiwe mnajitambulisha kabisa mamburula nyie?

Kiufupi ni kuwa yote uliyoandika ni utopolo mtupu.
 
Unapojinasibu kuwa "mliwaambia" hivi nyie huwa ni kina nani? Kwanini isiwe mnajitambulisha kabisa mamburula nyie?

Kiufupi ni kuwa yote uliyoandika ni utopolo mtupu.
Subiri utaona ulioandika wewe na mimi utopolo ni upi.

Poneni majeruhi kwanza ya uchaguzi na ya jana kwa mama zenu kisha mtulizane.

Tuliwaambia

Na bado tutawaambia
 
Ninajua Katibu Mkuu wa CHADEMA, John John Mnyika amelitolea ufafanuzi, lakini ili kurudisha confidence ya wana CHADEMA, ni vema ukitoa neno hata moja ili roho za wafasi na watanzania wa CHADEMA zipone.

Kuna mkanganyiko ambao unahitaji top Executive kuusemea. Najua 27/11/2020 kuna kikao cha Kamati Kuu kujadili suala hilo, lakini "Siasa" ziko hivyo, unatoka unalisemea.

Hili ni muhimu.
 
Back
Top Bottom