Mimi nina swali tu, kwako mkuu 'Proved', na kwa wengine wote watakaopenda kulijibu hili swali.Naunga mkono hoja hii......Cdm waanze kumuandaa mrithi wa Mbowe sasa hivi mapema kwa faida yao na nchi kwa ujumla.
JokaKuu Pascal Mayalla Kalamu zitto junior
Ninyi nyote mnaendeshwa na wivu uliopitiliza. Mlishasema Kanda ya Ziwa ni bado iko na Mtu aliyekwishatangulia mbele ya Haki. Hivyo Uzinduzi waleo usingekuwa na mapokezi mazuri. Uwanja umetapika. Kwanini msikose cha kuongea? Matokeo yake mnakimbilia eti Mh Mbowe kalewa. Upuuzi tu umewatawala.Angeenda bila kulewa asingekuwa huru kuyataja mazuri ya Mama Samia. Kafanya vyema sana. Inahitaji kujitoa ufahamu kwanza mbele ya BAVICHA ili uweze kuzungumzia mazuri ya CCM. Mbowe ni mtaalamu wa siasa za nchi hii.
Ukweli ni kwamba Mbowe alikwishanyang'anywa ajenda siku nyingi na Samia.
Mbowe hana ajenda yoyote iliyotofauti na ile anayoitekeleza Samia ndani ya CCM.
Sasa ataanzia wapi kupingana na Samia. Tatizo linaanzia hapo.
Samia atakapomaliza kazi ya kuwazima mabaki ya Magufuli, sina shaka yoyote akimkaribisha Mbowe kwenye boti lake kwenda mbele.
Hakuna ubaya. Sasa kama Mhe. Rais anafanya mambo makubwa asikiri ukweli? Kwa wanaozunguuka nchini watajua Mhe. Rais Samia anafanya mambo makubwa sana. Hii miradi ikja kuanza kuleta matokeo kuna watu watatamani kujificha. #Tumpongeze Mhe. Rais.🙏🙏🙏Nahisi Mwenyekiti Mbowe amelewa, hii sio sauti yake ya kawaida. Ametumia mkutano huu kujisafisha kuhusu kulamba asali.
Japo Rais Samia Suluhu anafanya vziuri lakini ametumia muda mrefu sana kumsifia.
Is MBOWE OKAY?
View attachment 2490283View attachment 2490284View attachment 2490285View attachment 2490286
Mimi nina swali tu, kwako mkuu 'Proved', na kwa wengine wote watakaopenda kulijibu hili swali.
Kwa hiyo, katika mkutano wote, viongozi wote wa CHADEMA waliopewa nafasi ya kuzungumza, hakuna hata mmoja aliyegusia swala la KATIBA MPYA?
Ningependa kujua kuhusu hili.
Inawezekana CHADEMA wamepewa amri wasiguse kabisa juu ya jambo hili muhimu?
Kulizungumzia ni kama kuvunja sheria?
Naunga mkono hoja hii......Cdm waanze kumuandaa mrithi wa Mbowe sasa hivi mapema kwa faida yao na nchi kwa ujumla.
JokaKuu Pascal Mayalla Kalamu zitto junior
LOOoo.Katiba Mpya ilishakubaliwa, sidhani Kama Kuna haja ya kuidai. Maana Rais Alishaikubali.
Mbona anaongea kama Hana amani yaani kama anawasiwasi fulani hivi
Pombe bana 🤠🤠Nahisi Mwenyekiti Mbowe amelewa, hii sio sauti yake ya kawaida. Ametumia mkutano huu kujisafisha kuhusu kulamba asali.
Japo Rais Samia Suluhu anafanya vziuri lakini ametumia muda mrefu sana kumsifia.
Is MBOWE OKAY?
View attachment 2490283View attachment 2490284View attachment 2490285View attachment 2490286
LOOoo.
Unaamini hivyo mkuu 'econo'?
Ilikubaliwa lini?
Kwa hiyo hakuna tena kitu cha kujadili, kuhusu katiba, hata kama "imekubaliwa"?
Mbona wakati huu ndio ingekuwa ajenda kubwa kabisa kuwaelimisha wananchi juu ya utarajio wa hiyo iliyokubaliwa!
Nionavyo mimi.
Kazi ya Mwenyekiti Mbowe, iliyokuwa imebakia ili kusimika uongozi wake imara katika historia ya nchi hii, baada ya misukosuko yote ile aliyopitia, na kusimama kidete hadi CHADEMA kufikia hapa ilipo sasa, ilikuwa ni KATIBA MPYA.
Hii ndiyo kazi pekee iliyosalia, na ajenda kuu aliyopaswa kuisimamia bila kutetereka.
Angetimiza kazi hii kwa ufanisi mkubwa, hakuna mtu ambaye angetokea tena kuhoji uongozi wa Mbowe katika historia ya nchi yetu.
Sasa sijui tena kama bado hili analikumbuka.
Basi sawa mkuu, endelea kusubiri.Nimesema kwa sababu Rais kasema atateua kamati hivi karibuni , sidhani Kama kuna haja ya kupiga kelele Tena. Tume ikiundwa na ikataka mjadala happy ndipo CHADEMA tutaingia na kudai yanayofaa.
Kuna kiongozi gani leo wa CDM ametukana? Kiongozi gani kamkashifu Mh. Rais Samia? Sugu amemsifia sana Mheshimiwa Rais. Mbona wote hawasemwi? Mimi namlaumu zaidi Mbowe kwa kuwasema vibaya viongozi wenzake jukwaani. Angemsifia Mheshimiwa Rais pamoja na kuzungumzia kwa kina challenges zinazokabili chama chake na wananchi kwa ujumla wala nisingepiga kelele. Aidha, ningemdharau sana kama angemtukana na kumkashifu Mheshimiwa Rais.
Amandla...
Ana cha utaifa wowote huyo mlamba asali, angekuwa anajali utaifa angeongea kuhusu katiba mpya na mfumuko wabei. Anajali tumbolake tu.Leo kani
Mbowe astaafu tu. Hata mvuto umepotea kabisa. Leo hata Sugu ammemzidi. Nadhani Lissu na Heche wapewe nafasi la sivyo Mbowe anaenda kuiua CHADEMA kwa kumfurahisha Samiah. Anajali utaifa wakati wengine hawajali Hilo.
Sasa usije ukakuta unajichanganya mwenyewe mkuu wangu 'econo'.Ajirekebishe kesho Musoma akileta porojo za leo tutamkataa. Mbowe analazimisha walichoongea sirini na Samiah chama kikifate. Maalim Seif aliongea kwa Siri na Amani karume lakini kilichotokea baadae wote tunajua.
Basi sawa mkuu, endelea kusubiri.
Hii ndiyo siasa. Wakati huu kwa CHADEMA 'focus' yote ingekuwa hapo. Hakuna jambo kubwa zaidi ya hilo kwa sasa; kwa maana matatizo mengi ya nchi yanatokea hapo kwenye hiyo katiba.
Wewe utayaita makelele, lakini kwa wenye fikra hiyo ndiyo ajenda kuu wanayopashwa kuisimamia CHADEMA kwa wakati huu.
Kwa hiyo kinachomuudhi Mbowe na haters wengine ni wingi wa sifa Kwa Rais au?Nahisi Mwenyekiti Mbowe amelewa, hii sio sauti yake ya kawaida. Ametumia mkutano huu kujisafisha kuhusu kulamba asali.
Japo Rais Samia Suluhu anafanya vziuri lakini ametumia muda mrefu sana kumsifia.
Is MBOWE OKAY?
View attachment 2490283View attachment 2490284View attachment 2490285View attachment 2490286
Mkuu wangu, tuliache hili, naona hatutafika mwisho wake leo.Mkuu, Rais kakubali mchakato wa katiba mpya uanze na kasema anateua tume mpya ya Katiba. Sasa hapo utadai Nini?. Tutadai tukiona muda umeenda na Tume haiundwi. Leo, Mwenyekiti alitakiwa kutoa mwelekeo wa nini tukiseme kwa miaka miwili ijayo. Reformations zipi titazileta kuhusu uchumi, elimu, vijana, uvuvi nk.
Mimi niliyemwelewa Ni Susan Kiwanga na Catherine Ruge. Wao wamesema miaka hii miwili watatembeaa nchi nzima kuelezea shida za wanachi. Nadhani CHADEMA tujikite happy na kuelezea tutafanya Nini kuhusu Hilo au reformations , tuachane na mambo ya kusutana kuhusu kulamba asali.
Ana cha utaifa wowote huyo mlamba asali, angekuwa anajali utaifa angeongea kuhusu katiba mpya na mfumuko wabei. Anajali tumbolake tu.
Bado kuna mengi yanakuja.