Mtu mwenye IQ kubwa hawezi kuwa na mambo ya kijinga jinga na ya kitoto kama unayo yaonesha wewe unapo changia mada, na hasa zile zinazo wahusu Makada wa Chadema.nina akili kukuzidi mimi nilifanya Mensa Test ya kupima IQ natambuliwa kimataifa kwa IQ kubwa
katest kama akili unazo na IQ test ni bure tu andika google Mensa Test itakuja utaifanya online na majibu watakupa hapo hapo ukimaliza kujibu utajua kama wewe una akili au bwege ingia hata sasa hivi upimwe IQ yako
www.mensa.org
Ushambiwa taarifa zaidi zitawajia hivi punde!Mleta mada Wakifa chadema huandiki wamekufa kwa Corona
wakifa wengine ukiwa huna ushahidi wowote wa death certificate unasema wamekufa kwa Corona tukibisha unakomaa ohhh mnaficha taarifa mi CCM nyie!!! wakifa Michadema ohhh taarifa itafuata baadaye tukipata death certifice!!!! mnafiki mkubwa wewe usiye na haya una kichwa kama cha corona
Mkuu kwani kifo kina "ujiko"?Mleta mada Wakifa chadema huandiki wamekufa kwa Corona
wakifa wengine ukiwa huna ushahidi wowote wa death certificate unasema wamekufa kwa Corona tukibisha unakomaa ohhh mnaficha taarifa mi CCM nyie!!! wakifa Michadema ohhh taarifa itafuata baadaye tukipata death certifice!!!! mnafiki mkubwa wewe usiye na haya una kichwa kama cha corona
Ukiwa CCM lazima uwe mjinga , uwe na roho mbaya , mnafiki , uwe na roho ya kichawi yaani jitu linaambiwa taarifa zitafuata lenyewe linaanza ukosoaji wa kitabulalasa kiempty head , hivi hili li CCM limeandika nn hapa .Mleta mada Wakifa chadema huandiki wamekufa kwa Corona
wakifa wengine ukiwa huna ushahidi wowote wa death certificate unasema wamekufa kwa Corona tukibisha unakomaa ohhh mnaficha taarifa mi CCM nyie!!! wakifa Michadema ohhh taarifa itafuata baadaye tukipata death certifice!!!! mnafiki mkubwa wewe usiye na haya una kichwa kama cha corona
Acha unafiki kwani wanapokufa watu wa ccm huo mnasubiri taarifa nyie?? Humu jukwaani kila anaye kufa nyie ndio huwa wakwanza kushangilia na kuhusisha Corona bila ya kuwa na ushahidi wowote tena hamuishii hapo na matusi juu, ila wakifa watu wa chadema basi ni marufuko kutajwa Corona!! Alafu ndo mnajiita wenye akili kubwa sijui ma GT !!Ukiwa CCM lazima uwe mjinga , uwe na roho mbaya , mnafiki , uwe na roho ya kichawi yaani jitu linaambiwa taarifa zitafuata lenyewe linaanza ukosoaji wa kitabulalasa kiempty head , hivi hili li CCM limeandika nn hapa .
Tatizo mkuu wenye tabia ya kuleta haya mambo ni hawa wenzetu wenye akili nyingi kuliko binadamu yeyote hapa Tanzania.Udini, ukabila na uvyama, havina Maana katika matukio kama haya, matukio ambayo utake usitake Lazima ufe, Haina Afya hata kidogo kuendeleza utani usio na tija
Huyo anayeandika mambo ya Corona wanapokufa sjui wa CCM, achana naye, Mimi Naamini ni ujinga tu wa kutafuta like ambapo hata yeye akikaa na kutafakari, inamuumiza moyo,
Like haziwezi kuleta faraja yoyote Kwa mtu anapoleta nyuzi zinazomsuta hata yeye mwandishi
Mambo ya kufanyia siasa yapo, lakini kuna mengine yanahitaji utu, na akosaye utu juu ya mambo yenye utu, yaletayo simanzi huyo ni wa kupuuza
R.I.P na poleni sana wafiwa wote
ππππ€π€ nimecheka.Zam kwa zam,hesabu zinaanza kubalance.
Sasa ndo umeongea nini hapo,Never rejoice when someone is going through difficulties like losing loved ones, even yourself u will die one day at a time,death knows no political boundaries,Kumbe chadema nao huwa pia wanakufa? Maana comments zao kwa misiba ya wengine huwa inasikitisha sana
Ugonjwa wa CORONA si wa kushindania wala kubezana, ni ugonjwa ambao watanzania wote inabidi tuwe pamoja kusaidiana katika kutoa maelezo jinsi ya kujikinga. Kutoelewa ukubwa wa tatizo hili kunafanya kuwa watanzania wote ni wajinga. Elimu inahitajika!Mleta mada Wakifa chadema huandiki wamekufa kwa Corona
wakifa wengine ukiwa huna ushahidi wowote wa death certificate unasema wamekufa kwa Corona tukibisha unakomaa ohhh mnaficha taarifa mi CCM nyie!!! wakifa Michadema ohhh taarifa itafuata baadaye tukipata death certifice!!!! mnafiki mkubwa wewe usiye na haya una kichwa kama cha corona