Said Stuard Shily
JF-Expert Member
- Jul 18, 2017
- 2,396
- 2,108
Maneno yako nitayakumbuka Hadi mwisho wa uhai wangu Chadema ni manafiki Sana angekuwa CCM yangetoa maneno yaliyojaa Taharuki kwa Watanzania lkn sasa utasikia pumzika Kamanda hata Kama Mgambo hakupita pale kishumundu Kijiji cha Ujamaa.Mleta mada Wakifa chadema huandiki wamekufa kwa Corona
wakifa wengine ukiwa huna ushahidi wowote wa death certificate unasema wamekufa kwa Corona tukibisha unakomaa ohhh mnaficha taarifa mi CCM nyie!!! wakifa Michadema ohhh taarifa itafuata baadaye tukipata death certifice!!!! mnafiki mkubwa wewe usiye na haya una kichwa kama cha corona
Mngelijua hilo msingekuwa mnafanya ujinga kwa wengine wakifaSasa ndo umeongea nini hapo,Never rejoice when someone is going through difficulties like losing loved ones, even yourself u will die one day at a time,death knows no political boundaries,
Mleta mada Wakifa chadema huandiki wamekufa kwa Corona
wakifa wengine ukiwa huna ushahidi wowote wa death certificate unasema wamekufa kwa Corona tukibisha unakomaa ohhh mnaficha taarifa mi CCM nyie!!! wakifa Michadema ohhh taarifa itafuata baadaye tukipata death certifice!!!! mnafiki mkubwa wewe usiye na haya una kichwa kama cha corona
Mkuu huyo jamaa Fuvu bovuMtu mwenye IQ kubwa hawezi kuwa na mambo ya kijinga jinga na ya kitoto kama unayo yaonesha wewe unapo changia mada, na hasa zile zinazo wahusu Makada wa Chadema.
Mwambie huyo kamanda uchwara wa ufipa.Mleta mada Wakifa chadema huandiki wamekufa kwa Corona
wakifa wengine ukiwa huna ushahidi wowote wa death certificate unasema wamekufa kwa Corona tukibisha unakomaa ohhh mnaficha taarifa mi CCM nyie!!! wakifa Michadema ohhh taarifa itafuata baadaye tukipata death certifice!!!! mnafiki mkubwa wewe usiye na haya una kichwa kama cha corona
Ni kweliMloganzila!
Hivi nae ni kamanda?Rest in peace [emoji111] Kamanda
Eeeeeeh!Hivi nae ni kamanda?
Kuongoza baraza la wadhamini wa Chadema , chama kinachowindwa ili kiteketezwe unadhani ni kazi ndogo ?Hivi nae ni kamanda?
uongo utakusaidia nini kwenye huo umasikini wako ?Maneno yako nitayakumbuka Hadi mwisho wa uhai wangu Chadema ni manafiki Sana angekuwa CCM yangetoa maneno yaliyojaa Taharuki kwa Watanzania lkn sasa utasikia pumzika Kamanda hata Kama Mgambo hakupita pale kishumundu Kijiji cha Ujamaa.
Duu .Kuongoza baraza la wadhamini wa Chadema , chama kinachowindwa ili kiteketezwe unadhani ni kazi ndogo ?
Labda .Duu .
Au kafanyiwa figisu huko huko hospital
Usikute wameswitch off mashine
c.c Erythrocytewww.jamhurimedia.co.tz › rais-nyer...
Rais Nyerere alipokosa maji ya kuoga Kibondo | Gazeti la Jamhuri
22 Oct 2013 — Baada ya Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2000 niliteuliwa kuwa Waziri wa Nchi ... Mwandishi wa makala haya, Arcado Ntagazwa, amewahi kushika
Mkuu umeona Kishumundu ni kiji cha ujamaa. Ungejikita tu kwenye hoja ya mleta mada na kua ha ushabiki maandazi.Maneno yako nitayakumbuka Hadi mwisho wa uhai wangu Chadema ni manafiki Sana angekuwa CCM yangetoa maneno yaliyojaa Taharuki kwa Watanzania lkn sasa utasikia pumzika Kamanda hata Kama Mgambo hakupita pale kishumundu Kijiji cha Ujamaa.
Kidada kinafiki sana,kitakuwa kichawi.Mleta mada Wakifa chadema huandiki wamekufa kwa Corona
wakifa wengine ukiwa huna ushahidi wowote wa death certificate unasema wamekufa kwa Corona tukibisha unakomaa ohhh mnaficha taarifa mi CCM nyie!!! wakifa Michadema ohhh taarifa itafuata baadaye tukipata death certifice!!!! mnafiki mkubwa wewe usiye na haya una kichwa kama cha corona
Raha ya milele umpe Ee Bwana na mwanga wa milele umwangazie apumzike kwa amani mzee Arcado...Rip Arcado !
Poleni sana Chadema.