citizensindevelopment18
JF-Expert Member
- Apr 1, 2020
- 1,636
- 830
Poleni
Chama cha Demokrasia na Maendeleo, kwa masikitiko makubwa kinatangaza kifo cha Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini ya Chama, Mhe. Dennis Arcado Ntagazwa, kilichotokea asubuhi, Jumatano, Februari 10, mwaka huu katika Hospitali ya Mlonganzila, alikokuwa amelazwa kwa matibabu.
Siyo kila Tajiri ni Mchawi jamani , mimi kuwa Tajiri usinifananishe na Sanga , nilipata pesa kitambo kutokana na kufanya biashara halali ulayaKidada kinafiki sana,kitakuwa kichawi.
😆😆😆😆 Ni msiba lakini nimejikuta nacheka tu !Mleta mada Wakifa chadema huandiki wamekufa kwa Corona
wakifa wengine ukiwa huna ushahidi wowote wa death certificate unasema wamekufa kwa Corona tukibisha unakomaa ohhh mnaficha taarifa mi CCM nyie!!! wakifa Michadema ohhh taarifa itafuata baadaye tukipata death certifice!!!! mnafiki mkubwa wewe usiye na haya una kichwa kama cha corona
Kama mliandikiwa u Dr !!. Ndiyo washindwe kukuandikia hiyo Mensa test ?!nina akili kukuzidi mimi nilifanya Mensa Test ya kupima IQ natambuliwa kimataifa kwa IQ kubwa
katest kama akili unazo na IQ test ni bure tu andika google Mensa Test itakuja utaifanya online na majibu watakupa hapo hapo ukimaliza kujibu utajua kama wewe una akili au bwege ingia hata sasa hivi upimwe IQ yako
www.mensa.org
boya wewe chadema haitokufa kamweMleta mada Wakifa chadema huandiki wamekufa kwa Corona
wakifa wengine ukiwa huna ushahidi wowote wa death certificate unasema wamekufa kwa Corona tukibisha unakomaa ohhh mnaficha taarifa mi CCM nyie!!! wakifa Michadema ohhh taarifa itafuata baadaye tukipata death certifice!!!! mnafiki mkubwa wewe usiye na haya una kichwa kama cha corona
Poleni saana chadema. Shida ni ninii jamani??
Chama cha Demokrasia na Maendeleo, kwa masikitiko makubwa kinatangaza kifo cha Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini ya Chama, Mhe. Dennis Arcado Ntagazwa, kilichotokea asubuhi, Jumatano, Februari 10, mwaka huu katika Hospitali ya Mlonganzila, alikokuwa amelazwa kwa matibabu.
Yakiwapata na nyie mnakuwa wapole, lakini ingekuwa viongozi wa upande flani hapa mungekuwa mnashangilia.Sasa matusi yote ya nini? kaleta taarifa za msiba unatoa conclussion aisee kuna members mnatisha! Labda ungeuliza tu je kasikia au kaambiwa?
Umekulia katika mazingira magumu sana ! yaani kwa vile jiwe alitafuna hela ya tetemeko basi unadhani kila mtu ni mwizi !michango hapana chama kisikusanye iende direct kwa famiia yake
Mleta maada kachanganyikiwa na Corona!!Mleta mada Wakifa chadema huandiki wamekufa kwa Corona
Wakifa wengine ukiwa huna ushahidi wowote wa death certificate unasema wamekufa kwa Corona tukibisha unakomaa ohhh mnaficha taarifa mi CCM nyie!!! wakifa Michadema ohhh taarifa itafuata baadaye tukipata death certifice!!!! mnafiki mkubwa wewe usiye na haya
Hakika inabidi tufanye hivyopeleka mchago wewe kwa familia yake pole haichongi jeneza
Kwenye tohara ya bure under USAID hujafika bado?Mleta mada Wakifa chadema huandiki wamekufa kwa Corona
Wakifa wengine ukiwa huna ushahidi wowote wa death certificate unasema wamekufa kwa Corona tukibisha unakomaa ohhh mnaficha taarifa mi CCM nyie!!! wakifa Michadema ohhh taarifa itafuata baadaye tukipata death certifice!!!! mnafiki mkubwa wewe usiye na haya
Kuhani kuwa na tabia za shari na vijineno ni aibuMleta mada Wakifa chadema huandiki wamekufa kwa Corona
Wakifa wengine ukiwa huna ushahidi wowote wa death certificate unasema wamekufa kwa Corona tukibisha unakomaa ohhh mnaficha taarifa mi CCM nyie!!! wakifa Michadema ohhh taarifa itafuata baadaye tukipata death certifice!!!! mnafiki mkubwa wewe usiye na haya