TANZIA Mwenyekiti wa Baraza la wadhamini CHADEMA, Arcado Ntagazwa afariki dunia

😆😆😆😆 Ni msiba lakini nimejikuta nacheka tu !
 
Kama mliandikiwa u Dr !!. Ndiyo washindwe kukuandikia hiyo Mensa test ?!
 
boya wewe chadema haitokufa kamwe
 
Poleni saana chadema. Shida ni ninii jamani??
 
Sasa matusi yote ya nini? kaleta taarifa za msiba unatoa conclussion aisee kuna members mnatisha! Labda ungeuliza tu je kasikia au kaambiwa?
Yakiwapata na nyie mnakuwa wapole, lakini ingekuwa viongozi wa upande flani hapa mungekuwa mnashangilia.
 
Naona amekufa mtanzania ambaye ni mwana cdm. RIP NTAGAZWA
 
michango hapana chama kisikusanye iende direct kwa famiia yake
Umekulia katika mazingira magumu sana ! yaani kwa vile jiwe alitafuna hela ya tetemeko basi unadhani kila mtu ni mwizi !
 
Mleta maada kachanganyikiwa na Corona!!
 
Kwenye tohara ya bure under USAID hujafika bado?
 
Kuhani kuwa na tabia za shari na vijineno ni aibu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…