Bado wapinzani hawajaelewa namna ya kudili na nyakati.
Kosa kubwa la chadema ni kubeba mambo yote kwa pamoja na kurukia kila hoja.
Kigogo aliwashauri vizuri kuwa waandae watu . Mpaka anakamatwa na kupelekwa kusikojulikana wao hawana information toka ndani ya mifumo ya dola ni udhaifu mkubwa.
Chadema mpaka Mwenyekiti wao alikamatwa kibubusa bila taarifa ni ukolo.
Kigogo alijaribu kuwapa somo zuri sana la kujipanga lakini wakapotosha kuwa anawashauri kuandaa uasi. Mpaka sasa bado viongozi wanatekwa.
Sent from my TECNO L8 Lite using
JamiiForums mobile app