Uchaguzi 2020 Mwenyekiti wa CCM, Dkt. John Magufuli achukua fomu ya kugombea Urais wa Tanzania kwa muhula wa pili

Unaubariki uwongo? Kakini haishangazi mbona hata data za covid19 umi alisema tz wapo wagonjwa 4, pm akasema wapo 66
 
Pohamba wewe wacha kuchekesha walio nuna, yaani form imechukuliwa moja alafu unasema zilikuwa chache!!! [emoji23][emoji23][emoji23]
Fomu za kugombea Urais zilikuwa chache ba zimeisha leo,
 
Membe anahitaji form
 
Aliwahi kusema kuwa alibeep tu kwenye urais!
Huyu si alisema kwamba urais kazi ngumu analala na mafaili kibao na angejua ugumu wa kazi hiyo asingeomba,SASA INAKUWAJE AMECHUKUA FORM TENA? Huku Lumumba Je wengine wameruhusiwa kuchukua form? MEMBE NAYE KACHUKUA?
 
Hilo linawzekana kama ndugu zetu wa damu wameweza sisi ni kina nani tushindwe?
Tumeomba sie Wanyonge na baadae tutamlazimisha afumue katiba atawale Muda uliobaki wa maisha yake yote
 
Nasikia pale lumumba amewekwa kipara kipya amepewa jukumu moja tu akimuona Membe anaingia lumumba ampigie simu Bashiru ili akimbie na form
Competition muhimu vipi kuhusu jasusi mbobevu ajaenda kuchukua fomu. Tunamuhitaji alete ushindani Mana yeye peke yake ndio anaye jiamini kuleta upinzani ndani chama. Wengine wanaogopa kukatwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…