Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe akutana na Rais Samia Ikulu leo Desemba 31, 2022

Wanaridhiana nini kama wao ccm ndio chama chenye ridhaa ya wapiga kura? Kama nchi imewashinda bora waitishe uchaguzi wa mapema sio kuwasikiliza chadema wakati hawana ridhaa ya wananchi.
 
Ulambaji wa asali unaendelea kimya kimya! Ruling class wanafakamia mzinga. Kijana wa masikini anajifanya anapigania chama, anadakwa na polisi. Anavunjwa miguu eti anakipigania chama😂😂😂😂
 
pande mbili za majadiliano

Mwenyekiti + Makamu VS Mwenyekiti

#AsaliAsali
 
Hizi ndiyo siasa. Vyama vya upinzani viko kikatiba na wapinzani ni wananchi wenzetu.

Ila yule shetani wa Chato aliufanya upinzania ni uadui. Asante Mungu kwa kusikia maombi yetu hatimaye akasepeshwa jehanam mnamo 17/ 03/ 21
Na wewe kila siku shetani wa chato,shetani wa chato utakufa mdomo upande huku unasema shetani wa chato wakati mwenyewe ni shetani.
 
Hizi ndiyo siasa. Vyama vya upinzani viko kikatiba na wapinzani ni wananchi wenzetu.

Ila yule shetani wa Chato aliufanya upinzania ni uadui. Asante Mungu kwa kusikia maombi yetu hatimaye akasepeshwa jehanam mnamo 17/ 03/ 21
Ndioooooo
 
Ni Mbowe pekee anayeaminiwa huko CHADEMA kuhusu maagizo anayopewa. Hairuhusiwi kuwepo mtu mwingine yeyote toka chama hicho akiambatana na Mbowe.
Tatizo linaanzia hapo!
 
Kesi ya ugaidi imemtoa kwenye reli Mbowe.

Mpaka sasa CCM wanamchezea pengine akiwa anajua au bila kujua.
Hapana.
Ni zaidi ya "kesi ya ugaidi"; kuna mambo ya kisiasa anayofanya Samia yanayomwondoa upepo Mbowe.

Hana namna, bali tutaona njia atakazotumia kujisalimisha yeye na chama chake, muda siyo mrefu toka sasa. Hii itakuwa ndani ya mwaka huu huu wa 2023.

Sasa baada ya kufanya hivyo, sijui kama CHADEMA, kama tuijuavyo itaendelea kuwepo.
 
Mambo yapi hayo ?
 
Ni Mbowe pekee anayeaminiwa huko CHADEMA kuhusu maagizo anayopewa. Hairuhusiwi kuwepo mtu mwingine yeyote toka chama hicho akiambatana na Mbowe.
Tatizo linaanzia hapo!
Chadema ilishajadili jambo hili na kuweka msimamo , Mbowe ni mbeba faili la chama tu
 
Sasa sijui mkuu 'Erythrocyte' atachukuliaje ushauri wako huu makini kabisa!

Mbowe anatumika sasa kama kifaa!
 
Sasa sijui mkuu 'Erythrocyte' atachukuliaje ushauri wako huu makini kabisa!

Mbowe anatumika sasa kama kifaa!
Chadema hawajajua kuwa ccm ya awamu hii inafanya siasa za picha na wapinzani.
 
Chadema hawajajua kuwa ccm ya awamu hii inafanya siasa za picha na wapinzani.
Wakati kukiwa hakuna lolote linalobadilika!

Hawa ni watu wenye akili nzuri kabisa, lakini Maajabu ndiyo hayo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…