Naiombea Amani Tanzania yetu, atuepushe na siasa hizi tunazoanza kuzishuhudia... Wote tunashindana ili kujenga nyumba moja Tanzania.... Vijana acheni kutumika kwa watu wa maslahi binafsi,
Imagine wewe unamtoa uhai mwenzio kisa unamtetea mtu fulani apate nafasi fulani.
Je mnapopishana yeye akienda huko mjengoni na wewe gerezani, hapo umepata nini?????
Umewaachia shida wategemezi wako kisa posho ya kampeni au ukada wa Chama fulani, not fare walaaniwe Wote Wanaoharibu Jina la nchi yetu
R. I. P shupavu wa demokrasia ya kweli Alphonce mawazo (kama habari hii ni ya kweli)