Mwenza wangu amegoma kuachana na BodaBoda wake

Binadamu ni mnyama kama walivyo wanyama wengine, be an alpha male and take charge. Mambo ya kusikilizana si kila sehemu yanafanya kazi.
You are th new guy and wise like the old one.

He needs to take charge of this shit.
 
Kiukweli Mkuu sijui unaishije na mke wako, naona kama anakumudu saaaana zaidi ya sana, kiukweli Mimi sidhani hata hiyo nguvu ya kusave namba ya bodaboda ataipatia wapi.
 
Kwa kumkomesha na ww mtafutie mama lishe yaan mtavurugana na mta neutralize

Ukichelewa utachekwa ..huu ushauri nimao kupa mm ni wa viwango sanaa
 
1. Kwa karne hii kama umebahatika kupata mke mwenye kazi naomba hilo wazo la kutaka kumuachisha ulifikirie Vizuri kwani akiachia nafasi hataipata tena (Labda kama unavitega uchumi vya nguvu hivyo unataka kumuajiri)
2. Kama unauwezo wa kutaka kumuachisha mkeo kazi inamaana kiuchumi uko vizuri; Si ununue bajaji au Pikipiki yako ikae hapo nyumbani na pengine uwe na kijana unaye muamini awe anaitumia akitaka kuagiza kitu?
3. Kimsingi kama unataka kumuachanisha na huyo Boda ni vizuri pia utengeneze utaratibu wa kufanya vinavyofanywa na huyo boda vifanyike ili kusiwe na umuhimu wa kumuita
 
You are th new guy and wise like the old one.

He needs to take charge of this shit.
Hawa viumbe usipowadominate lazima wakuvuruge kwa mambo yasiyo na logic, that's nature.

Kwamba mke hawezi ishi bila bodaboda wake hahaha jamaa ameonyesha udhaifu mkubwa sana.
 
Kubali ya kwamba umeoa Malaya mzoefu anayekudharau na kubadilika hawezi...

Mke akishaanza kuchepuka haachi hats umsamehe vip... Mi wakwangu tunaprocess talaka sasa we komaa nae maana ndoa kuvunjika si mchezo
 
Kuwa mwanaume,kuwa na maamuzi
 
RELAX,TUMIA BUSARA MWAMBA ! Nijuavyo mwanamke hawezi kuchepuka bila sababu..MKUMBUSHE THAMANI YAKO KWAKO MUONESHE ANA KITU CHA KUPOTEZA!kwa kutumia mbinu mbali mbali, kama tunavyoona VITA vya UKRAINE NA RUSSIA!
 
Unakuwa kama Mwanamke sasa kuanza kutaka msaada wa mawazo wakati mambo yapo wazi
Mpe Ban acha kutoa matumizi usimtafute kwenye simu kaabize achana nae .
Mbona wamejaa tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…