Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
1. Kwa karne hii kama umebahatika kupata mke mwenye kazi naomba hilo wazo la kutaka kumuachisha ulifikirie Vizuri kwani akiachia nafasi hataipata tena (Labda kama unavitega uchumi vya nguvu hivyo unataka kumuajiri)
2. Kama unauwezo wa kutaka kumuachisha mkeo kazi inamaana kiuchumi uko vizuri; Si ununue bajaji au Pikipiki yako ikae hapo nyumbani na pengine uwe na kijana unaye muamini awe anaitumia akitaka kuagiza kitu?
3. Kimsingi kama unataka kumuachanisha na huyo Boda ni vizuri pia utengeneze utaratibu wa kufanya vinavyofanywa na huyo boda vifanyike ili kusiwe na umuhimu wa kumuita
na km mwanamke hakusikii ni wa kazi gan sasa
Kubali ya kwamba umeoa Malaya mzoefu anayekudharau na kubadilika hawezi...
Mke akishaanza kuchepuka haachi hats umsamehe vip... Mi wakwangu tunaprocess talaka sasa we komaa nae maana ndoa kuvunjika si mchezo
Kutokana na hali ya vyuma kukaza kipindi cha Jiwe ndipo nilipomruhusu kuanza kufanya kazi, Ila toka alipoanza hiyo kazi hali imezidu kuwa ya kivuruvurugu tu ndani, Confidence yake mbele yangu imeengezeka kwa zaid 100%
Nikajua umevirugwa kwel lakn ulivopost picha ya huyo boda boda nmeishia kucheka tuu haupo serious ungekuwa serious ungepata hasira hata ya kuiona picha yenyewe ya huyo bodaboda na huyo mdada🤪😜😁😆😅🤣
Hii imekaa poa Sana[emoji23]Mnunulie gari
NakaziaMnunulie gari