MoneyHeist4
JF-Expert Member
- Jul 10, 2017
- 2,134
- 3,192
😭😭 Duh sijui GonoUtakula ulikopeleka mboga
😭😭 Duh sijui GonoUtakula ulikopeleka mboga
Ya wanyama?Nenda hospitali ya wanyama ukapigwe sindano
Uliyatimba kama mimi na ukitumia dawa gani?Niliyatimba mwaka juzi kwa kabinti under 18!
Kweli kabsa mkuu, nimeanza kuamini. Hapa sina amani kabsaTusipime watu kwa macho wakuu, maradhi yapo tena ya kutosha.
Ahsante mkuu, nitafanya hivyo.Fanya na HIV test mkuu ujue status yako na ujihami mapema
Sawa mkuu ahsanteKapime kwanza
Binti mzuri ni cha wote.Nyie wanawake mbona hamjijali kiasi hiki, Msichana unaonekana mzuri kwa nje ila kwa ndani ni balaaa una magonjwa kama yote.
Nilikutana na ka Binti kazuri nikakaamini nikakapelekea moto kavu kavu, leo siku ya nne nimeanza kusikia maumivu kila nikikojoa pia natokwa kama usaha nikikojoa, sijui ndo UTI sijui Gono.
View attachment 2897819
Hiki ndo naendelea nacho kwa sasa.
Hizo nilizoweka hapo docta ndo kaniandikia.Cefriaxone 1gm start then
Cefixime 400mg start
Azuma 1gm start. Hii ndo dizo hakika utapona kwa haraka
Nimeshamwambia atachukua tahadhari mimi sitoweka kambi tena kwake.Pole sana usirudie kupima kwa macho, mpeleke na huyo mgonjwa mwenzio hospital apate tiba.
Kinga ni bora kuliko tiba.