DeMostAdmired
JF-Expert Member
- Oct 7, 2017
- 1,579
- 3,798
Ukome usirudie kuuza mechi, kaa mwezi au miezi miwili ukachek lakin hope haujaukwaa upo salama(3) Hakuna michubuko iliyotokea.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukome usirudie kuuza mechi, kaa mwezi au miezi miwili ukachek lakin hope haujaukwaa upo salama(3) Hakuna michubuko iliyotokea.
Dah, sidhani kama nitakuwa nimeukwaa sababu sisikii maumivu yeyote ya michubuko. Itabidi nikapime tu nipate uhakika ZAidi.Ukome usirudie kuuza mechi, kaa mwezi au miezi miwili ukachek lakin hope haujaukwaa upo salama
Duuuh! mwanaume si analala na mwanamke,namna gani hapa unauliza kama wanaume huwa tunakua na U.T.I ilhali mleta mada ni mwanaume na ili apate maambukizi kwenye mfumo wa mkojo,uwezekano unakua mkubwa endapo akijamiiana?Kwa hiyo wanaume huwa hamna UTI mnaambukizwa na wanawake tu
Kwan mwanaume hawezi pata UTI peke yakeDuuuh! mwanaume si analala na mwanamke,namna gani hapa unauliza kama wanaume huwa tunakua na U.T.I ilhali mleta mada ni mwanaume na ili apate maambukizi kwenye mfumo wa mkojo,uwezekano unakua mkubwa endapo akijamiiana?
Aisee
Soma nilichoandika kuanzia kwenye COMMA ya mwisho,ukiwa unamalizia riplai yangu.Kwan mwanaume hawezi pata UTI peke yake