Mad Max
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 26,961
- 77,890
Nakunywa Smirnoff uku nacheki game la Arsenal, mezani nina Google Pixel ya ukoo, basi mtoto akajua mi kishua. Kanivaa. Nikauza mechi.Achana na smirnoff bro
Oyaah, sikia tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakunywa Smirnoff uku nacheki game la Arsenal, mezani nina Google Pixel ya ukoo, basi mtoto akajua mi kishua. Kanivaa. Nikauza mechi.Achana na smirnoff bro
Nitapima mkuuMkuu unajishaua na azuma wakati hujapima?Kwa taarifa yako Gono si gonjwa pekee linalotokana na uchakataji holela wa mbususu,Kuna pangusa huo una erase pumbu and every thing.Think about it.
Haya mambo nimeacha siku hizi lakini nilikuwa lazima ninuse kwanza ndio kavu au ndomuNyie wanawake mbona hamjijali kiasi hiki, Msichana unaonekana mzuri kwa nje ila kwa ndani ni balaaa una magonjwa kama yote.
Nilikutana na ka Binti kazuri nikakaamini nikakapelekea moto kavu kavu, leo siku ya nne nimeanza kusikia maumivu kila nikikojoa pia natokwa kama usaha nikikojoa, sijui ndo UTI sijui Gono.
View attachment 2897819
Hiki ndo naendelea nacho kwa sasa.
Kunusa ndio kufanyaje?Haya mambo nimeacha siku hizi lakini nilikuwa lazima ninuse kwanza ndio kavu au ndomu
Maisha yafaa nini bila ngono?Wazinzi wakufe.
Kila siku tunawaonya
Vijana acheni uzinzi
Hivi umeme bado upo?Cheki na umeme mkuu, ili kama unao uanze dozi mapema usisubiri mpaka mda uende
😂😂😂Maisha yafaa nini bila ngono?
Azuma vidonge 6 vyote vya nini au umepewa na nyongeza.Nyie wanawake mbona hamjijali kiasi hiki, Msichana unaonekana mzuri kwa nje ila kwa ndani ni balaaa una magonjwa kama yote.
Nilikutana na ka Binti kazuri nikakaamini nikakapelekea moto kavu kavu, leo siku ya nne nimeanza kusikia maumivu kila nikikojoa pia natokwa kama usaha nikikojoa, sijui ndo UTI sijui Gono.
View attachment 2897819
Hiki ndo naendelea nacho kwa sasa.
I See!!Hapana yeye hawezi kupona kwa hizo dawa,
Note : maumbile ni tofauti, labda yeye kama atakuwa ana-discharge na itching sehemu za siri..
Na suggest
. Cefixime 400mg 1 * 1 * 1 /7
. Secnidazole 2 * 1 *1/7
. Azithromycin 1g start
. Clotimazole V. Pessaries insert 1 tab OD for 6/7 days
Kama atakuwa anawashwa ikulu utampa na gel ya kupaka.
Na ukimwi ukapimeNyie wanawake mbona hamjijali kiasi hiki, Msichana unaonekana mzuri kwa nje ila kwa ndani ni balaaa una magonjwa kama yote.
Nilikutana na ka Binti kazuri nikakaamini nikakapelekea moto kavu kavu, leo siku ya nne nimeanza kusikia maumivu kila nikikojoa pia natokwa kama usaha nikikojoa, sijui ndo UTI sijui Gono.
View attachment 2897819
Hiki ndo naendelea nacho kwa sasa.
Umekatika.Hivi umeme bado upo?
Hivi umeme bado upo?
Sawa mkuu ahsanteHapana yeye hawezi kupona kwa hizo dawa,
Note : maumbile ni tofauti, labda yeye kama atakuwa ana-discharge na itching sehemu za siri..
Na suggest
. Cefixime 400mg 1 * 1 * 1 /7
. Secnidazole 2 * 1 *1/7
. Azithromycin 1g start
. Clotimazole V. Pessaries insert 1 tab OD for 6/7 days
Kama atakuwa anawashwa ikulu utampa na gel ya kupaka.
MmmhNa ukimwi ukapime
Unaguna wakati ushauza mechi, usimuamini mtu bro hata kama ni mzuri vipi. Kapime kama unao uanze dozi cd4 zkishuka ukaanza kuharisha ndo utajua hujui, ukikutwa mzima ujipange upya usiende hovyo hovyoMmmh
Ulipiga bao ngap kwanza? Mlichubuana?Mmmh
Ahsante mkuu.Unaguna wakati ushauza mechi, usimuamini mtu bro hata kama ni mzuri vipi. Kapime kama unao uanze dozi cd4 zkishuka ukaanza kuharisha ndo utajua hujui, ukikutwa mzima ujipange upya usiende hovyo hovyo
(3) Hakuna michubuko iliyotokea.Ulipiga bao ngap kwanza? Mlichubuana?