Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
5 Weka kwa ajaili ya mkimbixano utakaokutana naoKanunue bangii tarimeee uza Kenya ndugu anza na mil 10 kwanza 20 m Weka bank
15 bakiza bank
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
5 Weka kwa ajaili ya mkimbixano utakaokutana naoKanunue bangii tarimeee uza Kenya ndugu anza na mil 10 kwanza 20 m Weka bank
Inafungua ila ni ndogo sanaYan 30M hufungui min supermarket ? Mzee upo serious ?
Min supermarket hizi hzi au unasemea zipiInafungua ila ni ndogo sana
Mimi supermarket unazozijua za mitaani hizi ndogondogoMin supermarket hizi hzi au unasemea zipi
Ndugu pesa haifanyiwi bajeti kabla haijaingia mkononi mwako,hiyo sii yako hadi uione.Ushauri wa bure na pesa haitangazwi hiyo ni siri yako na fanya yako.Japo kuomba ushauri wa mawazo sii vibaya.🫠Habari mwezi ujao naenda kupata mil 30 vijana wenzangu naombeni ushauri ili nisije kujuta baadae maana hela saiz sina. Na hiyo ela sizani kama nitaipata tena kama hiyo naombeni ushauri kama ungekuwa wewe ungefanyajee.
Nina mke na watoto 3
Asithubutu hiyo biasharaNunua bodaboda 10 uwape vijana wakuchumie hela, boda moja kwa siku 12,000 tzs kumi ni 120,000.
Kwa mwezi ni 3,600,000 tzs. Yaani utakua na uwezo wa kuongeza boda mpya kila mwezi mpaka uwezo wako wa kuzi control utakaposhindwa.
Hapo unachomesha vinginevyo uwe unaweza kumkabidhi kwa mnyama wa madoa atakaye zingua,vinginevyo chinga wapiga mziki mkubwa Rodini wanakufilisi asubuhi mapeema kabla hapaja kucha🤣Nunua bodaboda 10 uwape vijana wakuchumie hela, boda moja kwa siku 12,000 tzs kumi ni 120,000.
Kwa mwezi ni 3,600,000 tzs. Yaani utakua na uwezo wa kuongeza boda mpya kila mwezi mpaka uwezo wako wa kuzi control utakaposhindwa.
Frame atapata wapi aende akafungue Makongo juu angalauKqfungue duka kkoo pale. Agiza mzigo.
🤣🤣🤣Njoo kwanza pm nikupe namba zangu 🥰🥰
Mambo hayaendi kilaini namna hii.Nunua bodaboda 10 uwape vijana wakuchumie hela, boda moja kwa siku 12,000 tzs kumi ni 120,000.
Kwa mwezi ni 3,600,000 tzs. Yaani utakua na uwezo wa kuongeza boda mpya kila mwezi mpaka uwezo wako wa kuzi control utakaposhindwa.
Yaani aanze kuanzia kununua vifaa vya supermarket, kodi na makorokoro mengine toa mali? Fremu ataikuta imeshatengenezwa?Min supermarket hizi hzi au unasemea zipi
Twende kitambaa cheupe kwanza, tukapange mipangoHabari mwezi ujao naenda kupata mil 30 vijana wenzangu naombeni ushauri ili nisije kujuta baadae maana hela saiz sina. Na hiyo ela sizani kama nitaipata tena kama hiyo naombeni ushauri kama ungekuwa wewe ungefanyajee.
Nina mke na watoto 3