Waziri wa Fedha Mh Mwigulu akizungumza na Waandishi wa habari amesema kwamba Wananchi wenyewe ndio walioshauri serikali iweke Tozo ili kupanua wigo wa mapato , na kwamba ilichofanya serikali ni kuufanyia kazi ushauri wa Wananchi .
Chanzo : SwahiliTimes
Hili jamaa bhana! Bure kabisa. Kwa hiyo yule jamaa yake Zungu ndiyo anawakilisha mawazo ya wananchi wote wa nchi hii!Waziri wa Fedha Mh Mwigulu akizungumza na Waandishi wa habari amesema kwamba Wananchi wenyewe ndio walioshauri serikali iweke Tozo ili kupanua wigo wa mapato , na kwamba ilichofanya serikali ni kuufanyia kazi ushauri wa Wananchi .
Chanzo : SwahiliTimes
Amerogwa huyoWaziri wa Fedha Mh Mwigulu akizungumza na Waandishi wa habari amesema kwamba Wananchi wenyewe ndio walioshauri serikali iweke Tozo ili kupanua wigo wa mapato , na kwamba ilichofanya serikali ni kuufanyia kazi ushauri wa Wananchi .
Chanzo : SwahiliTimes
Mwenye shibe hamjui mwenye njaajInga sana, kama walishauri mbona wanalalamika sasa?
Mbunge wako alikuwakilishaHayo maoni ya wananchi waliyakusanya lini na kwa njia gani?
Aache uongo, hizo tozo zimepitishwa na lile bunge la CCM lisiloweza kuihoji chochote serikali kisha Rais akaweka saini.
Amedanganya!!! Hata kama wananchi walishauri kuongeza wigo wa mapato hawajashauri fedha zao ziibiwe hovyo na kutumika kipumbavu kama vile kuagiza v8 za nusu bilioni!! Mwigulu please give us a break!!!Waziri wa Fedha Mh Mwigulu akizungumza na Waandishi wa habari amesema kwamba Wananchi wenyewe ndio walioshauri serikali iweke Tozo ili kupanua wigo wa mapato , na kwamba ilichofanya serikali ni kuufanyia kazi ushauri wa Wananchi .
Chanzo : SwahiliTimes
Mwiguluuuu, za kuambiwa changanya na za kwako!! Hao wananchi waliaokushauri na wapi hao?Waziri wa Fedha Mh Mwigulu akizungumza na Waandishi wa habari amesema kwamba Wananchi wenyewe ndio walioshauri serikali iweke Tozo ili kupanua wigo wa mapato , na kwamba ilichofanya serikali ni kuufanyia kazi ushauri wa Wananchi .
Chanzo : SwahiliTimes
Yaani nchi imejaa viongozi waliojiweka mamlakani ndio maana hawana hofu kwa chochote vyombo vya ulinzi wanachukua orders kutoka kwao ndio maana wanajaa vichwa.Exactly.
Huu upuuzi unaofanywa na Hawa maccm, hatuwezi kukoma, unless tunakuwa na uchaguzi huru.
Uchaguzi huo huru utapatikana pale tu, nchi itakapopata Katiba mpya ya Rasimu ya Warioba na wala si kwa Katiba pendekezwa ya hao Masisiem
Hili ndio kibaraka na utopolo mtupu!Shirika LA TWAWEZA ndo lilifanya research
Mwambieni wananchi wamezikataa tena wazitoeWaziri wa Fedha Mh Mwigulu akizungumza na Waandishi wa habari amesema kwamba Wananchi wenyewe ndio walioshauri serikali iweke Tozo ili kupanua wigo wa mapato , na kwamba ilichofanya serikali ni kuufanyia kazi ushauri wa Wananchi .
Chanzo : SwahiliTimes