Nduna shujaa
Senior Member
- Aug 14, 2022
- 163
- 134
wapi labda yule zungu ndiyo wananchi.Waziri wa Fedha Mh Mwigulu akizungumza na Waandishi wa habari amesema kwamba Wananchi wenyewe ndio walioshauri serikali iweke Tozo ili kupanua wigo wa mapato , na kwamba ilichofanya serikali ni kuufanyia kazi ushauri wa Wananchi .
Chanzo : SwahiliTimes
Hii ni kwa vile serikali inafanyia kazi maoni ya wananchiRasimu ya warioba irudi mezani Sasa iwe katiba Mpya "!
[emoji38][emoji38][emoji38]Mwigulu rais 2025! [emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]
[emoji38][emoji38][emoji38]
Sawa kabisa, mie mmoja wapo 😁😁😁Waziri wa Fedha Mh Mwigulu akizungumza na Waandishi wa habari amesema kwamba Wananchi wenyewe ndio walioshauri serikali iweke Tozo ili kupanua wigo wa mapato , na kwamba ilichofanya serikali ni kuufanyia kazi ushauri wa Wananchi .
Chanzo : SwahiliTimes
Waliojiwa wananchi Ambao wako wanaendesha Mavieti.Kweli sisi wananchi wajinga kama alivyosema kiongozi wa upinzani yaani tumependekeza tozo wenyewe
Halafu tuje tulalamike huu ni ujinga kwekikweli!
Waziri atuambie wananchi wangapi walipendekeza Kati ya wangapi unaweza kuta wananchi wenyewe ni mawaziri na wafuasi tu.
Mambo ya wote tuwe wote, tozo iliyopendekezwa bungeni ni za simu wa siyo za kibenki
sawa lakini hii nchi tumechelewa sana kimaendeleo sasa sijui kulinganisha na nani
Duh !!Yaani kaaa kwa kutulia mtoto mdooooogoooo, mnuka jasho ,kubwa jinga lisilo na akili a.k.a MNYONGE, sasa kwa taarifa yako kila mwaka v-8 za billions 600 zinaagizwa, V-8 MOJA NI MILLIONS 500 SAWA NA KITUO CHA AFYA
Zinajazwa mafuta full tank, full Ac na hakuna kuzimwa hata kama boss yuko bar na mrembo wa bongo movie wanakula manyama na kushushia na ma wine toka ufaransa
Kaa kwa kutulia weweeeee unalalamika tozo unadhani watoto wako watsomea kwenye nini bila tozo? madarasa yatajengwaje? vituo vya afya vitajengwaje?
Najua mimacho umetolea kwenye v-8 , yees ni lazima kila mwaka model mpya ikitoka waheshimiwa waipate sababu wanaumiza sana vichwa kuwatumikia nyie wanuka jasho msio na shukrani
Mmeletewa hadi wachezaji toka brazil, argentina kwenye team iliyoko singida lakini bado hamna shukrani, hela yenyewe ndogo inayovamiwa kwenye vi account vyenu mnaiona nyiiingi wenyeeewe, LAZIMA MUUMIE LA SIVYO SHULE NA ZAHANATI HAKUNA NAMBA NYINGINE YA KUJENGA
UNAIJUA V-8 WEWEEEEEEEE? MTOOOOTO M-LITTLE, MNUKA JASHO, KUBWA JINGA
[emoji23][emoji23][emoji23]Waziri wa Fedha Mh Mwigulu akizungumza na Waandishi wa habari amesema kwamba Wananchi wenyewe ndio walioshauri serikali iweke Tozo ili kupanua wigo wa mapato , na kwamba ilichofanya serikali ni kuufanyia kazi ushauri wa Wananchi .
Chanzo : SwahiliTimes
Yamekuwa mafailureIla miccm bwana alowaroga kafa.[emoji134][emoji134][emoji134]
WANANCHI wa NCHI GANI HAO?Kama ni WATANZANIA MBONA WANAZISHANGAA HIZO TOZO?Tunaiomba Serikali iondoe hizo TOZO badala yake IBANE MATUMIZI YAKEWaziri wa Fedha Mh Mwigulu akizungumza na Waandishi wa habari amesema kwamba Wananchi wenyewe ndio walioshauri serikali iweke Tozo ili kupanua wigo wa mapato , na kwamba ilichofanya serikali ni kuufanyia kazi ushauri wa Wananchi .
Chanzo : SwahiliTimes
😁🤣🤣View attachment 2341896
labda kweli, unajua watz tuko 60mls labda kuna watu walienda kumwambia bila sisi kujua.
Yanga walaaniweWaziri wa Fedha Mh Mwigulu akizungumza na Waandishi wa habari amesema kwamba Wananchi wenyewe ndio walioshauri serikali iweke Tozo ili kupanua wigo wa mapato , na kwamba ilichofanya serikali ni kuufanyia kazi ushauri wa Wananchi .
Chanzo : SwahiliTimes
Jamaa amelaaniwa haswaKweli sisi wananchi wajinga kama alivyosema kiongozi wa upinzani yaani tumependekeza tozo wenyewe
Halafu tuje tulalamike huu ni ujinga kwekikweli!
Waziri atuambie wananchi wangapi walipendekeza Kati ya wangapi unaweza kuta wananchi wenyewe ni mawaziri na wafuasi tu.
Mambo ya wote tuwe wote, tozo iliyopendekezwa bungeni ni za simu wa siyo za kibenki
sawa lakini hii nchi tumechelewa sana kimaendeleo sasa sijui kulinganisha na nani