Logic tuu mkuu,Heading na ulichokiandika hakiendani,unataka attention ya nini!?
Hiyo ni ndoto ya mchana inayosukumwa na sukuma gang emotions.Kuna kitu kichwani kinanimbia kuwa Tanzania inakaribia kuona mabadiliko makubwa ya kiuongozi na mfumo ambayo yatakuja bila kutegemea. Viongozi wengi walioko madarakani sasa hivi wameshafikia saturation point ya kufikiri na ni suala la muda tu chochote kinaweza kikatokea.
Mbwa hawa. Eti anaigiza kuzimia halafu anasahau kuachia kifuko cha lambo
Jiwe anstahili kugeukwa. Hata mama kamgeuka jiwe.Samia ndio awaone mawazir wake hata yy akiondoka watamgeuka tu watu kama hawa sijui kwann wanakuwa viongozi.
Sasa hizo ndiyo unaona ni fadhila wakati huo ni udhaliloshaji?? Jiwe alikuwa mshamba sana. Acha atukanwe na kila mtuAma kweli mfadhili mbuzi, amesahau aliapishwa kibarazani pale chato kwenye appartment ya mwendazake?
Mbona umeandika kinafiki Sana.WAZIRI wa Fedha na Mipango Dk Mwigulu Nchemba amesema serikali haikusudii kuwashusha matajiri ili walingane na masikini kwa kuwa hiyo ni "sadist mind"
na kwamba itaendelea kutekeleza miradi ya kimkakati ili kuhakikisha kila mmoja anapanda.
Akihitimisha mjadala wa Bajeti, Dk Mwigulu amesema nia ya serikali ni kuhakikisha kila mmoja kila taasisi inapata mgao wa keki ya taifa hata hivyo uhitaji ni mkubwa na mpango wa sasa ni kuanza na wachache.
una akili nyembamba sana !apo kawalenga akina mbowe
Kuna mmoja alizimia akiwa ameshikilia kisado kichwani.
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Mbwa hawa. Eti anaigiza kuzimia halafu anasahau kuachia kifuko cha lambo
Mungu anaratibu anguko la CCM...Mkuu soma link hiyo utakubaliana nami kuwa suluhisho halipo mbali.Kuna kitu kichwani kinanimbia kuwa Tanzania inakaribia kuona mabadiliko makubwa ya kiuongozi na mfumo ambayo yatakuja bila kutegemea. Viongozi wengi walioko madarakani sasa hivi wameshafikia saturation point ya kufikiri na ni suala la muda tu chochote kinaweza kikatokea.
Sawa ila chadomo noMkuu unaona ninachokiona. Kile kisichotarajiwa kitakwenda kutokea katika hali ya ajabu. Katika dunia hii kuna kitu kufikia ukomo. Ccm kwa sasa ilipofikia imefikia mwisho wa uwepo wake maana wakati ni ukuta.
Salute GT..Kuna kitu kichwani kinanimbia kuwa Tanzania inakaribia kuona mabadiliko makubwa ya kiuongozi na mfumo ambayo yatakuja bila kutegemea. Viongozi wengi walioko madarakani sasa hivi wameshafikia saturation point ya kufikiri na ni suala la muda tu chochote kinaweza kikatokea.
angemeza hiyo tai yake bila majiUnafiq tu. Hilo angelisema kipindi kile cha mwendazake ili aone moto wake
huo ndio ukweli nduguuna akili nyembamba sana !
Kivip?Mbona umeandika kinafiki Sana.
Kwani Mwigulu kamgeuka nani?Samia ndio awaone mawazir wake hata yy akiondoka watamgeuka tu watu kama hawa sijui kwann wanakuwa viongozi.