SYLLOGIST!
JF-Expert Member
- Dec 28, 2007
- 8,189
- 7,853
Apotezwe?Unafiq tu. Hilo angelisema kipindi kile cha mwendazake ili aone moto wake
Khee@ kwanini sasa hivi hawaoni? Unaota?Ipo siku SSH akiwa anawanoa wajukuu wake atawaeleza ya Mwigulu Nchemba.
Hadithi ya Esakariat ni ya kweli...ina maana hata wale wanaonekana wana mazuri wana mabaya.
Hii kiboko!
Huyu ni changudoa wa kisiasa. Ni bahati mbaya hata huyo mama ni wale wale. Maana, angekuwa anajitambua, angewatimua akina Mwigulu ambao kesho watamponda kama wanavyomponda mwendazake aliyewatoa kwenye majalala. Nao ipo siku yao wataumbuka hata hivyo.WAZIRI wa Fedha na Mipango Dk Mwigulu Nchemba amesema serikali haikusudii kuwashusha matajiri ili walingane na masikini kwa kuwa hiyo ni "sadist mind"
na kwamba itaendelea kutekeleza miradi ya kimkakati ili kuhakikisha kila mmoja anapanda.
Akihitimisha mjadala wa Bajeti, Dk Mwigulu amesema nia ya serikali ni kuhakikisha kila mmoja kila taasisi inapata mgao wa keki ya taifa hata hivyo uhitaji ni mkubwa na mpango wa sasa ni kuanza na wachache.
Mzee sio kuuza ni kuwapaKuuza Bandari kwa Waarabu ndiyo kugawana keki ya Taifa?
WAZIRI wa Fedha na Mipango Dk Mwigulu Nchemba amesema serikali haikusudii kuwashusha matajiri ili walingane na masikini kwa kuwa hiyo ni "sadist mind"
na kwamba itaendelea kutekeleza miradi ya kimkakati ili kuhakikisha kila mmoja anapanda.
Akihitimisha mjadala wa Bajeti, Dk Mwigulu amesema nia ya serikali ni kuhakikisha kila mmoja kila taasisi inapata mgao wa keki ya taifa hata hivyo uhitaji ni mkubwa na mpango wa sasa ni kuanza na wachache.
Magufuli alikuwa kondoo nani ya kundi la mbwa mwitu. Ilikuwa lazima tu afeWAZIRI wa Fedha na Mipango Dk Mwigulu Nchemba amesema serikali haikusudii kuwashusha matajiri ili walingane na masikini kwa kuwa hiyo ni "sadist mind"
na kwamba itaendelea kutekeleza miradi ya kimkakati ili kuhakikisha kila mmoja anapanda.
Akihitimisha mjadala wa Bajeti, Dk Mwigulu amesema nia ya serikali ni kuhakikisha kila mmoja kila taasisi inapata mgao wa keki ya taifa hata hivyo uhitaji ni mkubwa na mpango wa sasa ni kuanza na wachache.
Scarf in the neck mkuu si angeshaziraiUnapoambiwa usiwaamini wanasiasa na hii ndio maan yake!!! While scarf is in the neck all day 😂🤣🤣🤣🤣
AiseeKwann aone wakati katoa maoni yake. Hicho unachokupigia debe ndicho tunakiita "sadist mind". Jiwe alikuwa nacho sana. Mpuuzi yule. Bora kafa
Kwani Mwigulu anazungumzia Magufuli?Magufuli alikuwa kondoo nani ya kundi la mbwa mwitu. Ilikuwa lazima tu afe
Hutakiwi kumuamini mtu yoyote, kika mtu anadanganyaNamaanisha usimuamin mwanasiasa! Always wana ndimi mbili. Over
Mwigulu kwani kamsaliti nani?Ipo siku SSH akiwa anawanoa wajukuu wake atawaeleza ya Mwigulu Nchemba.
Hadithi ya Esakariat ni ya kweli...ina maana hata wale wanaonekana wana mazuri wana mabaya.
Hii kiboko!
Kwani hapo amemsema nani?kesho akija mtawala mwengine na mwigulu ukapata madaraka utasikia yule mama alikuwa anamaliza nchi.
akili za utumbo mpana kwa ccm
Hebu tukumbushe mkuuApotezwe?
Khaa, kwani tymesahau mawaziri walivyokuwa wanafanyiwa ubabe na viuaji vyake. Tukukumbushe?
Nani huyo aliyemsamehe mwizi?Huyu Mwizi alivyoiba hela za passport akasamehewa basl anajiona ana haki ya kufanya chochote
Mbowe ni tajiri, amekulenga weweapo kawalenga akina mbowe
Kwani Mwigulu anamponaa mwendazake? Kivipi?Huyu ni changudoa wa kisiasa. Ni bahati mbaya hata huyo mama ni wale wale. Maana, angekuwa anajitambua, angewatimua akina Mwigulu ambao kesho watamponda kama wanavyomponda mwendazake aliyewatoa kwenye majalala. Nao ipo siku yao wataumbuka hata hivyo.