Jamaa ni mjinga sana, kasoma uchumi wa kukariri..Waziri mzima una implement kitu ambacho hata wiki hakijamaliza kinakuwa backfired ....useless.Mwigulu ni version ya jiwe had tabia na alitaka kuwa Rais wa nchi, eeh Mungu isaidie Tanzania. Kwa mahujiano na Farhia kumbe Mwigulu ni mweupe kiasi hicho hata kujieleza tu ni tabu ana jeuri na kiburi aisee, ajirekebishe bana
Huwezi sikia wakiongelea kupunguza matumizi yasiyo ya lazima wao ni tozo tuMamlaka ya uteuzi tuseme Sasa imetoshaaaaa
Tozo ya Mafuta juu
Tozo ya Fedha mitandaoni juu
Tozo ya kiwanja kwa luku
Makato ya kwenye vocha juu...
Zulumati NSSF...Najua mtanikumbuka sio kwa mabaya bali kwa mazuri kwa sababu nimeji sacrifaiz kwa ajili ya Watanzania ~ Alisikika shujaa mmoja
Pamoja tunapitia maisha mapya yenye changamoto Ila sitakuja kumkumbuka beana yule maana mema yamezidiwa na mabaya.Najua mtanikumbuka sio kwa mabaya bali kwa mazuri kwa sababu nimeji sacrifaiz kwa ajili ya Watanzania ~ Alisikika shujaa mmoja
Hee..takibiriii tena! Ni maandamano ya majihadi yanayoanzia musikitini au? Kwanza ni maandano ya nje au ya humu humu jf ambako hakuna anaekujua ili uwe mstari wa mbele jomba!Kosa lake ni kubwa mno Halina msamaha. Ajiuzulu au Mama Rais amwajibishe. Short of that tufanye maandamano nchi nzima maana wote tumeambiwa tuhamie Burundi, Ni wajibu wetu sote kuandamana kupinga udhalimu wa huyu mtu mwovu shetani ili tuweze kubaki Tanzania.
Kesho huyu akiwa Rais atatupiga risasi wote au atatuhamishia Burundi
Takbir, Takbir, Takbir
Mwigulu ni Shetani na nusu..Kosa lake ni kubwa mno Halina msamaha. Ajiuzulu au Mama Rais amwajibishe. Short of that tufanye maandamano nchi nzima maana wote tumeambiwa tuhamie Burundi, Ni wajibu wetu sote kuandamana kupinga udhalimu wa huyu mtu mwovu shetani ili tuweze kubaki Tanzania.
Kesho huyu akiwa Rais atatupiga risasi wote au atatuhamishia Burundi
Takbir, Takbir, Takbir
Kama ule ushahidi wake wa lile bomu la Arusha wa MBINGUNI na DUNIANIMwigulu ni Shetani na nusu..
Alaaniwe duniani na mbinguni.
Daima Mbele nyuma mwiko.Kosa lake ni kubwa mno Halina msamaha. Ajiuzulu au Mama Rais amwajibishe. Short of that tufanye maandamano nchi nzima maana wote tumeambiwa tuhamie Burundi, Ni wajibu wetu sote kuandamana kupinga udhalimu wa huyu mtu mwovu shetani ili tuweze kubaki Tanzania.
Kesho huyu akiwa Rais atatupiga risasi wote au atatuhamishia Burundi
Takbir, Takbir, Takbir
Kosa lake ni kubwa mno Halina msamaha. Ajiuzulu au Mama Rais amwajibishe. Short of that tufanye maandamano nchi nzima maana wote tumeambiwa tuhamie Burundi, Ni wajibu wetu sote kuandamana kupinga udhalimu wa huyu mtu mwovu shetani ili tuweze kubaki Tanzania.
Kesho huyu akiwa Rais atatupiga risasi wote au atatuhamishia Burundi
Takbir, Takbir, Takbir
Kosa lake ni kubwa mno Halina msamaha. Ajiuzulu au Mama Rais amwajibishe. Short of that tufanye maandamano nchi nzima maana wote tumeambiwa tuhamie Burundi, Ni wajibu wetu sote kuandamana kupinga udhalimu wa huyu mtu mwovu shetani ili tuweze kubaki Tanzania.
Kesho huyu akiwa Rais atatupiga risasi wote au atatuhamishia Burundi
Takbir, Takbir, Takbir
Hamia burundi tuachie nchi hii bavicha weweKosa lake ni kubwa mno Halina msamaha. Ajiuzulu au Mama Rais amwajibishe. Short of that tufanye maandamano nchi nzima maana wote tumeambiwa tuhamie Burundi, Ni wajibu wetu sote kuandamana kupinga udhalimu wa huyu mtu mwovu shetani ili tuweze kubaki Tanzania.
Kesho huyu akiwa Rais atatupiga risasi wote au atatuhamishia Burundi
Takbir, Takbir, Takbir