Jamaa ni mjinga sana, kasoma uchumi wa kukariri..Waziri mzima una implement kitu ambacho hata wiki hakijamaliza kinakuwa backfired ....useless.Mwigulu ni version ya jiwe had tabia na alitaka kuwa Rais wa nchi, eeh Mungu isaidie Tanzania. Kwa mahujiano na Farhia kumbe Mwigulu ni mweupe kiasi hicho hata kujieleza tu ni tabu ana jeuri na kiburi aisee, ajirekebishe bana
Usalama wa taifa hakikishemi jamaa anakwenda kulima kwao.....ni kuku huyu.