Stan Mashamba
JF-Expert Member
- Apr 22, 2020
- 3,183
- 2,479
Mliyataka wenyewe kwa kukubali uchafuzi wa 28/10/20. Wakulaumiwa ni CCM na Mwigulu ni sehemu yake tu. Sema: "Tuandamane dhidi ya CCM".Kosa lake ni kubwa mno Halina msamaha. Ajiuzulu au Mama Rais amwajibishe. Short of that tufanye maandamano nchi nzima maana wote tumeambiwa tuhamie Burundi, Ni wajibu wetu sote kuandamana kupinga udhalimu wa huyu mtu mwovu shetani ili tuweze kubaki Tanzania.
Kesho huyu akiwa Rais atatupiga risasi wote au atatuhamishia Burundi
Takbir, Takbir, Takbir
Maono safi sana. Tuandamane kupinga CCM na siyo Mwigulu kuondoa mzizi wa uovu huu.Mwigulu hastahili kubeba lawama ya tozo peke yake, balaa lilianzia bungeni likapitishwa na wale wahujumu uchumi wa CCM na mawakala wao (Covid 19), then likahamia kwa Samia akasoma akaona mambo mazuri akaweka saini, then likapelekwa kwa Mwigulu atutangazie wananchi juu ya maamuzi yao ya kinyonyaji.
Mwigulu hastahili kubeba lawama ya tozo peke yake, balaa lilianzia bungeni likapitishwa na wale wahujumu uchumi wa CCM na mawakala wao (Covid 19), then likahamia kwa Samia akasoma akaona mambo mazuri akaweka saini, then likapelekwa kwa Mwigulu atutangazie wananchi juu ya maamuzi yao ya kinyonyaji.
Sawa teacherTuamie [emoji735]
Tuhamie[emoji736]
Badala useme tudai katiba wewe unasema mtu atolewe uwaziri c.c.m ni ileile,dawa katiba mpya itakayo kua na nguvu ya kuwabana viongozi wanao angalia matumbo yao,bila kuangalia wana inchi wote kwa masilahi ya taifa.Kosa lake ni kubwa mno Halina msamaha. Ajiuzulu au Mama Rais amwajibishe. Short of that tufanye maandamano nchi nzima maana wote tumeambiwa tuhamie Burundi, Ni wajibu wetu sote kuandamana kupinga udhalimu wa huyu mtu mwovu shetani ili tuweze kubaki Tanzania.
Kesho huyu akiwa Rais atatupiga risasi wote au atatuhamishia Burundi
Takbir, Takbir, Takbir
[emoji120][emoji120][emoji120]Kosa lake ni kubwa mno Halina msamaha. Ajiuzulu au Mama Rais amwajibishe. Short of that tufanye maandamano nchi nzima maana wote tumeambiwa tuhamie Burundi, Ni wajibu wetu sote kuandamana kupinga udhalimu wa huyu mtu mwovu shetani ili tuweze kubaki Tanzania.
Kesho huyu akiwa Rais atatupiga risasi wote au atatuhamishia Burundi
Takbir, Takbir, Takbir
We said thisKwenye hili la miamala Waziri husika itabidi atupishe.
Ni kawaida serikali kupima joto ila Kwenye hili wamechemsha.
Wangegusa kidogo wangefanikiwa.
Tujiandae tamko
.Mamlaka ya uteuzi tuseme Sasa imetoshaaaaa
Tozo ya Mafuta juu
Tozo ya Fedha mitandaoni juu
Tozo ya kiwanja kwa luku
Makato ya kwenye vocha juu.
Kodi ya pembejeo za kilimo mara mbili
Nauli mabasi mikoani juu (bado daladala any time wanapandisha)
Mnataka tuishije sasaa?
Najiuliza inamaana waziri Huyu wa fedha ameshindwa kutumia elimu yake ya kiuchumi ktk ulimwengu wa sasa ktk kupata kodi?
Hivi kweli Sasa hivi kwa technology ya Dunia unataka mtu atoke Mbagala apelekwe hela tegeta badala ya kutuma kwa mtandao kosa tu Makato ni makubwa kuliko nauli ya bus kufata/kepeleka hela?
Mnataka tuanze kutuma hela kwa bus?
Mamlaka ya uteuzi ndo wameridhika kabisaa Mwigulu kuwa waziri wa Fedha?
Dkt. Mpango umeamua kwa makusudi kukaa kimya Bila kumshauri mama samia mambo ya kiuchumi?
Nn anajua Mwigulu Kuhusu uchumi zaidi ya janja janja ya kuwazidishia wananchi mzigo wa gharama ya Maisha.
Na bora waseme watafanya maendeleo.
Kinachouma wanatukamua fedha kwa ajili ya posho zao za vikao na per diem.
Hivi Mwigulu si ndo Huyu juzijuzi Zaid ya 1.4 billion zimepigwa akiwa waziri wa Fedha.
MWIGULU, HE MUST RESIGN