Mwigulu, it's enough. You MUST resign!
Kosa lake ni kubwa mno Halina msamaha. Ajiuzulu au Mama Rais amwajibishe. Short of that tufanye maandamano nchi nzima maana wote tumeambiwa tuhamie Burundi, Ni wajibu wetu sote kuandamana kupinga udhalimu wa huyu mtu mwovu shetani ili tuweze kubaki Tanzania.
Kesho huyu akiwa Rais atatupiga risasi wote au atatuhamishia Burundi

Takbir, Takbir, Takbir
Mliyataka wenyewe kwa kukubali uchafuzi wa 28/10/20. Wakulaumiwa ni CCM na Mwigulu ni sehemu yake tu. Sema: "Tuandamane dhidi ya CCM".
 
Mwigulu hastahili kubeba lawama ya tozo peke yake, balaa lilianzia bungeni likapitishwa na wale wahujumu uchumi wa CCM na mawakala wao (Covid 19), then likahamia kwa Samia akasoma akaona mambo mazuri akaweka saini, then likapelekwa kwa Mwigulu atutangazie wananchi juu ya maamuzi yao ya kinyonyaji.
Maono safi sana. Tuandamane kupinga CCM na siyo Mwigulu kuondoa mzizi wa uovu huu.
 
Mwigulu hastahili kubeba lawama ya tozo peke yake, balaa lilianzia bungeni likapitishwa na wale wahujumu uchumi wa CCM na mawakala wao (Covid 19), then likahamia kwa Samia akasoma akaona mambo mazuri akaweka saini, then likapelekwa kwa Mwigulu atutangazie wananchi juu ya maamuzi yao ya kinyonyaji.


Sio maamuzi ya kinyonyaji huo ni WIZI.

Kosa la mwigulu ni kejeli zake kwa wananchi, eti anasema asiyetaka kulipa hiyo kodi na ahamie Burundi, hiyo maana yake ni hii: 1---Yeye hii nchi ni kama nyumba yake na sisi wananchi ni wapangaji wake na tukishindwa kulipa kodi ya pango tuhame nyumba yake, Baba mwenye nyumba kasema.

2--- Hiyo ni kejeli kwa nchi ya Burundi, kwamba huko ndiko wanaishi watu wasiolipa kodi.
 
Maandamano si tunaanzia pale askari moment,sasa mbona nimefika makamanda hampooooooooo?[emoji23]
 
Kosa lake ni kubwa mno Halina msamaha. Ajiuzulu au Mama Rais amwajibishe. Short of that tufanye maandamano nchi nzima maana wote tumeambiwa tuhamie Burundi, Ni wajibu wetu sote kuandamana kupinga udhalimu wa huyu mtu mwovu shetani ili tuweze kubaki Tanzania.
Kesho huyu akiwa Rais atatupiga risasi wote au atatuhamishia Burundi

Takbir, Takbir, Takbir
Badala useme tudai katiba wewe unasema mtu atolewe uwaziri c.c.m ni ileile,dawa katiba mpya itakayo kua na nguvu ya kuwabana viongozi wanao angalia matumbo yao,bila kuangalia wana inchi wote kwa masilahi ya taifa.
 
Ile dharau ya Madelu ni balaa imevuka mipaka sasa....eti huyu anataka kuja kuwa Rais kwa dharau ile asahau
 
Kosa lake ni kubwa mno Halina msamaha. Ajiuzulu au Mama Rais amwajibishe. Short of that tufanye maandamano nchi nzima maana wote tumeambiwa tuhamie Burundi, Ni wajibu wetu sote kuandamana kupinga udhalimu wa huyu mtu mwovu shetani ili tuweze kubaki Tanzania.
Kesho huyu akiwa Rais atatupiga risasi wote au atatuhamishia Burundi

Takbir, Takbir, Takbir
[emoji120][emoji120][emoji120]
 
Kwenye hili la miamala Waziri husika itabidi atupishe.
Ni kawaida serikali kupima joto ila Kwenye hili wamechemsha.
Wangegusa kidogo wangefanikiwa.
Tujiandae tamko
We said this
 
Mamlaka ya uteuzi tuseme Sasa imetoshaaaaa

Tozo ya Mafuta juu
Tozo ya Fedha mitandaoni juu
Tozo ya kiwanja kwa luku
Makato ya kwenye vocha juu.
Kodi ya pembejeo za kilimo mara mbili
Nauli mabasi mikoani juu (bado daladala any time wanapandisha)

Mnataka tuishije sasaa?

Najiuliza inamaana waziri Huyu wa fedha ameshindwa kutumia elimu yake ya kiuchumi ktk ulimwengu wa sasa ktk kupata kodi?

Hivi kweli Sasa hivi kwa technology ya Dunia unataka mtu atoke Mbagala apelekwe hela tegeta badala ya kutuma kwa mtandao kosa tu Makato ni makubwa kuliko nauli ya bus kufata/kepeleka hela?

Mnataka tuanze kutuma hela kwa bus?

Mamlaka ya uteuzi ndo wameridhika kabisaa Mwigulu kuwa waziri wa Fedha?

Dkt. Mpango umeamua kwa makusudi kukaa kimya Bila kumshauri mama samia mambo ya kiuchumi?

Nn anajua Mwigulu Kuhusu uchumi zaidi ya janja janja ya kuwazidishia wananchi mzigo wa gharama ya Maisha.

Na bora waseme watafanya maendeleo.

Kinachouma wanatukamua fedha kwa ajili ya posho zao za vikao na per diem.

Hivi Mwigulu si ndo Huyu juzijuzi Zaid ya 1.4 billion zimepigwa akiwa waziri wa Fedha.

MWIGULU, HE MUST RESIGN
.
JamiiForums-490688376.jpg
 
Kwani siku 100 zimeshakwisha? Subirini dawa iwaingie, endeleeni kupanua na kudemka Chaga gangsters.
 
Kweli ndugu yangu na classmate wangu una matatizo sana. Unajua fika kua uliandaa mapendekezo ya hovyo halafu ukakimbilia kuyatetea kwenye media. Uliona bora utafute maarufu wa kisiasa kuumiza wengine bila kutafakari madhara yake, ni dhahiri kua una mapungufu na uwezo usiostahili katika wizara husika.

Hey Comrade, tunakuomba achia ngazi kulinda heshima yako kuepuka kuja kuharibu Image yako kisiasa kwa kutimuliwa kwenye wizara yako. Ni wazi kua umeshindwa kazi na wewe unajua. Ulisimamia mawazo ya hovyo isingekua busara Mhe Rais wetu ungesababisha migogoro mikubwa kati ya serikali na wananchi.

Ulishaonesha kua uwezo wako haufikii kusimamia wizara nyeti, ulipewa wizara ya mambo ya ndani ukavuruga, wizara ya fedha mambo yale yale. Tafadhali sana andika barua ya kujiuzulu acha kusubiri aibu.

Nimekupa ushauri, kama hutaki basi subiri.
 
Huyo ni PhD holder usimfananishe na vibaka waliokamatwa hko MZA
 
Back
Top Bottom