Hakuna mwenye akili timamu ambae alikuwa anampenda magufuliKumbe magu walikua hata wao hawampendi
Sana,yule mzee alikuwa na Tatizo pia la afya ya akili nadhaniHakuna mtu mwenye akili timamu anaweza kumkubali jiwe... Jiwe huwa anatetewa na vichaa wenzake tu
Kaa na ujinga wakoBlog uchwara ,Nchemba wala hajaongea hayo
Kwan report ya CAG this year inasemaje mkuu π€£π€£, Prof Assad MUNGU azidi kukupa hekima na unyoofu wa utendajiWapigaji washarudi kazi iendelee. Asanteni sana
Aisee πΆπ½ββοΈπΆπ½ββοΈ
AISEEEHakuna mtu mwenye akili timamu anaweza kumkubali jiwe... Jiwe huwa anatetewa na vichaa wenzake tu
Pumzika hapa mkuu. Usiendeleze hizi chuki. Utakuwa MCHAWIAlikuwa shetani yule
Umefufuka?Jamani jamani! Kwani Mama hawezi kuongoza bila kumhusisha na hao watangulizi wake? Binafsi namuona mama ni bora zaidi na anasimamia anachokiamini na si kucopy na kupaste
Yeye ndiye aliwafanya watu wawe hivyo, Sabaya tu ndo hakubadilikaMagufuli alilewa na sifa za uongo/za kinafiki... yanayoendelea sasa ndio ukweli.
Tutajionea mengi
Ndo maana yake ukwa hai utasifiwa uongo mwingiMama Janeth atakuwa haamini anayoyaona
Kufa tujue tabia za watu wako wa karibu
Hii ndio shida ya viongozi wateule wa CCM wamejaa unafiki na kujipendekeza mpaka wanageuza viongozi wakuu kuwa miungu watuJamani jamani! Kwani Mama hawezi kuongoza bila kumhusisha na hao watangulizi wake? Binafsi namuona mama ni bora zaidi na anasimamia anachokiamini na si kucopy na kupaste
Maderu awe rais?Samia mtumbue mwigulu huyu Jamaa Ni mnafiki.
Anakuchora tu na jua fika mwenzio ana ndoto za urais