Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
Sehemu wanayosoma watoto wake ina shida gani?Atuambie mmiliki wa Singida star na watoto wake wanasoma wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sehemu wanayosoma watoto wake ina shida gani?Atuambie mmiliki wa Singida star na watoto wake wanasoma wapi?
Ile Tanganyika sijui nini ada per year ni milioni 50 lakini hapo ana watoto wa 4Mmh wanasoma wapi?
Wewe nawe nenda kalambeNaona asali imeanza kumlevya huyu.
Simtetei ila ili kudhubitisha ni vema kukawapo na documents, links zozote zinadhibitishaAnamiliki mabasi na timu ya bigstars huo uwongooooo unamwambia nani
Umasikini sio sifa nzuri so Mwigulu nae asitumie umaskini kama kichaka chakeWaziri wa fedha Mhe. Mwigulu Nchemba amesema ameishi na kusoma kwenye mazingira magumu hivyo kama binadamu, yeye pia hapendi kutoza kodi kwa watu wengine...
Tujue ada, kwanini wasisome shule hizi za bure? Si elimu imeboreshwa kuna shida gani kuwa mfano watoto wao wasome hizi changanyikeni?Sehemu wanayosoma watoto wake ina shida gani?
Na mwisho wake utakuwa kama Komsoon pale wananchi watakapoamka. Hiki kitabu kimenikumbusha mbali sana, nilifanyia Literature Form 6, Uganda miaka hiyo.Kwa aliyesoma kitabu cha The Beautiful Ones Are Not Yet Born,atajua kwanini yeye ni mmiliki na anasema hamiliki.You own something by assigning someone as owner.
Wapi imeandikwa kuhusu watoto wa mawaziri wasome shule fulani? Hizo ni roho cha kichawi na umaskini.Tujue ada, kwanini wasisome shule hizi za bure? si elimu imeboreshwa kuna shida gani kuwa mfano watoto wao wasome hizi changanyikeni?
Nitajie kiongozi yupi wa ccm aliyetaja Mali zake wananchi tukafahamu ukiomuondoa NyerereSimtetei ila ili kudhubitisha ni vema kukawapo na documents, links zozote zinadhibitisha
Kama elimu imeboreshwa why watoto wake wasiwe mfano?Wapi imeandikwa kuhusu watoto wamawaziri wasome shule fulani? Hizo ni roho cha kichawi na umaskini
Mara nyingi nakuambia huna akili hata kidogo. Mwigulu anaachaje kuzungumzia maskini ikiwa nchi yetu ni maskin? Au unataka aseme sisi matajiri donor country Kama alivyokuwa akisema Magufuli?Umasikini sio sifa nzuri so Mwigulu nae asitumie umaskini kama kichaka chake