Ulimakafu
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 31,248
- 13,244
Yeye ni mdau tu wa soka kama Mnyeti.Mmhh, haya! Na kuhusu timu ya mpira?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeye ni mdau tu wa soka kama Mnyeti.Mmhh, haya! Na kuhusu timu ya mpira?
Ester ni jina la mke wake ambaye ni mzaliwa wa Rombo huko Kilimanjaro.Anamiliki mabasi na timu ya bigstars huo uwongooooo unamwambia nani
Jamaa wanagawana mali za umma kwa ufisadi na sisi tunashangilia, awapeleke mahakamani wafungwe kama kweli ana ushahidiJana Samia ameprove mwenyewe Askari wake wanaiba mafuta ,huku kingai akikenua Meno mithili ya mamba
Namfahamu vizuri sn huyo Ester hata hapa JF yumo snEster ni jina la mke wake ambaye ni mzaliwa wa Rombo huko Kilimanjaro.
CCM Inamiliki kiwanda Cha kuzalisha uongo.Kumekuwa na uongo mwingi sana kwa viongozi wetu, na hapa Kuna watu huusika kuwachafua kwa maslahi yao...
Yaani Mbowe kachomoa battery vizuri sahivi wote wanajambaMifano aliyoitolea hata haijibu shutuma dhidi yake.
Habari ya kuwa na bweni la wavulana na wasichana haina maana...
Pambana upate hela mkuu, acha wivu na mafanikio ya wenzio.Ni mtumishi wa umma lazima tumpangie, mbona MO au GSM hatuwasemi?
GoodWe nyamaza wewe, waache wajitetee wenyewe, we unao huo ushahidi hayo anayosema ni yakweli? Hao unaowaita viongozi hao ni washenzi tu wanaojali maalahi yao tu.
Unatosha kuwadanganya wafaidika wenzio, sisi tunaoumizwa na tozo zisizo na uhalali huwezi kutudanganya. Acha tuendelee na kampeni, bora hela iibiwe na mwizi anayehangia maisha kama Mimi kuliko mwizi anayetumbua maisha kama wewe.Kumekuwa na uongo mwingi sana kwa viongozi wetu, na hapa Kuna watu huusika kuwachafua kwa maslahi yao.
Mwigulu anasema hamiliki hata kampuni ya bajaji, ilaa anashangaa kuhusishwa na kumiliki kampuni ya mabasi.
Tuache kuwasingizia uongo hawa viongozi. Kama huna ushahidi ni bora ukakaa kimya.
Hawa wanaosema Waziri Mwigulu anamiliki mabasi ndio haohao walisema Lowassa anamiliki kampuni ya Richmond, Ila mwisho wa siku ndio haohao wakageuka na kuanza kumsafisha huku wakizungusha mikono
Ili iweje?Kwa nini asisomeshe kwenye shule za kata kama shule ya msingi mbagala?
Mpuuzi wewe, acheni wizi mali za ummaPambana upate hela mkuu,acha wivu na mafanikio ya wenzio.
Kwani hizo kodi mnampa bure bila kufanya kazi?
Akitoka hapo anapanda kwenye V8 anaenda hoteliniUnatosha kuwadanganya wafaidika wenzio, sisi tunaoumizwa na tozo zisizo na uhalali huwezi kutudanganya. Acha tuendelee na kampeni, bora hela iibiwe na mwizi anayehangia maisha kama Mimi kuliko mwizi anayetumbua maisha kama wewe.
Acha wivu wa kike mzee. Tafuta jimbo nawe ugombee uwe mbunge.Mpuuzi wewe, acheni wizi mali za umma
Weka documents hapa tuoneAnamiliki mabasi na timu ya bigstars huo uwongooooo unamwambia nani
Wanatumia mali za umma kwa manufaa yaoKuna IGP mstaafu alikuwa anamiliki kampuni nne za mabasi ya mikoani watanzania walisemaaaaa mwisho JPM alikuja kumsema live.
Wapiga kura wake ni wajinga ndiyo maana anaona kila mtu hana akiliMwambieni asituone wajinga tusio jua mambo, alafu hawa jamaa huwa wanadhani hatufahamu mambo yao. Kampuni yake ya mabasi ni Esther.
Yaelekea we ni mtu wa hovyo tu, ndio maana unaongea upuuzi tu. Huna unachojua kima weweMumeo kabanwa kweli