Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Mnafiki akisema husema uongo.. akitafuta kuaminika, Huwa haaminiki!!
Ni nani wa kukubali??? Angekubali kuwa ni ya kwake.
Ni nani wa kukubali??? Angekubali kuwa ni ya kwake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jinga wakubwa nyie fanyeni biashara achaneni kazi za umma hakuna mtu atawafuataYaelekea we ni mtu wa hovyo tu,ndio maana unaongea upuuzi tu.huna unachojua kima wewe
Kipindi alipotumbuliwa Uwaziri na Mwendazake, Singida United ilipotea ikashuka daraja. Ghafla akarudi kwenye Uwaziri DTB ikaibuka ikapanda hadi daraja, ghafla ikabadilishwa jina.Anamiliki mabasi na timu ya bigstars huo uwongooooo unamwambia nani
Kibuyu chake asali imeisha… Kikijazwa tena nae atarudi pangoni
Duh! HatariJana Samia ameprove mwenyewe Askari wake wanaiba mafuta ,huku kingai akikenua Meno mithili ya mamba
Wewe ni mpuuziJinga wakubwa nyie fanyeni biashara achaneni kazi za umma hakuna mtu atawafuata
Mabasi 60 si yanawatosha mkuu? mwambie mumeo aachie ngazi asimamie mabasi yenuWewe ni mpuuzi
Leta ushahidi wa Biashara anazomiliki. Kwani Ile fomu yake ya maadili kwa watumishi wa Umma imejazwa nini?@Mwigulu Nchemba usitufanye wajinga, eti huna biashara hata ya bajaj, kawadanganye watoto ila sio watu wazima
Wewe ni mpuuziMabasi 60 si yanawatosha mkuu? mwambie mumeo aachie ngazi asimamie mabasi yenu
Documents zote zinasomeka Ester. Aweke cheti cha ndoa hapa muone miujiza.Weka documents hapa tuone
Mwamba MboweMbowe kawatoa pangoni jana safi sana
Dada Ester acha kulaumu wananchi, wambie mzee aachie ngaziWewe ni mpuuzi
Na hili je?Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba amefadhaishwa kuambiwa ameagiza mabasi 60, amedai hana hata biashara bajaj. Mwigulu amesema hakuna haja ya kuchafuana...
KawanyooshaMwamba Mbowe
Atakanusha piaMmhh, haya! Na kuhusu timu ya mpira?
Wananchi wapi walimshauri? walikuwa wangapi na ilikuwa lini?Na hili je?View attachment 2341908
Hata muuza mbege anaweza kusomesha watoto Feza, sembuse waziri??Ila wabongo kwa umbea hatujambo. Watoto wa mwigulu hawasomi Tanganyika international bali wanasoma Feza school. Kwa mshahara wake tu wa ubunge na uwaziri hawezi shindwa kusomesha wanae Feza.